JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wabariiii wapendwa Jaman natafuta kiben10, napenda awe hb, sio sura kama ya harmorapa. Yaani nataka awe anadikeza, ananifulia, ananiogesha, ananipikia, ananidrive nikienda job. Yaan chochote...
8 Reactions
96 Replies
7K Views
Wakuu JF, Kwanza niwasabahi km mko pouwa pouwa. Nimekutana na warembo wanabishania khs handsome, nimeshangaa kwel, nikajiuliza, u_handsome unaliwa?! Halaf nikajaribu ku soma mawazo yao namna...
0 Reactions
165 Replies
35K Views
Joto la uchaguzi linazidi kupanda. Kila saa natoka JF naenda Twitter natoka Twitter narudi JF, nazurula mitandaoni kama sina kazi ya kufanya vile. Na mbaya zaidi sijahakiki kitambulisho, hivyo...
1 Reactions
7 Replies
732 Views
Dear Manka, Unaweza ukawa na sura nzuri, umbo zuri na kila kitu kizuri lakini Masele kachepuka... Masele haangalii uzuri wako, anaangalia ni wapi atatimiziwa haja zake, ni wapi kiu yake...
0 Reactions
9 Replies
931 Views
Binadamu hawaridhiki, ukiwasaidia sana wataona watageuza msaada kuwa jukumu lako, siku ukikosa wataanza kukunanga kwamba unaringa, una roho mbaya. Chunga sana kusaidia saidia mara kwa mara.
0 Reactions
3 Replies
597 Views
Kwa kawaida kwenye ibada wanazo shiriki wengi, kunakua na vipindi mbalimbali. Kuna praise and worship, kuna mahubiri, kuna maombezi na kadhalika na kadhalika. Upande wa siasa, waungaji mkono wa...
0 Reactions
4 Replies
509 Views
Kumekua na wimbi kubwa la malalamiko ya watu kwa marafiki, ndugu hata wapenzi ambao vipato vyao ni vidogo au vya Kati ; kunyanyasana, kuchukuliana kawaida , kupotezeana mpaka kufikia kuvunjiana...
0 Reactions
4 Replies
645 Views
Wanajopo habari za jumapili, wale ndugu zetu wakristu natumaini leo mmeshiriki ibada katika maeneo mbalimbali. Na wengine waliokuwa na mhe Rais mmeshiriki kwa kuchangia ujenzi wa msikiti of which...
4 Reactions
14 Replies
933 Views
Walioolewa au kuoa kwa mahari ya debe la mkaa, mahindi, mchele, pumba za kuku, sahani moja ya chipsi n.k au kwa mifugo kama kuku2, mbuzi 1, bata 3 n.k au kwa malikauli, njooni mtupe uzoefu sisi...
3 Reactions
54 Replies
3K Views
Nimekuwa nikiwatafakari hawa wadudu wawili na sifa zao ambazo kidogo zinataka kufanana, Siafu mwenye tabia za kung'ata kwa kushtukiza maeneo nyeti ayajuayo yeye hata kama ulishaondoka eneo la...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
Habari zenu wanajamvi Kesho nisiku yangu yakuzaliwa hivyo bhasi Nikiwa mwanajopo mwenzenu mnitakie kheri nafanaka tele [emoji506][emoji506][emoji506]
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Mwanaume Pambana Matatizo Mengine Yanahitaji Pesa na Sio Maombi. Utakuta mtoto wa kiume unapata jaribu linalohitaji kutatuliwa kwa pesa wewe unakimbilia kwenye maombi, umaskini ni mbaya sana...
10 Reactions
53 Replies
4K Views
Wazoefu mnipe kautaratibu inakuaje mna dumu kufanya mazoezi mwaka mzima bila kuacha? au mnatumia mbinu gani? MAZOEZI NI AFYA MREJESHO: Siku kama ya leo ya tarehe 9 jul 2018 ndo nilitoa hii...
12 Reactions
490 Replies
25K Views
Nasikia sikia tu, Mbagala Rangi Tatu ila najiuliza hizo rangi tatu ni zipi? Naomba kufahamishwa.
2 Reactions
17 Replies
8K Views
Nimesikia jinsi gani wanavyofanya test ya COVID-19/ Corona pale Ujerumani. Ni njia nyepesi unaweza kuifanya kwako nyumbani. Hapa taarifa: 1) Kwanza chukua chupa cha bia. Fungua na peleka chupa...
1 Reactions
2 Replies
880 Views
Inasemekana Warusi walikuwa wakimgwaya sana Dr. Shika kwa ugenius wake na akili yake iliyokuwa na uwezo mkubwa (si bure kuna kitu walimfanyia). Dr. Shika kwa manufaa anayoyajua yeye, inaonekana...
3 Reactions
25 Replies
14K Views
Mfano unalipa chumba elfu 30 kwa mwezi. Inafika mwisho wa mwezi umejibana bana katika kipato/mshahara wako umebaki na tsh 20000(kuna watu wamecheka hapa)... Unafika kwa landlord anakuzingua...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Maisha yamebadilika kwa kasi sana kuna mambo ambayo yalikuwepo zamani Ila kwa sasa hayapo Moja ya mambo ninayoyakumbuka zamani ni kwamba zamani tulikuwa tukinunua laini tuna anza kutumia papo...
0 Reactions
1 Replies
601 Views
Nakumbuka kukutana na binti mmoja mrembo asiye kifani, ilikua siku birthday yake, nlienda nikazuiliwa getini na Mhudumu kuingia ndani nikaambiwa tu kwamba binti ni mzima wa afya njema ila...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Jamani ka SMS bado huko? Hali tete hapa. Wale wafanyabiashara wenye pesa hapa sio kwenu [emoji23][emoji23][emoji23]
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Back
Top Bottom