JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
JamiiForums ni sehemu ambapo tunapata habari, tunaelimika, tunaburudika na hata stress wakati mwingine. Pamoja na faida zote na hasara hizo ila baadhi ya member wana vituko na kubadirika kama...
45 Reactions
863 Replies
35K Views
Mimi:mambo mrembo Mrembo;poa mimi;Nimeona kuna sehemu umechangia binafsi nimetokea kukuelewa,upo vizuri Mrembo;mmh ahsante Mimi;yap, unaishi pande za wapi ...
9 Reactions
188 Replies
6K Views
Habari za jioni wapendwa!? Leo kuna kijana mmoja kaniambia kuwa ako na rafiki yake wa kike ambaye amezoea na yuko huru sana kushika simu yake (simu ya huyo kijana) na kijana yupo huru pia kufanya...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
Kwa sisi tunaopenda kusafiri,tukifika huko tuendako huwa tunapenda kufahamu sehemu ambazo tutafurahia maisha tukiwa huko ugenini.Moja ya vitu tunavyopenda ni kwenda kwenye viwanja vyenye watoto...
1 Reactions
47 Replies
11K Views
"Moja kati ya Couple maarafu sana humu JF ni hii ya The Bold na Nifah. Kwakweli kwa jinsi nilivyopitia baadhi ya post na comment za Nifah,huyu mtoto inaonekana anajua sana kudeka,mapenzi na...
5 Reactions
71 Replies
5K Views
Aseee ndugu zangu wanaJF mnaweza kudhani ni masikhara au ni matumizi mabaya ya simu yangu ila ukweli haipo hivyo... Ukweli ni kwamba nimekuwa na deep feelings kwa huyu msanii anaitwa Zuchu kiasi...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
Nawasalimu wakuu... Nafurahi sana kuiona Jf ikikua na members kuongozeka sana!! Nimetumia muda mrefu kidogo kusoma kinachoandikwa hapa jukwaani kwa sasa nikifananisha na tulikotoka... Naona sasa...
28 Reactions
1K Replies
54K Views
Hivi ni kwanini wanaume wengi wanaogopa sindano kuliko wanawake?
2 Reactions
36 Replies
2K Views
Binafsi ningeacha kubeti na kuwekeza kiasi cha pesa katika mambo ya msingi kama ujasiriamali[emoji24] Pili ningebadilisha mfumo wangu wa uzingatiaji wa afya. Wewe Je?
0 Reactions
36 Replies
2K Views
  • Closed
Kutokana na Mada zao na michango yao humu ndani yenye kuelimisha na ukomavu wa fikra, Nawakubali sana. Pascal Mayalla, Nguruvi3, barafu, Humble African, Paula Paul, habibu Anga, @JBourne69, Mag3...
11 Reactions
127 Replies
7K Views
Wanugu hawataki kabisa kushughulisha akili zao hata kwenye mambo simple kabisa. Celebrity mnugu kaweka caption yake ambayo inahusu masuala nyeti yanayo gusa maisha ya wanugu nchini Marekani. ...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Vijana wengi kuanza maisha hupata shida waanzaje. Tafuta elfu tano nunua mkeka huo huo utautumia Kama kiti Cha kukaaa wewe na wageni wako na hapo hapo ujautumia Kama kitanda kulala usiku.
2 Reactions
23 Replies
4K Views
Wanakamatiiii Jaman jaman Jf kumbe nzito kiasi hiki poooh mmenishinda kwa kweli yani nimewashiba agagaaa! Nasikia yule member maarufu ako na I'd yenye kutamka kwa uzito kama jiwe la kg 125 . Na...
14 Reactions
189 Replies
12K Views
Hapa ni ama ule fimbo za hatari, au ulale bila kula huku ukienda kuogeshwa maji baridii!
3 Reactions
10 Replies
782 Views
Kuna. Member wanakuja jf wakiwa ni wageni na wanakuwa na hamu ya kupost kwenye kila thread na bahati mbaya anajikuta kero kwa watu wengi Mfano jumanne ya wikii hii jf ilipokea member anayeitwa...
20 Reactions
75 Replies
5K Views
Tangazo kwa Wanachuo waliokula Ada. Tunanunua simu za wanazouza ili wajazie katika Ada na nauli zao za kurudi chuo. Mwanachuo weka tangazo lako usione aibu.... Kitaa pagumu na ndiyo may be...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Imekua nikawaida kwa wanaume humu kujisifu atumia mtaro tena nakujisifu kabisa sidhani kama niungwana Taarifa nyeti kama hizi unazianika hadharani yanini janaume zima na suruali yako ndefu kama...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu hizi dawa sio mchezo, acheni tu ngono zembe usifanye kwa makusudi. Halafu utegemee umeze hizo dawa ni balaa, zinapelekesha vibaya mno, mateso yake ni kama unataka kukata roho. Zinatesa mno...
14 Reactions
113 Replies
22K Views
Habari za jumapili wana jf wote yamkini wote tumeamka salama. Nyumba za kupanga zina karaha yake na sio muda wote tunazichukia, na Kuna muda tunazipenda pia je? Ni kipindi gani ulitokea...
0 Reactions
8 Replies
870 Views
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom