JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi nilikuwa tu nazisikia hata kuziona nilikuwa sijawahi kuziona. Nilikuwa naamini zitakuwa zinauzwa gharama kubwa sana kwa hiyo sikuwahi hata kuwa na muda wa kuzifuatilia. Hebu na wewe kuwa...
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Ukubwa wa pua si wingi wa kamasi Akili yako ijiongeza ukubwa wa mtu Usikufanye ww uingie mkenge ati kasema Boss kaa na utafakari alichokisema kama Kina mashiko Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari Tanzania! Kwa wale wataalamu na wabobezi wa vileo, naomba kuuliza eti inawezekana kuzalisha bia ya unga na sio kimiminika kama zilivvyo nyingine? Mfano mtu unaifunga kwa kiwango tofauti...
3 Reactions
40 Replies
2K Views
Habari, Najua mtasema huku hawapo ila naamini wenzangu na mimi wapo maana kwenye msafara wa kenge na mamba wamo. Startimes wameturahisishia sana tusiojua kizungu, kwa sasa sisi tunaangalia A...
8 Reactions
102 Replies
9K Views
Hello friends, you are most welcome on 23/09/2018, I would like to welcome these friends to meet me 1.@Gudumee 2. @Prondo 3. venchwa 4. BAK 5. Trabbit 6. GENTAMYCINE 7. Lizaboni 8. The...
5 Reactions
99 Replies
7K Views
Habarini za asubuhi wakuu. Ni desturi iliyopo kwa baadhi ya makabila na hata wazazi kuwapa wanao majina ya asili ,naweza kuita majina ya kiukoo.. Wale wote wenye majina ya asili naomba mtupe...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Niliingia uwanjani mapema sana. Mbali na kufuata burudani ya soka. Kushangilia timu ya taifa langu. Pia miongoni mwa vitu vitu vinavyonipeleka uwanjani ni totozi bana. Sijui bwege gani huyo...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu shikamoon? Nimepanga nyumba ambayo tunaishi pamoja na mother house ,huyu maza ni mtu mzima tu around 60+,anaishi na mabinti zake ambao ni warembo kama yeye, huyu maza tunaheshimiana sana...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Taja Sheria Moja Ya Mpira Huu[emoji116]
2 Reactions
56 Replies
10K Views
Leo nimekuwa na furaha baada ya kukutana na rafiki yangu wa shule , A level . Yeye alinitangulia darasa moja,alinipokea shule tukawa marafiki sana. Alinitangulia pia kufika mjini , chuo UDSM...
7 Reactions
44 Replies
3K Views
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] John was a very dull boy. His peers called him "Father of fools" When he...
8 Reactions
18 Replies
2K Views
Muda si mrefu tu nimetoka Kupanda Gari ya Mwendo Kasi na Mzungu Mmoja hivi na wakati Safari ikiwa inaendelea huku muda wote akiwa anajisomea Kitabu chake ( Novel ) katika hali yake ya Utulivu na...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Ilikuwa 2012, nilichukua package holiday ya siku tano ilijumlisha hoteli ya nyota tatu, nauli ya ndege na usafiri wa ndani kwa £1,200. Hii ilikuwa inajumlisha chai asubuhi na chakula cha usiku...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipeni dili masela nikamate mahela, Nani anipe dili Tena iwe moja tu yenye akili Yakulala masikini na kuamka tajiri? Nipeni dili masela.
1 Reactions
3 Replies
961 Views
Hii ndiyo raha ya kuwa mwanachama wa jamii forum, wote ni ndugu hakuna cha wapwa wala wakulingwa tunainuka kama jamii moja. Jamii forum inabaki kuwa uwanja mpana wa jamii wenye kutoa hoja kuntu...
1 Reactions
4 Replies
659 Views
Mwenye tafsiri ya misemo hii atupe tafadhali. 1. Hasira za uume haziwezi kuvunja uke (Zimbabwe) 2. Hakuna bikira kwenye chumba cha wazazi(Cameroun) 3. Mtoto huchezea matiti kwa mama yake na sio...
7 Reactions
21 Replies
6K Views
Jamani eeh... Naomba mnisaidie kuwakumbusha wale wanawake wanaovaa cheni miguuni..kuwa BIASHARA YA UTUMWA (SLAVE TRADE)..ilishaishaga..kwa hiyo wasiendelee kutukumbusha kumbusha.. #Yaani unatumia...
0 Reactions
1 Replies
524 Views
Poleni wananzengo, Si vibaya kukumbuka nyakati zilizopita pindi tukiwa watoto wadogo ukiachana na maswali ya kidadisi kama vile "Eti mama mimi nimetoka wapi?" Je ulishawahi kuwaza nini kipindi...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Hi guys JamiiForums tunatumia ID ambazo si za kweli lakini pamoja na hayo kuna vitu maishani hauwezi vibadilisha wala kuviigiza na mfano wa kitu kimoja wapo ni ndoto huwezi igiza umemuota...
5 Reactions
90 Replies
5K Views
Back
Top Bottom