JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naomba kuuliza!!nina marafiki zangu wawili!! Miaka iliyopita walienda kupima ukimwi kwenye haya magari yanayopita mitaani!!! Mmoja baada ya kupimwa alipewa condom bila kuomba?! Huyu mwengine...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Tujaribu kitu hapa. Kama kamchezo flani nahisi mtakapenda baadae DO YOU ACCEPT THE CHALLENGE? Kuwe na timu mbili timu moja ichague kiingereza timu nyingine ichague Kiswahili. Then mtakuwa...
1 Reactions
48 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF. Leo imetokea nimekumbuka tukio fulani hivi lililonitia aibu kubwa ugenini kila nikifikiria nachekea na kuhuzunika at the same time. Ili kuwa ni hivi kipindi hicho nimepata...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Asubuhi ya Leo NMB wamecheka hivyo naanzaje maisha kama hivi. Jamani mm sitaki stress kuanzia Leo mm ni Team Kiduku Lilo Atakayenionea wivu huyo mchawi maana hapendi mwanamke nijitume niwe na...
27 Reactions
483 Replies
43K Views
Kauli ya Tundu Lissu imenigusa kweli kweli naumia kweli na nawaonea wivu wale ambao wanajua kiingereza wanakicharaza Kama charahani inavyoshona. Huku sisi wengine wa kayumba tunapata tabu...
1 Reactions
7 Replies
519 Views
Kwanini pombe huwa zina harufu kali na ladha ya uchungu? Kwanini ile harufu kali husaidia nini kwenye pombe? Na ile ladha mbaya na chungu imewekwa ili iweje? Au ndio inaongeza nguvu za kiumeni?
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Poleni na majukumu wakuu Leo nimeona nisheenanyi njia za uhakika ambazo ukizitumia inavotakiwa kwako namba za watoto wazuri itakua sio shida Fungua goli(office) la huduma za kifedha yaani...
4 Reactions
29 Replies
3K Views
natumai hamjambo wakuu, karibuni hapa ku-share top 5 ya mitandao yenu pendwa ya kijamii, binafsi listi yangu ipo hivi: 1.Jamii forums 2.Jamii forums 3.Jamii forums 4.Quora 5.Mocospace
2 Reactions
76 Replies
6K Views
Let's have fun and do it English. English is somehow interesting and its known as the language of instructions,elites and the business language also. Just speak out,Joke In English and touch the...
0 Reactions
5 Replies
737 Views
aseeee! pamoja wengi avatar sio zao, lakini mtu inakua ukiiona tuu unapagawa yani unaona kama labda anafanania vile, kumbe ukute ni furushi tuu halina mpango, ipi kwako inakuvutia na kukupa...
2 Reactions
225 Replies
21K Views
Wadada wa mjini wana visa sana.Katika watu wenye masharti wakitaka kuolewa ni wadada wa mjini yaani masharti na vigezo Kama waganga. Wanachagua wanaume kwa wadhifa,makabila,muonekano na...
1 Reactions
7 Replies
990 Views
Aah jaman natafuta wa kuchat nae mkeshaji mwenzangu
4 Reactions
15 Replies
913 Views
Yaan humu ukiandika mada zenye tija wala hawachangii andika upuuzi ,umbea,udaku watapigiana simu,wataitana mbaya zaidi wanaume ,bora wanawake tunajuanaga ni wambea tunachambana yanaisha,,wanaume...
12 Reactions
241 Replies
8K Views
Hapa nina orodha ya baadhi ya wanaJF na kazi ambazo zinawafiti... Asprin - mstaafu TRA Chief - mkwawa (IT) FaizaFoxy - mstaafu hapo Lumumba. Kiduku Lilo - Lucas Mobutu troublemaker...
19 Reactions
95 Replies
5K Views
Post unachoona ni funny ili kuwaburudisha wengine kwa namna ya utani. Tofauti ya mwanamke wa kizungu anapokuwa diet na black mamba anapokuwa diet. Na kila mmoja ametolewa out na boyfriend wake...
2 Reactions
26 Replies
1K Views
1. Kuamulia Ngumi baina ya Mwanaume kwa Mwanaume kwani upo uwezekano Ngumi zao zote zikaishia Usoni Kwako na Kuumuka. 2. Kupatanisha Mgogoro wa Kimapenzi wa ama Wapenzi au Wanandoa kwani wakiwa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Mtu Mzima (18+) kutazama katuni ni SAWA? Au ni ukosefu wa kazi za kufanya? Toa Mtazamo wako.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
This Is the Super Thread Where the Fans of Politics Meets The Fans Of MMU and lastly The Fans Of Sports and Entertainment... To come up with ideas and hints from all the three categories Show...
0 Reactions
4 Replies
362 Views
[emoji1241]🤝🏽[emoji630]
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Natumai hamjambo wakuu, Karibu kila mmoja wetu hupatiwa jina la utani na familia/jamii inayomzunguka kulingana na tabia/matendo yake, karibuni hapa kushare majina yenu ya utani na sababu ya...
0 Reactions
159 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…