JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo ni mara ya nne nakisiliza kipindi hiki kinachoongozwa na Liliana Mwasha na Masanja Mkandamizaji. Nimeikubali sana Chemistry yao na namna wanavyoendesha kipindi chao.Hakika ni mapinduzi makubwa...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Mbeya huko unaambiwa kinyesi kilikuwa kinaanguka toka kwenye dari bila ya kuona mtu.
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu habari! Mimi ni mtu wa dini sana na ninaamini katika MUNGU, Nipo maeneo ya ukanda wa pwani ninafanya kazi. Kuna mambo yananitokea usiku nikiwa nimelala yanaendana na imani za kishirikina...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Kufuatia Waafrika na Wazungu Kuzaliana na kupata watoto mchanganyiko basi upo uwezekano kufikia mwaka 2400 wasiwepo Waafrika na wazungu Bali kizazi mchanganyiko kufuatia baba kuwa mzungu na mama...
0 Reactions
9 Replies
838 Views
Hakuna ambae utotoni hajapitia hii kadhia ya kukojoa kitandani,na sio utotoni tuu hata mpaka sasa kuna wakubwa wanaokojoa kitandani sio wanaume sio wanawake. Sasa elezea hii hali mpaka unajikuta...
0 Reactions
5 Replies
805 Views
Jamani haina haja ya kutafuta vumbi la kongo au konyaji mambo yapo kwa pweza
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wana jukwaa, baada ya kukua nimejifunza: Mama ni mtu aliyekaa na uhai ndani yake, akauleta duniani na kuutetea Mama ni mtu aliyetoa uhai wake, damu, akili na jasho kwaajili ya mtoto ama watoto...
8 Reactions
15 Replies
1K Views
Hilo jina lilipewa kwa heshima kabisa kwa faru aliekuwa na miaka mingi hapa nchini. Nadhani moja ya sifa kuu ni kukomaa kwenye shida na raha huku wenzake wakifa. Naona jina hili limehamia kwa...
0 Reactions
3 Replies
811 Views
Moja kwa moja kwenye mada. Sina nia ya kudate, lakini naona kumbe wanawake wengine wanawatia aibu wenzao. Nikiwa napiga kinywaji, danga moja jirani linalazimisha maongezi, nikijilazimisha kuwaza...
2 Reactions
6 Replies
770 Views
Toka enzi na enzi utaratibu ndio umekua huu. Misiba mingi inajaza watu kwa sababu ya chakula kilichopikwa. Usiombe mtaani kuwe na misiba miwili msiba wa tajiri na msiba wa masikini. Msiba wa...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Anamaanisha lori lenye double trailers (kama unavyoona hapo pichani. Kwa lugha ya kizungu neno hilo TANDAMU ambalo watanzania wengi hasa kwenye sekta ya usafirishaji hupenda kulitumia linatokana...
10 Reactions
49 Replies
9K Views
Unajua maisha yetu ya wokovu ndugu yangu,ni kama nadharia fulani iliyojengwa huko nyuma ambayo imetuingia mpaka sasa tunafanywa mazube tu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kama wakuu, Aloo nakumbuka enzi hizo umetoka wimbo wa Prof.Jay ft. Juma Nature unaoitwa zali la mentali. Wahuni kibao mtaani wakaanza kufanya kazi ya kusukuma mikokoteni ili nao wapate...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kichaa mmoja wa kiume alikatiza porini akiwa uchi kama alivyozaliwa wanyama wote wakatoka spidi kumkimbia. Fisi akamuuliza simba, imekuwaje hadi wewe mfalme wetu umekimbia? Simba akamjibu weee...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Wallah wacha nilale kimsingi nimechoka aswa aswa baada kuinywa hii beer ya Kijapan 😫 😫 😫 😫 😫
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu! Mkuje wanaume wote humu tuelezane ni jinsi gani? Yule dada ile ongea yake na kujumlisha deko lile kwa yule bwana mimi kwangu huku hoi. Ukipata mtoto sampuli ile kwanini...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakuu leo niko na kaswali kadogo sana. Kama kichwa cha habari kinavyojielezea naomba kufahamu je orange ni rangi au ni tunda?
2 Reactions
9 Replies
737 Views
Iwe kwa ugomvi au maelewano natangaza ugomvi na aspirin nataka kumuoa miss sky eklaty sitaki maelezo yoyote kutoka kwako. Niko Somalia, mwezi ujao narudi nataka tufunge ndoa. Kwangu ni Vigwaza...
0 Reactions
1 Replies
677 Views
Kwa wakazi wa Tanga kuna mganga mmoja na sikia ni mtaalam hatarii anaitwa Sekambi. Kwa yeyote anayemfahamu anipe taarifa zake na kama na mawasiliano yanaweza kupatikana anisaidie basi
1 Reactions
0 Replies
848 Views
Back
Top Bottom