JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo nimecheka balaa! Lakini nimewapongeza makonda daladala wa barabara ya ya Bagamoyo kwa hatua ya kumuenzi baba yetu Mkapa. Tuko Mezi Goig tonaelekea kituo cha Makonde, konda kaanza...
8 Reactions
7 Replies
713 Views
Kwanza hongera kwa wana Arsenal wenzangu kwa kubeba ndoo ya FA leo. Go Gunners Back to topic, kwa madada wote mnaotafuta wenza bora wa maisha, kama hufanikiwi katika nyanja hiyo nawashauri jaribu...
9 Reactions
63 Replies
3K Views
Facebook kuna mchezo unaitwa Farmville, kuna wakati nilikuwa addicted kabisa, nilikuwa ninapanda mazao kuhakikisha baada ya masaa matatu yatakuwa ni ya kuvuna, nitaharakisha kila ninachofanya ili...
13 Reactions
237 Replies
51K Views
Habari wana jukwaa. Kama kawaida ni jumapili tulivu nimepumzika naangalia Tv naona kuna tukio linaendelea Ikulu la mabalozi wa Marekani na Vietnam wanajitambulisha. Sasa katika kujua hili na...
1 Reactions
3 Replies
576 Views
Huyu dada hapa jiarani anaolewa hii ndoa ya tatu. 2013 nilimchangia send-off nikahudhuria na ubwabwa nikala. 2016 akaleta kadi ya mchango, ndio nikastuka oh kumbe aliachika. Nilimchangia tena...
10 Reactions
46 Replies
3K Views
Hawa wajumbe wanaanza kujizolea umaarufu wa ajabu na picha zao zimeanza ku trend mitandaoni kama huna moja ama huwajui waulize wagombea wa chama Mkuu Pascal Mayalla anaweza kukupa abc zao hao...
14 Reactions
129 Replies
14K Views
Habari. Huu mwaka unaisha bila kujua unaishije. Bado nahisi kama mwezi wa 3 ulikuwa juzi tu. Lakini sasa hivi ni mwezi wa nane na hakuna cha maana nilichofanya kati ya vyote nilivyojiapiza...
4 Reactions
14 Replies
571 Views
mwaka2017 nilimaliza mwezi mzima sijalala ktk kitanda changu, siku ya kulala nakumbuka niliamka na mapele si ya nchi hii.. kwa kweli sitamani tena hawa wadudu wanirudie..!
2 Reactions
196 Replies
21K Views
Nikikumbuka Nilivyokuwa Napima Barabara Na Uzi Kwenye Jiografia. Halafu Sasa Hivi Tenda Wanapewa Wachina, Usingizi Unaisha Kabisa
2 Reactions
0 Replies
284 Views
I can't wait to meet my soulmate I can't wait to love her I can't wait to take care of her I can't wait to put a ring on her hand I can't wait to have children with her I can't wait to grow with...
2 Reactions
11 Replies
627 Views
Natumai hamjambo wakuu. Mara kwa mara machizi wamekua wanakuja kwangu, sasa nachojiuliza wakuu kutembelewa na machizi kuna ashiria jambo baya au ni hali ya kawaida? Karibuni kwa michango yenu na...
2 Reactions
46 Replies
3K Views
Manka: Umechoka!? Oga, kula, Pumzika, lala Ukiamka Tunaendelea, Sina Muda wa kuanzisha Mahusiano mengine Usinichanganye kabisa chalaangu haikatai, Na imeisha hiyo🤪🏃
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Khabari za Saa hizi! Wadau kama mnavyojua kesho Mambo flani hivi ya Maakuli mambo ya kupika pika vitu Vitamu vitamu 😁 Sasa kwangu mi hali nasukumizia na ntakalokutanalo kesho Sijui wadau...
0 Reactions
10 Replies
727 Views
wakuu naomba msaada. kama. ukitokea mwenge kama unataka kwenda eco homes mbezi beach unashuka kituo gani
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Katika MwanaJF ambae natamani nione nyuzi zake tena ni ndugu ONTARIO. Huyu jamaa nyuzi zake ukizipitia kuna kitu unapata umri wake, uthubutu wake katika kutafuta, kama unapenda maendeleo...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu,poleni na majukumu ya kulijenga taifa ,kwa wale wenye matatizo mbalimbali poleni kikubwa kuto kukata tamaa lengo la bandiko ili Ni kuwasaidia vijana mawazo mbalimbali yatayo...
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Mimi ni mtumiaji wa pombe kwa muda wa miaka 26 hivi kwa muda wote nimekuwa nikinywa castle lager kama pombe niipendayo na mara chache sana pombe kali na wine wakati nasoma O-Level nilikuwa nakunya...
0 Reactions
51 Replies
8K Views
Weekend imekwendaje wakuu? Kitambo sana sijatumikia mtandao wangu mpendwa JF ni kwa sababu mambo yakiingiliana Nna Kama miezi minne tangu nikimbie hom nlikozaliwa na kuja kuanza maisha mapya...
2 Reactions
5 Replies
662 Views
Kuna DEMU mzuri kama Malkia leo ameniangalia muda mrefu tukiwa kwenye daladala ya Gongo la Mboto kwenda Makumbusho nikajua maybe amenipenda, Nikamfata nikamuuliza vipi? Mbona unaniangalia hivyo...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za mida hii wakuu, poleni sana na msiba, R.i.p Benjamin William Mkapa 🙏😔 Jana bwana nilikuwa mitaa ya home hapa nimeskilizia kibaa fulani hivi nakunywa moja moto moja baridiii 🤗 muda...
0 Reactions
5 Replies
759 Views
Back
Top Bottom