JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wanaJf, Poleni na harakati za kutafuta riziki. Hongereni pia maana nyinyi ni wapambanaji na ipo siku mtashinda. Kama kichwa kinavyojieleza pale juu. Ebu kiangalie tena kinasemaje. Haha...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Watanzania tunatisha sana katika suala la kuwa na vyeo bila ya kuwa na kazi popote pale. Unaweza pita njiani ukasikia vyeo kama kamanda, boss, kiongozi, mtaalamu, fundi, brigedia, jenerali...
7 Reactions
59 Replies
5K Views
Fuso imegongana na bajaji. Mama mmoja agonganishwa na bint yake wa kazi. Mama awaka na awa mkali. Mzee wa kasumba awa mpole. Afikiria kuwatema wote. Aibu yatawala wajihi wake. MWISHO WA UZI
1 Reactions
7 Replies
715 Views
Wadada hasa Tanzania licha ya kusema Nchi ya kijamaa wanawake 95% ni wa baguzi sana kuna wanaume hawawachuni wala kuwapiga mizinga lakini wengine ambao weupe (handsome) tunachunwa mpaka basi...
4 Reactions
17 Replies
945 Views
Habari za leo wadau poleni na mihangaiko kwa wale wanaongaika.mimi kwa muda mrefu nawaza hivi nani aligundua hii kunywa chai na chapati 2 au itakuwa hao hao kina Carl Peters toka Ulaya.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Uzi maalumu wa kuelezea yanayopitia kichwani mwako yawe matatizo, furaha e.t.c Unajisikiaje leo? Mimi najisikia uchovu tu nahisi nikipata Safari lager mbili nitachangamka. Wewe Unajisikiaje?
1 Reactions
57 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Leo nimetimiza miaka sita tangu nimejiunga na huu mtandao wetu pendwa (yaani nilijiunga nikiwa kijana mpaka nimekuwa mzee hahaa). Nampongeza sana mwanzilishi wa JamiiForums kwa...
29 Reactions
124 Replies
6K Views
l
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Tusaidiane kuwataja watu ambao hawawezi kwenda mbinguni na sababu kwanini hawataenda mbinguni😀😀. Mtaje hata kama huyo mtu yupo mtaani kwenu,kazini,kiongozi wako..nk Mimi naanza na 1-uncle...
9 Reactions
111 Replies
9K Views
Kweli kuna watu hisia zao ziko karibu, jana nipo chumbani na shemeji yenu alikua anaangalia tamthilia ya kifilipino, baada ya mda sijui nini kilitokea nashangaa analia sana mpaka kawa mwekundu...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Wakuu poleni na korona, sina mengi nataka tupeane mastory kwa wale tulowahi kutumia mmea, ndumu,kuku moshi,ganja na majina kibao siwezi kuyamaliza ili tupoteze haya mawazo ya korona. Mimi naanza...
6 Reactions
27 Replies
6K Views
Mzuka Huyu mwamba kapotea sana kabla hata ya Corona. Yuko wapi? Mioyo yetu wiki hii imetulia baada ya BAK kurudi jamvini. Kuna pia Kisu Cha Ngariba long time sana haonekani akina Beira Boy...
7 Reactions
34 Replies
3K Views
Wakuu Heshima Kwenu! Hii ofa naomba Iendelee, yanii hapa ndipo pa kuonekana Mchawi Wa Kuombea ***** Uko Uarabuni Isikate Ili Mambo Yawe Hivii[emoji23][emoji23][emoji23] Kesho Naweza Hata...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
MODS : Huu uzi msijemkauhamisha unafiti hapa. NOTE hapa hatutangazi biashara, kama unatangazo lako unataka uuze kiatu/viatu fungua uzi. Kiatu ni sehemu muhimu sana katika uvaaji, Ni sehemu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
HAHAHAHA
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Alinipigia simu na kuniulizia habari za JF, tukafahamiana. Alidai anaishi Mbagala Dar akanipa namba ya simu na ya kwangu alikuwa nayo. Baada ya hapo sikumpigia na yeye hakuwahi kupiga tena, hadi...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya kuulizana mambo ambayo kama yangetokea unahisi ni nini kingetokea. Weka hapa hilo jambo wajuzi watakujibu wanavyo hisi wao na wakishindwa basi iwe changamoto kwa...
1 Reactions
2 Replies
446 Views
Habari Katika movie theme song nazozipendaga ni hizi 1. Jurrasic park theme song hii kwangu ni the best napenda kile kinanda sana 2. Robocopy (1994) hiyo nayo ni nzuri naipenda 3. Behind...
5 Reactions
122 Replies
9K Views
Kamanda OP yenu na kikosi chenu kombania gani ilikua inaongoza kwa serengeti wakali 821kj C coy walkua hatari
1 Reactions
5 Replies
2K Views
1 Reactions
0 Replies
577 Views
Back
Top Bottom