JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nakumbuka baadhi ya majina ya walimu waliyopewa na wanafunzi kama ifuatavyo: 1. Solar system - mwalimu wa geograph form 1 au 2 alifundisha solar system akapatiwa jina hapohapo 2. Bambabay -...
0 Reactions
393 Replies
64K Views
Hivi ukitaka kuhama nchi kwa njia halali kabisa unafanyaje?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Haya maneno yanatamkwa sana na watoto wa mjini siku hizi. Zamani ilikuwa ukimuona wakuja anashangaa shangaa wenyeji au wazawa walikuwa wanasema acha kushangaa wewe mbwiga kashangae feri shilingi...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hapa nitakuwa naandika series wahusika wakiwa ni member wa hapa jf ni kastory ka uongo na kweli .. Na wala member ypyote atakayetajwa basi hakuna ukweli wowote na uhusika wake hapa. Pita hapa kwa...
10 Reactions
59 Replies
3K Views
Niaje mambo vipi? Wadau nipo nawasalimia kuanzia wewe na familia yako mko poa, okey wadau mi sina maneno mengi 😁 Sana ila niseme tu maisha haya ni kusameana tu na mwaka karibia unaisha tusiwe na...
3 Reactions
42 Replies
3K Views
Mfano..mpo sehem ambayo ni mkusanyiko wa watu wengi muda wote, yaani kuanzia asubuhi mpaka jioni. Sasa katika mishe mishe(matembezi) mara paap kuna ela ipo chini haijulikani ni nani...
0 Reactions
6 Replies
786 Views
Habari zenu. Nilikuwa naomba kujuzwa guest house nzuri ambazo zinatoa breakfast karibu na Mlimani City
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Sehemu nyingi nilizoishi ni uswazi, nitakachokwambia hapa ni uzoefu wa moja kwa moja kipindi cha utoto niliwahi kua kwenye kundi lililojiita Majani Unit (halipo tena hili kundi) lilikua na...
28 Reactions
97 Replies
11K Views
habari wana jamvi, kuna uzi umewekwa jana na mkuu Mhere Mwita kiukweli uzi wake umenikumbusha mengi sana ukizingatia na mimi nimepitia hapo IAA. so lengo la uzi huu kama wewe umepitia IAA...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Shida kidogo tu unataka kuacha kazi. Shida kidogo tu unahama nyumba. Shida kidogo tu unadai talaka. Shida kidogo tu eti ooh bora nife Weweeee maisha hayapo hivyo pambana mpaka ushinde.
2 Reactions
15 Replies
923 Views
Nawasalimu wanaJF basi ningependa niende moja kwa moja kwenye kisa hicho cha kweli kilicho tokea miaka ya nyuma. Julia Pastrana ni mwanamke aliyekuwa na roho nzuri lakini alijulikana kuwa ni...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
MGENI KUTOKA MJINI Upo mjini mfano tuseme Dar es Salaam unapiga simu kijijini kuwa unaenda kuwasalimia wanafurahi sanaa. Inafika siku ya safari haukauki midomoni mwao wakizungumzia ujio wako...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo ni tarehe 01/07/2017 nawakumbusha ile kauli "atakaefika tarehe 01/07/2017 Dar, yeye ni mwanaume" Hongereni wote ni wanaume sasa.
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Habari? Naangalia series ya 24, nipo episode ya kwanza season 1. Nashindwa kuelewa hawa watu wanaongea accent ya wapi ngumu namna hii. Kuna mwingine amekutana na hili?
1 Reactions
43 Replies
3K Views
Hii ni kwa uzoefu nilionao na JF • Tuwekee na kapicha kidogo! • Siti ya Mbele kabisa • Lumumba buku saba • PoliCCM • Chadema ni mpango wa Mungu! • Wasiojulikana • Unaweza ongezea!
12 Reactions
146 Replies
10K Views
...amani iwe kwetu sote. Leo nimetoka zangu mihangaikoni naludi geto mida ya usiku tatu kasoro ,ile nashuka tu stand...hatua chache mbele nikakutana na mnada wa nguo afu Bei chee,nikasema ngoja...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Kuna vingi naweza acha ila hii ya kuona tipa ikibinua mchanga alafu nipite bila kuangalia siwezi acha kamwe, Je wewe ni kitu gani huwezi acha.?
1 Reactions
11 Replies
770 Views
1. Sabuni ikianguka bafuni ndo siitumii tena najimwagia maji natoka. 2. Nikiangusha dodoki wakati wa kuoga hata kama ndo nimeanza imeisha hiyo. 3.Nikioga lazima nibakize maji ya kitosha niyamwage...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom