JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hello wanajamvi Naomba ushauri kwenye hili: Nipo kwenye malezi ya mtoto wa miezi 14, kwa bahati mbaya huyu mtoto amekuwa akitumia diapers (pampers) tangu kuzaliwa kwake hadi hivi sasa. Kwa muda...
3 Reactions
69 Replies
6K Views
Eti wakuu kwa wanaofahamu Mbagala kuna sehemu inaitwa Mbagala rangi tatu hivi huwa najiuliza ni rangi gani na gani? iyo Mbagala rangi tatu? nisaidieni bandugu......
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Hivi ni vitu gani vya kipuuzi ambavyo watu hufanya kwenye mahusiano? Na ni kitu gani wewe ulishawahi kufanya kwenye mahusiano kwa kukusudia ama kwa kutokusudia ambacho hutokisahau?
2 Reactions
37 Replies
3K Views
Habari wana jamvi? Hivi jamani mmeona laana iliopo Badoo?Yaani mimi nlijua ni app ya kawaida ya kusocialize lakini daaaah[emoji15] salaaaaaleh[emoji86] . Nilijiunga ikaja option kua nataka kuchat...
5 Reactions
85 Replies
23K Views
Kwangu Mimi niwe mkweli ni buku na 900
0 Reactions
3 Replies
946 Views
Kuna kesi moja ilikwenda Mahakama ya Mwanzo huko Tanga. Kijana wa miaka 20 alikuwa anataka kupewa mgao wake wa mali za marehemu baba yake. Ni kweli alikuwa na mgao wake, ila mjane wa marehemu...
10 Reactions
26 Replies
2K Views
Ukiachana na Best friend Best couple Best rapper Best naso ni best gani nyingine unaijua?
0 Reactions
3 Replies
491 Views
Tuzungumze hapa, Ukikutana na mwanamke kwa mara ya kwanza, ikatokea umemzimia, unaanzaje mazungumzo?
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Unajua maisha kila mtu ana ndoto za udogoni/ujanani. Kwa mfano mimi nilipokuwa mdogo nilitaka kuwa mwanajeshi baada ya kuangalia movie ya Rambo[emoji1787][emoji1787]
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Juzi wakati npo kanisani pastor ndipo akaja baada ya kuniona nmeshika simu yangu kisha akaniuliza nmenunua shillingi ngapi ndipo nikadanganya kwa kusema shillingi elfu hamsini wakati dukani ni...
4 Reactions
8 Replies
617 Views
Everyone has ever fallen in love. But we actually remember our first love story and First time to approach or to be approached. How did you manage to tackle your fellow,was it through exchanging...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Love has thousands of definition and people define it in different ways Would be in for A game of defining love? According to me. Love is care and Testimony Can you go on!! Unaweza kusema...
0 Reactions
5 Replies
538 Views
Hakuna kitu kinauma kulala Gest mwenyeji bila mwanamke nikama umetupa hela bure. Yaani vile umechelewa kazini alafu umesahahu funguo kazini alafu ni mbali au umepanga chumbani unarudi usiku mwenye...
1 Reactions
3 Replies
575 Views
Aliyesoma Murutunguru secondary tutambuane, mie binafsi niliingia pale form one 2002 nikitokea Nyamagana.
1 Reactions
2 Replies
394 Views
Eti wana JF eti majina ya wadada wakati mwingine yanasadifu yaliyomo.. Wadada warembo huwa na majina simple na ya kinyumbani mfano Neema, Maria, Latifah, Pendo. Huwa wapole na wanyenyekevu. Ila...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Hivi Ukiambiwa Uombe Msamaha Sehemu Moja Tu Ya Mwili Wako Ambayo Unaitumikisha Saaana...,Je Utaiomba Sehem Gani?[emoji16][emoji16][emoji16]
0 Reactions
4 Replies
1K Views
.......YNWA...... Moderator FUTA HUU UZI. Please DELETE
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Ask a woman what kind of a man she wants..then sit and listen how she explains characteristics of non living things
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanaume wa Dsm sasa mmezidi. Inakuwaje mwanaume mzima na midevu yako unatumia neno 'mwaya'? Utasikia.. Haya mwaya! Ndiyo mwaya! Twende mwaya! Niambie mwaya! Nini maana ya neno mwaya...
3 Reactions
84 Replies
18K Views
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom