JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
huu ni uzi maalum wa kupasha/kujuzana habari mbalimbali,au kutuambia chochote ambacho we unahis kuna baadhi ya wanajamvi hawajui mfano: 1je wajua..demu wa mkoani ukimwambia aje dar atakuambia...
4 Reactions
41 Replies
7K Views
- Pombe imekatazwa - Kitimoto imekatazwa - Uzinzi umekatazwa - Kuruka ukuta kumekatazwa (tena kwa Amri na hukumu kabisa nanukuu: "Wazinzi na Wafiraji wote hawatauona ufalme wa mbingu") Hivyo ni...
8 Reactions
96 Replies
9K Views
Hebu tuongee ""in minimalist ways......"" Unakutana na mtoto mzuri ana D tatu, Toto jeupeee, miguu ya bia Kifupi TOTO LIMEUMBIKA. Kichwa cha chini kinakuongoza na unaona uombe namba. Siku...
13 Reactions
147 Replies
10K Views
Nafanya kazi, laki tisa KITU NI mshahara wangu wa mwezi unasoma kwenye "salary slip" lakini kiasi nachoingiziwa benki ni laki nne na USHEE tu. Hii inatokana na makato kibao, nakatwa bima ya afya...
6 Reactions
11 Replies
2K Views
Kila nikitaka kuacha bia nawafikilia Wananchi wenzangu ninaowapenda na ambao wanategemea mnyororo wa bia ili waishi. 1. Wakulima wa uwele na shairi ambayo ni malighafi ya kutengenezea bia. 2...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
even if he is not your boyfrend , as long as he makes u happy ,give it to him😆 😅😅
2 Reactions
2 Replies
908 Views
Niko bed nimechill baada kula puff kazaa za joint OG. Stimu zinakuja sijajua nin kimenifanya nitake kukumbuka mtu wa kwanza kumpenda na mtu mtu wa kwanza kumtamkia neno i love make naamini kuna...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Leo imekuwa siku mbaya kwangu, nimepanga geto uswahilini na tunashare choo/bafu(both in the same room) na wapangaji 7 wengine(most ni 1st & 2nd year wa chuo jirani hapa). Asubuhi ya leo nimenda...
3 Reactions
51 Replies
22K Views
Juzi nilipelekwa Buza, Kwa mara ya pili maana Buza NI kubwa Sana Nikaenda kuulizia maana ya mparange sijui Kwa mparange nikapata maana nilicheka sana Sijui mambo ya kiswede mambo ya Ambaruti...
3 Reactions
61 Replies
7K Views
Wana JF jamani tuseme ukweli sisi tulio kwenye ndoa ni kama tuko paradiso ndogo; hakuna kuhangaikia tena kutafuta au kupigwa kalenda, yaani nikiingia tu ndani naambiwa "karibu baby, unakula kwanza...
7 Reactions
40 Replies
2K Views
Hello wakuu hii post ni mahususi kwa ajili ya kushare screenshot za matumizi yetu ya vifurushi vya internet kwa mwezi unaoisha (mwezi wa 6) Labda kupitia hii post watu wa makampuni ya simu...
1 Reactions
51 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF, ni id gani ya member wa humu jamvini unayo ikubali zaidi? Mi binafsi nakubali iyi: #Mtoto halali na Hela Sent using Jamii Forums mobile app
7 Reactions
369 Replies
17K Views
karbuni mtoe mtoe credits greetings kwa memba mnaowakubal shoutout zangu natoa kwa Joanah jo na Depal popote walipo
4 Reactions
210 Replies
10K Views
Dah hamuwezi amini katika kipindi hiki cha kukaa ndani numejifikiria nanimegundua kwamba p,q,d,b, zote ni herufi moja sema matumizi na mikao ndo inafanya zionekane tofauti. Tupia fikra...
1 Reactions
3 Replies
850 Views
Ni siku chache tu zilizopita nliandika katika uzi mmoja Siku ya kumtembelea Deo Kisandu Jamaa yetu JF Kumkumbuka Huyu Mwamba katika Medani za Siasa hapa Tanzania. Aliyejikusanyia wafuasi wengi...
4 Reactions
61 Replies
5K Views
Hivi siku ya kwanza uliposafiri na basi,treni, ndege ilikuwaje? Ulilala? Tupe uzoefu wako
2 Reactions
38 Replies
2K Views
Ni kwa mapenzi mema kabisa kwamba kwa jinsi kwangu wiki ilivyo njema tungetoka tuende walau hotel Yeyote tutakayoichagua ili niwape hata pole ya Saumu!!! Lakini kwa mtazamo wa haraka haraka bado...
1 Reactions
135 Replies
8K Views
Hakuna MTU anaechagua kubaki YATIMA😢😢 Hakuna mzazi anaye chagua kufa😭😭 na kuwaachaa wanae wakipambana💪 wenyewe. M/Mungu awape hitaji la nyoyo💖💕💝 zao MAYATIMA☝☝ wote wa dunia🌏🌍 nzima Amiiiin 🙏🙏🙏
4 Reactions
6 Replies
482 Views
Hey inakuaje mandugu humu ndani!?I hope mko poa.. Bila kupoteza muda kama heading inavosema,je ni swali au maswali gani ya msingi uliyowahi kuulizwa na mtoto mdogo hadi ukashangaa uyu mtoto...
1 Reactions
2 Replies
667 Views
Back
Top Bottom