JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ni mjadala mdogo tu kwamba kila mtu huwa ana ulevi wake sasa hebu tuambiane kati ya walevi wa Pombe ( wazee wa tungi) na walevi wa sex ( wazee wa migegedano) wepi ni wengi zaidi duniani au ndio...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wakuu wapi naweza kupata course ya kufanya massage maana kila nikiwaza njemba iwe ina mshika shika mamiloo hapana aisee.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
jaman habar zenu hili swala limekuwa likinitatiza sana huwa naotea tuu mara nkute bado hayajaiva mara nikute yamesagika tayari kwahyo nmeshindwa kujua kabisa muda mwafaka wa kuiva naombemi mnipe...
0 Reactions
10 Replies
12K Views
Hello fellow JF members. I dropped out of School Its Not A Joke. Its almost a year now since I dropped out of school on the Early Days of My Secondary Education i.e Form 3. Its the most crucial...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Tupo kwenye basi na jamaa angu tumetulia tunatoka shule jirana kupiga michezo, makelele kama yote ya wanafunzi maana tulishinda. Anakuja binti anamwambia mshikaji hakika leo umenfurahisha sana...
1 Reactions
2 Replies
732 Views
Jamani bado sijui ikiwa Upupu ni haramu au la! Maana kuna mitaa kuna wapiga roba maarufu, sasa tusio na vibali vya kumiliki silaha tunaruhusiwa kuumiliki kama njia moja wapo ya kujihami kwa...
1 Reactions
0 Replies
610 Views
happy birthday mayassa wangu.....May God gives you 100 years to live a happier life...i will always love you Mayassa wangu.....wakuache uishi miaka 600
1 Reactions
79 Replies
6K Views
Mkulima amejiwa na mwaandishi wa magazeti kumuhoji ... kuhusu maisha ya shambani,na mkulima huyu hawapendi waandishi wa habari akaona bora amchoshe katika kujibu maswali, na mambo yakawa hivi...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Hiyo ni moja kati ya interview nayopenda kuirudiarudia,inamuhusu muandishi anaefahamika kwa majina Robert kiyosaki alieandika kitabu cha "poor Dad,rich Dad" na vitabu kadhaa kama fake n.k Kupitia...
1 Reactions
9 Replies
774 Views
Habari ya mchana watu wangu wa nguvu kabisa😊😊mnaendeleaje na afya zenu jamani..mmeshapata lunch 🥙 jamni...maana ndo muda wenyewe huu😊😊 Siku zilizopita tulizungumzia vitu ambacho hatuvipendi...
8 Reactions
199 Replies
9K Views
Hodi humu! Kuna jamaa walikuwa watatu wakaingia hotelini kupata msosi, kama kawaida yao wanajua plate moja ya msosi ni sh 10, kwavile wako watatu wakaona sio poa wote kwenda kaunta kuweka kiwingu...
1 Reactions
14 Replies
819 Views
Nikajivika ukongoman mzee si alikuwa anapenda nyimbo zakikongo,siku moja wapo wageni nikaimba haka kakipengele kwenye huu wimbo.. Sasa inavyosound ndugu acheni tu! Tusichanganye lugha za watu...
3 Reactions
10 Replies
997 Views
Ina maana JF mmesha zeeka wote mko above 30 tu. Hakuna wale newcomers na wale wanao range ages hizo Kama mpo tukutane hapa basi! Wakati mwingine kuongea na ages mate wako inapendeza sana kulikoni...
4 Reactions
175 Replies
7K Views
Toka miaka ya nyuma kwenye siasa na historia utasikia wanasema mabeberu hivi, mabeberu vile... sasa leo tumefanikiwa kupata picha ya mabeberu.
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Wanajopo , poleni na pilika mbalimbali za kutafuta na kujenga chumi za familia na taifa. Naomba niwaletee uzi wa kuambiana baadhi ya mambo ambayo huwa tunayafanya tena kwa kuyang'ang'ania hata...
0 Reactions
1 Replies
441 Views
Uzi huu ni wa memes za viatu kwani viatu vinaelezea uhalisia wa maisha ya MTU Tiririka nawe
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Hello JF members!I have been going across a number of comments in various threads Concerning different topics. A lot of people have been claiming that JF has lost its potentiality.That its no...
0 Reactions
5 Replies
345 Views
Yaani nilikuwa nikisikia mtu anasema 'hapa sina hata mia kabisa' , niliona kama utani hivi. Lakini kumbe hii kitu ipo kabisa wakuu! Be careful.
10 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wana Jf, Mwenye kuijua siri iliyopo baina ya pombe na Kiingereza aje hapa kutueleza maana haiwezekani kila mlevi anajua Kiingereza yaani hadi darasa la 7 akishalewa tu anatema ung'eng'e.
1 Reactions
40 Replies
3K Views
May you always see the beauty in this world and be encouraged to keep on pressing on regardless of the stumbling block and hurdles that stand in your way... HAPPY BIRTHDAY LOVE Kingsmann Kingsmann
5 Reactions
61 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…