JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wanajukwaa, Nimefikiria sana leo na kugundua kamchezo kamoja kazuri sana na kanafurahisha naomba tucheze, kanahusiana na kugeuza silabi za neno ambapo ya mwisho ukiitanguliza mwanzo na...
2 Reactions
83 Replies
4K Views
Akiwekwa mahabusu ya wanaume anaenda kumegwa kizenji, akiwekwa mahabusu ya wanawake ataenda kuwapelekea moto. Sasa huwa wanawekwa wapi?
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna movie flani hivi inaitwa Machete ya kitambo kidogo ilikuwa ni noma, Kuna Mjuba Usoni ana Ngeu kinoma sio Ngeu tu ni Ngeu zilizotokana na michanjo ya Visu, ndio wa Kumwita Machete,Ana Roho...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Habari ndugu, jamaa na wapendwa Nimekuja Mwanza kidogo, lengo la theard nilikuwa naomba kufahamiana na baadhi ya members humu, tufahamiane baada ya kuishi na fake identification sawa Nipo maeneo...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
tukiachana na ule mjadala mzito Kati ya simba na yanga kuhusu logo zao, je ni chuo gani kina logo mzuri? Just for fun🤣🤣
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Natumai hamjambo wanabodi, Wakuu sio siri mitandao ya kijamii imetupatia tabia mpya ambazo katika uhalisia hatuna, tabia hizi za kimtandao zimetufanya tuwe na mbwembwe, show off, chai na mizaha...
17 Reactions
306 Replies
13K Views
Wana Jamvi, Naombeni namba ya Airtel ya Dr. Kikwete, kuna kitu muhimu nataka kumshauri. Kuna mtu amenipigia analalamika ati kwa nini ameachwa kwenye baraza jipya la mawaziri. Mie nataka...
1 Reactions
23 Replies
7K Views
Wanajeshi ni wapole bt ukiingia anga zao ni watu hatari sana,kuna chinga1 wa viatu aliwahi kukatiza eneo la kambi akiwa hajui kama hairuhusiwi, jamaa walimdaka wakampigisha tizi akawa analia ka...
11 Reactions
45 Replies
4K Views
Miaka ya nyuma kidogo alikuwepo mdada pale Ambiance. Alikuwa anaitwa Vanesa kisu cha maana yani. Mrefu mnee kidogo maji ya kunde hivi ana mwanya na macho ya uchokozi sauti nzuriii. dah kila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Heshima yenu wadau. Natarajia kwenda kuanza maisha Mtwara, naomba kujuzwa gari lenye huduma za kuridhisha na gharama affordable nikiwa natokea Dar. Lodge, gesti ambayo ina mazingira salama na...
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Waungwa nawasalimu. Ningependa kuulizia haya majiko yanayotumia pumba za mpunga/maranda ya mbao ambayo hutumiwa sana na wachoma chips hasa maeneo ya DAR... Niliyaona mwaka 2017 Ila kwa bahati...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Umefika wakati sasa ndugu zangu tuanze kufahamu matumizi sahihi ya simu, Iweje leo mtu unakuwa na picha nyingi kwenye simu kiasi hiki? Hiyo sasa simu au Camera cha kusikitisha sasa hizo picha zote...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Katika miezi hii na tunakoelekea naona , minyuzi ya wagombea na wagombaniwa imeshika hatamu kila pembe ni uchaguzi na wachaguliwa ila sio dhambi tukijipa break kidogo. Maisha yana mambo mengi...
2 Reactions
80 Replies
10K Views
Habari polen na mihangaiko ya kutafuta rizik . Niende moja kwa moja katika mada kuu . Wewe mrembo wa JF .popote ulipo nakuachia Laana za kula nauli na kusema uongo ,ukaona umenikomoa umesahau...
3 Reactions
16 Replies
783 Views
Naombeni ushauri tutapataje mmama wa kudumu??
5 Reactions
118 Replies
9K Views
Huyu mmiliki angetokea hapa Tanzania ningemshukuru sana
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Amani iwe kwenu. Aisee tumetoka mbali sana, ashughulikiwe aliyegundua simu hasa za mkononi. Ilikuwa mtu unafunga safari kwenda kumtembelea mtu unakuta na yeye kasafiri. Kupata taarifa za msiba...
7 Reactions
34 Replies
2K Views
#Semanao Kama wapo vijana katika umri uliotajwa hapo juu huu ni Uzi kwa ajili yenu all genders no discrimination... It seems like mpo kimya na wapekwe Sana humu ndani. Tiririkeni hapa....Fanyeni...
2 Reactions
4 Replies
482 Views
imekua ni aibu sana kujamba mbele za watu au kwenye gari nk hv ni ajabu kwani kujamba mbele ya mpenzio? maana mm nimekua na tumbo kujaa ges sana na kutoa ushuzi huwa sioni aibu kutoa ushuzi mbele...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Aliye wapembua na kuwaajiri pongezi zimfikie, ukikaa pale ukiwa unasubiri usafiri huchoki kungojea bus, sura safi, warembo wakarimu pia wana chura ya kutosha. Huu ni utalii wa ndani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom