JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wapinzani wameishiwa kabisa, mtulie sindano iingie vizuri
2 Reactions
1 Replies
729 Views
Yeah Its another refreshing game again a little bit difficult buy enjoyful. Its simple you just have to Write the Long Forms of the Abbreviations any person would recommend.. In all aspects...
0 Reactions
78 Replies
7K Views
Nikiapishwa tu siku hiyo haraka narudi Ikulu naagiza wamlete Sanchoka aje kwa week moja tujadiline naye changamoto mbalimbali zinazohusu wanawake hasa vijana wa Tanzania. Nataka nipate week moja...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
DW ni mabingwa wa kuchora katuni nzuri na za kufikirisha sana. Heko kwao. Source:DW instagram page
8 Reactions
10 Replies
2K Views
Umofia kwenu wana JF, Leo nimetimiza miaka mi8 tangu nijiunge ramsi ndani ya JF na miaka 10 tangu kuijua JF,shukrani kwa members wenzangu,mods kwa ushirikiano wenu,Nimekula ban mara moja tu siyo...
17 Reactions
57 Replies
4K Views
#UNAAMBIWA: Unafahamiana vizuri na Inzi Sio? Sasa kwa mujibu wa Utafiti wa Bar- Ilan University Nchini Israel Inzi hunywa pombe pale ambapo Wanapata Stress za kimapenzi😅😄 " Kama ilivyo...
0 Reactions
3 Replies
685 Views
Not,,furaha ya mbwa koko hua haidum mkimaliza ku bwekaaaa,tutawapa na maji mshushie kama hutaki bweka
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwanza kabisa nimefurahi sana hawa jamaa wamepiga mzinga😀😀 Disney mjanja sana anataka yeye ndio abaki kua Tycoon wa kutengeneza na kusambaza filamu. Kila Kampuni ikijitokeza inatengeneza muvi...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Habari wana JF Miaka inaenda na siku zinazidi kusogea. Miaka hiyo kabla redio hazijawa nyingi redio Tanzania ilikuwa ndo imepamba moto. Je, ni kipindi gani kilichokuvutia wakati huo ambacho...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
Greerings Earthlings, Nimefanya research ndogo isiyo rasmi nikagundua haya First borns *Wachapakazi *Providers kwa familia (wakifanikiwa) *Wana exposure kubwa sana kwasababu wanajituma *Sio...
6 Reactions
63 Replies
6K Views
Wadau naulizia restaurant yenye chakula kizuri ninapoweza kwenda na mwenza kupata chakula cha mchana au dinner. Napendelea zaidi seafood, na itakuwa nzuri zaidi restaurant ikiwa maeneo ya beach...
2 Reactions
57 Replies
8K Views
Kuna mwanandoa mmoja anasema "oa ili ujue kwanini unahitaji mchepuko" hakuna watu malaya kama waliooa, kama kabla ya ndoa ulikuwa una wanawake wawili basi ukioa utakuwa na wanawake wanne.Mliooa...
3 Reactions
64 Replies
5K Views
Labda mtu azikopi mwenyewe Au nizikute kwenye hiyo disk Au nizikilize radion Au zitumwe kwenye .agroup..... Yaani inshort ..sizielewagi tu... Katika nyimbo zake 1000+ nilizozisikiliza ni 3 tu...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Maisha ya shule jamani! Nipo hostel room tupo wawili wawili jamani mwezangu hajui kununua ndala za kuogea.semister ilopita tumetumia zangu hadi zikakatika zilivyokatika akawa anaazim next room...
0 Reactions
9 Replies
769 Views
Uzi tayari
0 Reactions
2 Replies
761 Views
Wakuu kuna imani eti popo akiingia ndani kwenu usiku na kuzunguka zunguka juu ya paa ni uchuro? Kuna jamaa nilienda kwao wiki mbili zilizopita popo akaingia akazunguka ndani kama dakika kumi...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Uliza swali lolote liwe la kiutani au linalohitaji kufikiri. Then anaweza kutokea mtu akalijibu kwa kina au kifupi.. Uliza chochote iwe kijamii,kiuchumi na kisiasa.. Ambalo unaliona hulielewi...
0 Reactions
228 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…