JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Memba maarufu wa MMU na Chitchat bibie Demiss yu wapi au amekula life ban? Nimemiss nyuzi zake matata
1 Reactions
12 Replies
2K Views
ninaombwa musaada kujuwa kuandika vizwuri nimekuwa nikiyandika kwenye mahada zagu wengi wachekwa na kusema sijuyi kuandikwa.ni kweri nirihishia dalasa ya saba. nitashukulu edapo nitasaindiwa.
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Reo nirikuwa bize sana na kazi ya nduka ndio maana tagu hasubuhi siko umu na simu irikuwa kazini kwa dura akiweka mziki ili husiku nije nisikirize. Poreni na majunkumu ya apa na pare na sasa tuko...
10 Reactions
53 Replies
8K Views
Nimekaa hapa nakula mvinyo kuna bajaji kapita kakuta mabinti wawili wanapita kasimamisha kauliza “mnaenda” wakamjibu “hatuendi” , bajaji kakomaa “mnaenda wapi” wamemjibu tumefika. Bajaji kakomaa...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habari guys. Hv unajisikiaje unaingia guest/logde na demu wako chumbani ukakuta maneno kama haya nyuma ya mlango na vyooni kote. "KUWA MAKINI UKIMWI UPO NA UNAUA" Hapo kumbuka umekamia mechi na...
10 Reactions
45 Replies
4K Views
Habari zenu, mimi ni dada nina miaka 24 niko Mwanza nahitaji marafiki wa ku-chat nao na kubadilisha mawazo.
18 Reactions
385 Replies
14K Views
Nimekaa nimetafakari nimegundua wanawake tunapitia mambo mengi ya ajabu sana. Yani unakutana na huyu ana kitambi kama gunia , kibamia, ukienda kwa mwingine ana muhogo wa jang'ombe lakini dakika...
26 Reactions
99 Replies
7K Views
Mgonjwa:kwa hiyo dokta saa hivi unanipeleka nyumbani. Dokta:ndio naona sasa umepona kabisa inafaa ukakae nyumbani. Mgonjwa:safi sana nafurahi mno maana ni siku nyingi sijaona mke wangu na watoto...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii si ya kukosa, hebu tukutane leo aise. Kuna Reggae za kutosha, sweet, dancehall, roots. SAMAKI ni kama woooooote, hebu fanya tuipendezeshe weekend yetu kwa samaki choma na divai na mvinyo...
6 Reactions
49 Replies
3K Views
Japo kuna wasichana wanavutiwa sana na mimi lakini hakuna namna ya mimi kuwa na wao kwa sababu mini kwanza ni maskini sina uwezo wa kuwahudumia, japo wakiniangalia wanadhani mimi maisha bora...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Siku hizi kila siku lazima niende kwenye kampeni, kwani nimegundua kwenye kampeni kuna watoto wa bure na wakali, Kuanzia ile siku ya Uncle Magu pale Jamuhuri, kuna viumbe walishushwa na ndiga...
4 Reactions
17 Replies
1K Views
Kuna watu imefkia hatua tumebatizwa majina na kuitwa njaa kali. Kama uliwai kupitia hii hali au uliwai kuitwa njaa kali au bado umepewa nick name ya njaa kali share experience yako hapa. Kama...
8 Reactions
10 Replies
1K Views
Corona sio mchezo kwa kweli bora imeisha tufanye maamuzi magumu sasa. Ila wabongo wabishii kuna watu walikuwa wanaendeleza game kama kawaida
10 Reactions
128 Replies
8K Views
Jamani eeh... Nimeona nivunje ukimya maana kila mtu yupo kimya Naombeni mnialike Krismasi jamani mimi hata sili sana, kuku wawili, nyama ya ng'ombe kilo moja, pilau sahani tatu, nne au tano...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
[Verse 1] Hello, hapo vipi sijui unanisikia Hello, na maneno natamani kukwambia Hello, tafadhali usije nikatia Hello ooh, ona mpaka nasahau kusalimia Habari gani? Leo nimekukumbuka sana Na mama...
13 Reactions
108 Replies
7K Views
Wajumbe, ni Kazi Tu au Kazi na Bata! Haya maisha bhana fanya yote ila hakikisha unafurahia, viwango vya furaha vinatofautiana kutoka ndogo hadi zile kubwa ambazo hadi watu wengine watajionea...
10 Reactions
155 Replies
7K Views
Kuna msichana nimekuwa nikimfuatilia siku nyngi Sana bila mafanikio..... Nimetumia kila Gia lakin nimekuwa nikingonga mwamba..... Sasa leo asbhi asbhi amenipigia simu eti anataka twende beach...
2 Reactions
29 Replies
6K Views
Alisikika kijana mmoja akinadi biashara yake ya mchicha. Wabongo mna maneno!
4 Reactions
2 Replies
2K Views
Kichwa cha habari kinajieleza na huu ndo utakuwa uzi wangu wa mwisho na labda tu kuleta mrejesho. Namtaka mzungu tu wa kike, nipe site wakuu humu ni mambo yote Mimi uanaume wangu bado jipya...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Nikiwa Shule ya Msingi mwalimu wetu wa sayansi aliwahi kutuambia kuwa, binadamu yeyote akiamka asubuhi lazima ajisaidie haja kubwa, na ikitokea siku hujapata haja kubwa mara baada ya kuamka...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Back
Top Bottom