JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kama nilivyoandika juu kwenye title wana jamvi. Najua wengi tumepita kwenye hii kuchart kwenye simu mnaitana chumbani Mara unasema uko mlangoni njoo fungua milolongo mingi. Je, hii namna...
0 Reactions
12 Replies
817 Views
Habari wanajukwaa, Natumaini mko salama kiafya, kimwili mpaka kifikra lengo la uzi huu ni kutiana moyo pia kufarijiana kwa sisi wenye kimo kidogo kuliko wengine (wafupi) kwa upande wangu huwa...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
....Nahodha akae nyuma, abiria tuwe mbele Tupige vigelegele tukishafika salama....! Salama Nimeukumbuka tu huu wimbo wenye mahadhi ya pwani
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Hali hizo zote tajwa hapo juu, Hazisababishwi na mdudu wa aina yeyote wala kuambukizwa na mtu. Bali hutokana na mfumo wa kimaisha ndio hupelekea hali kama hizo kutokea. Tiba yake ina mambo...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
The World is Not Fair.Dunia haina huruma au haina usawa.Hivi ni viujinga na vioja vya kidunia ambavyo watu wananiaminisha kuwa dunia haina usawa wala huruma. 1. Mwanamke akivaa nguo za kivulana...
0 Reactions
6 Replies
860 Views
Hello JF members. The world is full of intellects and people having different talents,occupations and specifications. We all understand that nobody does everything. But Sometimes you wish you'd...
0 Reactions
0 Replies
277 Views
Nyani Na Kima Wanaweza Kufurahi Sana Wakisikia Yule Binadamu Aliyekua Anawafukuza Kwenye Shamba La Mahindi #KAFARIKI. Furaha Yao Itakua Ya Muda Maana Misimu Itakayofuata Itakua Ya Tabu Sababu...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Good morning JF! Bado huna ajira. Una siku ya pili huna hata mia mbovu tangu Jumapili. Muda wa kodi umefika unadaiwa. Asubuhi ya leo ni simu kutoka kwa mama yako huko kwenu ndio inakuamsha...
0 Reactions
4 Replies
553 Views
Waswahili walisema “mjinga wakati wa kwenda” Basi bhana, kipindi hicho ndo naingia mjini kutokea uswekeni kwetu ndani ndani huko. Nikafikia kwa jamaa wa kijijini kwetu 'aliyetusua' kiaina ikiwa...
8 Reactions
26 Replies
4K Views
Kuna jamaa eti ameniambia asilimia za maongezi ya watanzania ziko hivi. 1.Siasa wanaziongelea asilimia 30% 2.Mpira wanauongelea asilimia 50% 3.Muziki na Burudani asilimia 20% 4.Babes na magashi...
1 Reactions
19 Replies
997 Views
Wapendwa kwa Huruma ya Mungu leo tumetimiza siku ya 254, tumebakiwa na siku 112 tumalize mwaka 2020 Tumuombe Mungu atulinde usiku huu atuepushe na wachawi, vibaka, wezi na mapepo tukiongozwa na...
2 Reactions
2 Replies
563 Views
Dah aisee huwezi amini yaani sasa hivi tu ilikua asubuhi kukakucha sa hivi nacheki saa ni saa tisa kasoro mchana Mpendwa Mteja unakumbushwa kurejesha kiwango cha ziada cha SONGESHA ulichopewa...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Usilazimishe mtu unayempenda abadilike hilo haliko ndani ya uwezo wako ila lipo ndani ya uwezo wake, wewe una mamlaka ya kuanza kubadilika na 1. Kuwa mtu sahihi 2. Kuchagua mtu sahihi, 3...
0 Reactions
2 Replies
429 Views
Tubonge kiingereza kidogo basi sio kila siku Kiswahili bana. Kama unajua kiingereza. Tena wanasema kiingereza ndo chepesi kama Maji ya kutiririka. Ndio lugha ya kielimu hakuna asiyeijua
0 Reactions
106 Replies
5K Views
Pale unapotoka kwa mkwe na kakupimia mahari ndefu kwa binti
0 Reactions
2 Replies
617 Views
Baada ya kuchagua mchepuo wa HKL pale A level sikuwahi kabisa kuwaza kuwa nitakuja kuvaa barakoa kama wale jamaa wa PCB. Lakini mwaka huu nimeivaa bila kupenda nikakumbuka wahenga kuwa "hujafa...
2 Reactions
10 Replies
780 Views
Ushawahi kufanya mtihani halafu msimamizi akasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza JAMAN HAKIKISHEN MNASOMA VIZUR MASWALI
1 Reactions
3 Replies
484 Views
Mimi nakumbuka zile nyimbo za Westlife, boys to men, backstreet boys etc Ninyimbo nzuri sana Mdau wewe zako ni zipi?
0 Reactions
6 Replies
515 Views
Hello JF users. Huwa nafikiria sana kuhusu background yangu na navuta picha Ila nachoambulia ni tarehe ya kuzaliwa tu.. Yaani kiufupi matukio niliyowahi kuyafanya nikiwa mdogo huwa siyakumbuki...
0 Reactions
2 Replies
928 Views
Jamani kama huko huku nipiiem basi manake nilishindwa hat kuongea ulivyonipa shock... Ulivaa shati la dark blue lina white stripes kwa mbaali, simu uliweka mfuko wa shati, ukapakatia begi...
24 Reactions
270 Replies
26K Views
Back
Top Bottom