JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kila mtu ataje KIWANJA Cha BURUDANI kinachohiti eneo ulipo. MBINGA ruvuma ni PLUS de Lounge, ipo stend kuu ya mabasi, huko kwenu ni kiwanja gani kipo hot, ili tukifika tusiumize vichwa
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna aina mbili za wanadamu, wanaochepuka na wasiochepuka. Sio lengo la andiko hili kuelezea kwanini wanachepuka. Humu nimeelezea tu mbinu za kuendesha maisha ya kuchepuka kwa tahadhari. Kitabu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Katika maisha yangu haya sitasahau umbali mrefu zaid niliowahi kutembea nilitoka dodoma mjini mpaka iringa zaidi ya km 240.pia nimewahi kutoka singida mpaka babati.pia nishatembea kutoka igunga...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
0 Reactions
8 Replies
825 Views
Duuh nilitaka nisahau [emoji3] Napitia profile yangu naona tarehe ya leo inafanana na siku niliyojiunga JF Nilikuwa Niko mtaani enzi hizo ramani haisomeki [emoji3] Nimepata mengi sana hapa...
4 Reactions
8 Replies
607 Views
Wadau mwenzenu yamenikuta. Ni mwanaume, nimeingia kwenye uhusiano wa kimapenzi mrembo mmoja. Niliwahi kuambiwa kuwa mrembo huyu ni msagaji sikuamini. Tulipokutana mara ya kwanza alinipa mahaba...
22 Reactions
376 Replies
59K Views
Kama upo around, karibu TIPS hapa tupate moja mbili bill yangu. Karibuni sana
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Opportunity Cost ya kufanya umalaya ni hii hapa....... Unakumbuka nilipost thread ya kuelezea kwanini utumie pesa mingii sababu ya just one night eti kisa mbunye..!!! Sasa instead ya KUHONGA...
9 Reactions
61 Replies
5K Views
Natumai mko poa na mnaendelea vyema kuchapa kazi katika kipindi hiki kigumu kwa sasa duniani. Kila mtu kwa imani yake na aendelee kuomba Mungu atuvushe salama. Iko hivi, leo katika kupitia pitia...
13 Reactions
245 Replies
32K Views
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwaka ndo huo umeisha, zifuatazo ni thread bomba, mwana jf bora kutuka kila jukwaa. First of all. Tuwakumbuke wana Jf wenzetu tuliowapoteza mwaka huu Dena Amsi & ibra87. Threads bomba za mwaka...
15 Reactions
69 Replies
8K Views
Wajumbe karibu sana Dodoma Vitalis Konga (Mwana Vasamwenda)
1 Reactions
1 Replies
674 Views
Hapo ujue unanyimwa mze
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hello JF! Heshima kwenu na kwangu, uwepo wetu humu ndio unafanya jamii forum iendelee kuwepo. Japo niiliifahamu JF mapema mwaka 2012, lakini tarehe kama ya leo mwaka 2015 ndio rasmi nilijoin kama...
12 Reactions
52 Replies
3K Views
Nipo Nduguti naelekea Singida Mjini. Naomba kwa mwenyeji anipokee Stendi anitoe tongo tongo za mji huu. Natanguliza shukrani. 0624274356
0 Reactions
12 Replies
853 Views
Wenyeji wa Dodoma leo nakuja huko kwenu, naomba mnipe A B C za huko, Kama vile nifikie wapi, nikashangae wapi maana si ndo makao makuu ya Tanzania lazima kutakuwa na vitu vya tofauti. Ahsante...
4 Reactions
102 Replies
8K Views
MKEO AKIANZA JEURI, MPANDISHE CHEO AWE MKE MKUBWA 🤣🤣🤣🤣🤣
6 Reactions
12 Replies
6K Views
Its so amazing kwamba mnakaa sehemu moja lakini kutokana na utambulisho bandia mnakuwa hamfahamiani kabisa... Halafu kinatokea kitu kidogo sana lakini chenye uzito wake.. Kisha mnafahamiana. Mimi...
11 Reactions
61 Replies
3K Views
We are Tanzanians[emoji173] -We call every toothpaste COLGATE We don't care[emoji23] -We call every noodle SPAGHETTI We are like that[emoji23] -We call every insecticide DOOM We cant help...
5 Reactions
13 Replies
915 Views
Kabla mwaka haujaisha, ningependa kila mtu aseme mtu ambaye amekuwa bora kwake katika uchangiaji, kuchekesha pamoja na pumba. Ukiachana na Kiduku Lilo, naanza na huyu jamaa amepotea sana mzee wa...
3 Reactions
58 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…