JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kumekuwa na kauli mbiu maarufu mitano tena. Je kwa kuwa muda unaenda tuendelee na kauli hii au tupunguze kulingana na muda? Mfano minne, mitatu, miwili nk
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Hakuna aibu mbaya kama kuomba ukajisaidie porini ukiwa kwenye Bus kitendo cha kurudi kwenye Bus abiria 59 wote macho kwako, sijui uwa kuna kosa gani?
0 Reactions
13 Replies
789 Views
Habari za humu wajameni!? Kila kitu kipo good oke. Wajameni naona siku hizi kuna huu msemo sio kwa wanaume wala wanawake tena kwao ndo umezidi kwamba ukituma hela utume na ya kutolea. Sasa...
2 Reactions
6 Replies
790 Views
Wadau aiseee ebu wataalam waelezee kidogo uhusiano uliopo kati ya mbu na sikio manake mbu anataka damu so inabidi akungate sasa hii kulia sikioni yaani anauzi atazunguka koote atarudi sikioni...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna msemo hapa dunia kuwa eti kunguru anaishi miaka mia tatu. Je, ni kweli kunguru anaishi miaka mia tatu?
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Wadau, Aisee naona walevi wa siku hizi wamestaarabika kuliko wa zamani aisee sijui walevi wa zamani walikuwa wanatumia vilevi gani, yaani Siku kama ya leo mtaaani ni vurugu mpaka wazee...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Sina zaidi ya salaam maana naona ata uvivu kuandika, nasema haiwezekani Leo nipo nimelala zangu kitandani mara naskia Mwaaaaa nakurupuka ni nini nakutana na kitu maji yamejaa kitandani sio...
3 Reactions
10 Replies
899 Views
Wakuu kwema? Nataka kumzawadia Raisi wangu mpendwa John Pombe Magufuli zawadi ya mwaka mpya, nataka kumzawadia kreti la bia.je huwa anakunywa bia kweli? Asanteni
4 Reactions
78 Replies
6K Views
Wakuu natafuta pacha wa kike ambae atakuwa anatumia avatar hii ya kike ambayo inafanana na avatar yangu!😁😁😁Sifa kubwa awe na tamaduni kama za kwangu hapa jukwaani na awe ni mdada🤗.Kama unataka...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Yamenikuta: Mchumba wangu amezaa angali Bikra Wanajamvi habari zenu. Mimi nina mchumba wangu ambaye ni mkristo mwenye imani sana na dini yake. Mtaratibu, mpole, na ana heshima sana. Katika...
12 Reactions
30 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile...
4 Reactions
144 Replies
7K Views
Inasemekana kila binadamu ana ka uchizi ndani yake level ndo hutofautiana na chizi sio mpaka aokote makopo! 1. Kama umewahi kushika kopo la maji bafuni na kuhesabu 1, 2 mpaka 3 ndo ukajimwagia...
24 Reactions
45 Replies
4K Views
Tuachane na majina ya id na tuachane na majina binafsi tuliyopewa na wazazi leo tutaje A.K.A zetu au "also known as" tunazotumia mtaani, yawezekana ni mtaani au nyumbani kwenu au hata sehemu...
0 Reactions
41 Replies
2K Views
Hello JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mpaka umri ulionao umefanikiwa kutoka kimapenzi (sex) na Wanawake/Wanaume wangapi? Funguka
2 Reactions
56 Replies
3K Views
Habarini wadau, Hv hamna kampuni yoyote ya simu iliotoa ofa ya bondo la internet kipindi hiki cha sikukukuu? Natanguliza shukrani za dhati.
0 Reactions
14 Replies
865 Views
Habari wadau! Maisha sio fair, watu pia hawapo fair. Inabidi kutafuta pesa mpaka akifa mbwa wako watu wakupe salamu za pole na kukutumia rambirambi. Leo hii kuna watu walipata ajari kwenye gari...
9 Reactions
39 Replies
2K Views
Mmmh hellow Mmmh hellow X2 Ningependa nikuulize swali Japo sitaki kukukwaza Ningependa kujua uhali Ningependa kujua japokuwa uko mbali Ni wazi unafahamu Kuwa tumetoka wote mbali.... Kwanini...
2 Reactions
11 Replies
814 Views
Msichana aliyekuwa na wewe kwenye mahusiano kipindi huna kitu, kapuku kabisa na Mwanamke aliyekusaidia wewe ukaja kuwa mwenye pesa tajiri mkubwa, yupi kati yao utamuoa? ME: Mwenye Wowo kubwa...
0 Reactions
6 Replies
599 Views
Husika na mada tajwa Kwa mwenye elimu hiyo anifundishe, Kwakuwa kila mtumishi / mwajiriwa ni lazima awe na hiyo TIN namba . Mwisho ni december 31 2020. Nawasilisha.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nikinywa pombe labda za 30000 usiku Basi lazima kesho nitajuta kutumia hela vibaya ila nikisema nisinywe kabisa labda nipumzuke week Basi nakosa hela kabisa hata ma deal nakuwa sipati..Kuna...
3 Reactions
5 Replies
532 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…