JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimetengwa na niliyempenda niliyemthamini niliyedhani atakuwa wangu wa ndoa niliyempatia kila alichoitaji nilijisikia furaha yeye akifurahi pale anaponambia ahsante. Leo alichonifanyia...
3 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari, Ni aina gani ya michango ambayo unaipa like humu Jamiiforums? 1. Mchango wenye jibu sahihi. 2. Mchango wenye wazo kama lako. 3. Mchango wowote wa mtu uliyezoeana naye? 4. Michango wowote...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kufuatia press release ya polisi kuwataka CHADEMA kuwa na kibali cha kumpokea mgeni wao, wananchi wameamka na kuanza kuitekeleza amri hiyo Hii hapa chini ni nakala ya barua ya mwananchi fulani...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana Jf, katika matukio hatari na ya kutia hasira, tangia tupate uchumi was kati, tumepata vipigo vya mbwa mwizi viwili chakwanza cha Shilole cha pili cha yanga. Kipigo cha yanga ndicho...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa mtazamo wangu hizi ndio picha za kishamba: 1. Kupiga picha umeshika soda 2. Kupiga picha ndani ya gari, malango wazi, umeshikilia sterling, na unamuangalia mpiga picha. 3. Kupiga picha...
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Nafwatilia yanayoendelea uchaguzini nikawakumbuka sanaa hawa mama zetu wadogo wanaolinda ndoa za baba zetu aka. michepukoo aka vichenchede Hakikaa jamaa wangekuwa na rohoo za wajumbe wanakuchekea...
1 Reactions
6 Replies
748 Views
Mimi binafsi siwezi kusahau tukio linalonitia simanzi hata leo ninapoandika ujumbe huu Siwezi kusahau nilivowashindisha njaa waombolezaji kwenye msiba wamama (walikula baadae kwakuchelewa) msiba...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari za asubuhi, Ni kitambo sijafanya mambo humu jukwaani, mwenzenu nilikula block na nimejifunza 😎😎😎. Kuna ubadilifu mkubwa sana unafanywa na wauza machungwa, either kwa makusudi au kutokana...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Wote tumeshuhudia katika mchakato huu wa kura za maoni wajumbe wakifanya Yao Wamekula vichwa mwendo wa spana tu Itoshe kusema wajumbe ni wajuba walio changamka
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, Leo nataka kwenda kuogelea lakini bado nafikiria niende beach gani, leo ni weekend na shule zimefungwa hivyo beach kama Jangwani Sea Breeze na Kundunchi zinakuwa na watoto wengi na...
0 Reactions
52 Replies
14K Views
Ogopa kicheko cha MJUMBE Mjumbe hana udugu Mjumbe ana ajira ya mara mojaa kilaa baada ya miaka mitano ila madhara yakee balaaa, uliza Kigamboni MTAFUTE Steven Nyerereee ama Mpoki wakwambiee...
4 Reactions
11 Replies
951 Views
Wakuu, Nimekamilisha hatua zote za kufunga ndoa na mke wangu mtarajiwa na tarehe imeshapangwa ni suala la mda tu. Katika mwingiliano wa maisha nimempata binti wa kipogoro (Mpogoro). Nasaha...
4 Reactions
105 Replies
6K Views
Wakuu, Hapa unatakiwa uandike sentensi yoyote ukianza na neno “Wajumbe”. Mfano: Wajumbe hawakumwelewa Mwijaku au Wajumbe wamempotezea Masterjay Rasta zake na wa mwisho ndio mshindi. Tusiandike...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Sina hakika kama unaweza kutazamwa na jicho zuri kama hivi halafu ubaki salama. Sijui. Narudia sijui.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Najua unatembelea kwenye hili jukwaa na kukutana huu uzi wangu. Nijibu japo kidogo basi Nimemis busu lako. Nimemis ulivyo kuwa unaninyonya mate. Huku niliko sisahau ile siku tulipo fungulia wimbo...
2 Reactions
14 Replies
962 Views
Habari za wakati huu wadau? Kwa wale wanaomwamini katika dini haijalishi ya kikristo au kiislamu huwa kuna dhana fulani hivi ambayo hufanya watu waogope kutenda dhambi. Wengi wanaamini kwenye...
0 Reactions
25 Replies
1K Views
Hapo awali CCM ilikuwa na Kura za maoni kwa ngazi ya ubunge ambapo wajumbe walionesha nguvu yao kwa chama dhidi ya wagombea wa nafasi za ubunge. Hivi punde wajumbe kwa ngazi ya kata nao...
0 Reactions
3 Replies
647 Views
wakuu ni muda sasa nipo single..nataka niachane na ubachelor..nipeni mbinu/steps za kutongoza kuna mdada humu jf nmemkubal sema mi domo zege
1 Reactions
11 Replies
870 Views
Huu wimbo kuna watu wengi sana waliingia chaka na hadi leo bado kuna watu wanaingia chaka 😀😀😀 Baishoo I love you bebi🎶 ❌ (I swore I love you baby)✅ The baby to the sani❌ (You gave that to the...
29 Reactions
52 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…