JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
UTABIRI! Leo usiku kuanzia mida ya saa mbili karibia vituo vyote vya habari (radio na tv) nchini vitakuwa vinatangaza taarifa ya habari mbali zilizojiri hapa duniani kama ilivyo kawaida.Kwa hyo...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Hebu tuachane na mambo ya uchaguzi na corona kwanza. Tu refresh ubongo kidogo Kama dunia yetu hii tunayoishi ingekuwa ni kama vile KIKUNDI CHA WHATSAPP (WHATSAPP GROUP) je ni nani...
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Swali: Babu anapokea matibabu. Jibu: Nyanya napokea matinyanya. 😂😂😂😂😂😂
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hello guys 🖐 Kama kichwa kichwa kinavyojieleza, leo nisirefushe Sana maelezo, main body nimekuachia wewe, conclusion nitakuja kuimalzia Mimi. Karibuni👇
1 Reactions
132 Replies
7K Views
Unakuta profile picture ni hii ya kulia, mkikutana kwenye actual date ni huyu wa kushoto. Mtuonee huruma jamani.
16 Reactions
66 Replies
7K Views
Ujinga ni kuchukia unapofumania wakati we mwenyewe una michepuko ya kushato! Ujinga ni kushabikia waliokunyima ajira waendelee kukunyima Ujinga ni kupanga foleni ya NIDA na hujajaza hata ile...
1 Reactions
8 Replies
827 Views
Jamaa mmoja alikuwa ni mlevi wa kupindukia wa pombe za kienyeji,ikafika wakati akaamua kuacha kunywa pombe na kuithibishia jamii kwamba yeye na pombe basi tena. Siku moja baada ya muda mrefu...
1 Reactions
1 Replies
914 Views
It is said a pizza is made round, packed in a sqare box and eaten as a triangle. If you can figure out why then you can out women. Kwanini Pizza inatengenezwa kwa Umbo la duara, inapakitiwa...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
I'm from mara Mkurya O.G Nishaanza kuwa mwenyeji from 26 July ndo nimejiunga. Wengi walishangaa utitiri wa thread nazodondosha kwa siku au SAA. Mnisamehe ushamba wa JF Ila Jf has a lot to learn...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Utakuta umeenda ofisi flani kiofisi umekaa zako na kazi zako simu imeita umetoa iPhone 11 yako umeongea umemaliza unaskia kamjadala kaajabu watu wanaongeleshana “ yaani mimi nitoe milioni yangu...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Nina kawaida kila mshahara ukiingia sitoi pesa bank mpaka tarehe 01 ndio naenda kutoa pesa yoteee yaani haijalishi mshahara umeingia tarehe ngapi, hata ukiwahi tarehe 22 sitoi pesa bank mpaka...
8 Reactions
61 Replies
5K Views
Vipi wadau me naona Roma ashushe moja ya kiwanaharakati tumemisi hivyo vitu sana maana sabufa zina vumbi mno
1 Reactions
2 Replies
815 Views
Habari za Jumapili? Katika maisha unapitia na changamoto kama hizo, nina mikopo japo sio mikubwa sana lakini inaniweka wasiwasi sana nisije nikaenda jela bure natafuta namna niwalipe madeni yao...
6 Reactions
36 Replies
5K Views
Yaani katika dunia hii bora uwe na akili lakini ukose elimu kuliko kuwa na elimu alafu ukose akili. Nimeamini hili nimejiuliza mambo mengi hapa duniani yametokana na akili kwanza ndipo elimu...
0 Reactions
0 Replies
743 Views
Punda bhana!
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna Tamasha langu dogo tu nililiandaa jana mahala fulani ambako kiukweli huku huwa kuna Fujo hasa kutokana na Historia ya Wakazi wa huko. Hivyo basi katika kuamua kujizatiti ili lisiharibike na...
1 Reactions
1 Replies
717 Views
Habari za humu Wana JF Ni katika kuleta kitu tofauti tu ila hakina maana halisi na jinsi labda kusema ni itatokea kweli hapana ni kutoa tu mawazo kujiweka katika ile hali ya kuwa kuna kitu...
1 Reactions
2 Replies
484 Views
.......... Hakika mkivurugikiwa ntafurahi, naelewa tuko wengi huko na tushajichanganya vya kutosha, na vurugu lenu nasi linatuhusu, ila kwa mnavyotufanyia na msivopenda hata kutuona machoni penu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
MANENO YA ma MC KWENYE HARUSI ZA Masaki,Oysterbay,Upanga na Mikocheni >Karibuni wageni waalikwa kuna cocktails ipo pale kwa ajili yenu >Mwenye gari namba DTA142 amepaki vibaya gari yake inaziba...
15 Reactions
48 Replies
4K Views
Namfananisha ndugu yangu GENTAMYCINE Na Tundu Antipas Mughway Lissu. Hii ni kwasababu sifa zote za GENTAMYCINE alizonazo au anazojinasibisha nazo ni za Tundu Lissu. Mfano Charismatic fella Pure...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Back
Top Bottom