JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dah....Bro Sam Miaka zaidi ya 6200 tokea shem Delly alivyokusaliti. Bro hivi ilikuwaje hadi ukatoa PIN? Hata hivyo kifo chako kimetupa funzo kubwa sana mabaharia...Tuko makini sana na mashem zako...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe. Pia sisi wapare ni Kati ya...
13 Reactions
61 Replies
46K Views
March 16th, 2011 Want to see something lavish being filthy rich can have and do, then scroll down. Warning: Be prepared to be shocked and amazed! At the same time the Greedy Regime has...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kiukweli Askari wetu wa barabarani wanafanya kazi ktk mazingira magumu sana. Jua wao Mvua wao. Leo nliamua nitoke kidogo niangalie hali ya Ugonjwa wa Corona Dsm. Kampuni yetu imenzisha program ya...
14 Reactions
36 Replies
4K Views
Kuchekesha Ni kazi ngumu aisee
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Habarini. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. NIMEUHAMA RASMI MKOA WA DAR ES SALAAM, na sasa natambulika rasmi kama MKAAZI HALALI WA MKOA WA DODOMA Kwaheri Dar na starehe zake zote. Nitawamiss...
23 Reactions
280 Replies
16K Views
Kuelekea siku kuu ya wapendanao wiki hii, mademu wengi sasa wamekuwa wanyonge. Yaani wengi wao wamekuwa wapole haswa wale wasio na boyfriends, walio wengi kwa sasa wanaokotwa tu kama kuku walio na...
3 Reactions
9 Replies
952 Views
Hili ni tukio la kweli kabisa. Sehemu / Nyumba ninayoishi ni self contained vyumba viwili na public washroom/lavatory. Sasa kuna siku mwaka jana nimekaa zangu nacheki TV nikabanwa na mkojo so...
5 Reactions
15 Replies
1K Views
Wakuu huyu bwana wa kujiita kiduku lilo ni muongo namba moja humu JF Yeye kila siku anaenda ulaya,anamiliki Range R, BMW, Ford etc but kiukweli ni maskini wa kutupwa,hizi ni baadhi ya thread zake...
1 Reactions
64 Replies
9K Views
Amani iwe kwenu! nimewamis sana wakongwe wenzangu. Nawasalimieni kwa hisani ya Corona. Naamini Mwenyezi Mungu atatuvusha kama ambavyo amekuwa akituvusha miaka yote. Nimekumbuka mapishi ya bibie...
4 Reactions
10 Replies
667 Views
Habari za wakati huu wajuvi wa mambo, ndugu yenu nimekuja hapa kuomba Msaada wenu. Ninaishi Dar es salaam, Niko na Mpenzi wangu ambae tuko mwanzoni kabisa mwa mahusiano, Si mtu wa uchumi wa chini...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wakati wa Uvamizi wa Benkii nchini fulaniii majambazi waliwaambia kwa sauti watu waliopo Mule benki "Musisogeee hata kidogo maana Pesa ni mali za serikali ila uhai wako ni ni mali yako " Basi...
6 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari! Leo nimekutana na jambo la kushangaza na kusikitisha sana. Kasumba ya wanawake kuwa walevi kupita kiasi hadi jamii tunaanza kushangaa na kupigwa na butwaa! Nilikuwa maeneo kama...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Kuna muda nilimuona Mkamuaji akitaka Kudondoka pamoja na Ndoo yake ya Maziwa ila Ndamba ( Raba ) zake zilimuokoa huku akihema sana tu.
2 Reactions
13 Replies
2K Views
1. Sio mbaya nikiwashukuru wale wote ambao tumefahamiana kupitia jf... 2. Najua wapo nilio wakwaza na pengine nikiwaudhi zaidi, kwa heshima na taadhima nawaomba radhi kwa dhati...
12 Reactions
73 Replies
3K Views
Bhing'hwe, mwo misha mola? Weekend hii nipo Mwanza, kabla sijachomoka jumatatu asubuhi na bundi wa Chato. Sii mbaya nikikutana na mwana JF hata mmoja, akiwa wa ile jinsia pendwa itakuwa poa...
9 Reactions
30 Replies
2K Views
Natumai hamjambo wanabodi. Wakuu ikiwa utaambiwa kuunda familia kwa kutumia member wa jamii forums, familia yako itakuwaje? Yangu iitakuwa kama ifuatavyo: BABA: daud mchambuzi(Baba yangu ni...
23 Reactions
446 Replies
17K Views
Nyie watu rudini basi jf nawamiss jamani hasa Iceman 3D namiss comment zake,ucheshi wake,Pia Neybright Ruud basi mama umrudishe na huyo kidume Jomonii plzzzz hata mara moja moja Tu.pia natumaini...
0 Reactions
55 Replies
3K Views
Back
Top Bottom