1: HP
2: Epson
3: Canon
4: Dell
5: Mo Dewji
Hii namba tano tujikumbushe
(I) Azam Energy- Mo energy
(II) Azam Ukwaju- Mo Ukwaju
(III) B29(sabuni ya kipande)- Mo29
(IV) Azam cola- Mo cola
(V)...
Nimeamka alfajir kufuatilia mchongo town, mambo yamekuwa magumu mno.
Baada ya kutofanikiwa, huku nikiwa nimeahidi mambo mazuri nyumbani, nimekumbuka maneno ya jamaa mwenye PhD ya ukungwi; daah...
Njoo tukosoane.
Andika kitu chochote unachoamini au kuwa na uhakika nacho kwamba ni cha kweli unavyofahamu wewe halafu member mwingine atakuja kukukosoa.
Mfano mimi siku zote nilikuwa nafahamu...
Habari za jioni wanajamiiforums wenzangu?
Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikijiuliza hivi ingekuwaje kama wasichana wa kibongo wote wangehamishiwa kwa jirani zetu Kenya na hao wasichana wa huko...
Nimeamini Kiba anafanya mambo makubwa sema ni vile hataki shobo tu.
Alikiba ameanza mazungumzo na mamlaka husika mkoani Shinyanga kuhusu kupata kibali cha kununua uwanja wa ndege uliokuwa...
Wakuu kuna swali dogo napenda niwaulize.
Na yule wa kwanza kujibu kwa ufasaha basi anajipatia zawadi ya milioni 2.
Ngojeni kidogo simu imezima chaji..ikijaa nakuja kuwauliza
```Vijana watatu wa chuo kikuu hawakufanya mtihani kwa sababu hawakusoma na hawakujiandaa.
Wakaja na mpango, wajichafue na oil chafu kisha waende kumwona mwalimu wao wa chuo.
βMwalimu tunaomba...
Oozah inakuaje wajuba fas izi, I hope mko yechu ile kinyax, basi bhana acha niende moja kwa moja kwenye mada...
Ebhana siku ya Eid nilitimba na wahuni wangu town kati pale ku'party. Tulikua na...
(MBILI 3 ZA MZAMBULI)
Aslaam Aleikyum ndugu zanguni,,I hope mko poa,,kama kawaida mbili 3 za Mzambuli ndizo zinaanza kabla ya Targeted Story...
MZAMBULI:Oraah skieni wajuba niwaambie ukweli...
*Mzuri wa sura sio unakuwa na demu sura kama ngiri.
*Mweupe au rangi ya chocolate au maji ya kunde na sio mweusi.
*Shepu lazima awe na msambwanda medium size,Sio shape kama Sanchoka maana ile...
JAMAAN ndugu zetu form six (6) wanateseka Sana kusomaa Hadi sometimes wanawaza wajifukizee TU izi notes.
Tuwaombeeni dua
πππππππππππππππππ
Kuna mwana jamvi yeyote amewahi kwenda ukweni akakutana na kioja chochote?
Atiririke hapa chini ili sisi tunaotarajia kwenda hivi karbuni tujifunze vipi vya kufanya na vp sio vya kufanya .........
Huyu jamaa nlisoma naye chuo miaka ya nyuma. Ni msukuma wa Mwanza. Alikuwa jamaa fulani hivi wa Mkoani amegangamaa.
Baada ya hapo ktk harakati za maisha akahamia Kinondoni. Jamaa amebadilika...