JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu habari za mihangaiko? Katika maisha yako ambayo Mungu amekupa mpaka sasa Kuna mipango na mtarajio mengi sana uliyategemea kuyatekeleza kabla ya kufika umri fulani. Lakini mipango si...
1 Reactions
6 Replies
557 Views
Tangu saa tatu najigeuza geuza hapa. Hamna hata dalili ya usingizi. Nashuhudia masaa yanakata tuu na kusikilizia kelele za mbwa wakibweka nje. Unapokosa usingizi unatumia mbinu gani kujibembeleza...
5 Reactions
65 Replies
3K Views
Habarini mabaharia wenzangu. Leo ni juma pili kama kahali chahewa cha Arusha kalivyo cha baridi Leo nimeamua kuwasha motoo sababu wengi hawaaminiki . Hapo nimeanza simple sababu nibado mbichii na...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Wadau ebu nipeni mbinu za kuchatt na warembo wa jf... Maana kila nikijaribu kutembelea pm zao sipati majibu, yaan sijawahi jibiwa pm hata moja! Wakongwe nipeni maujanja, huwa mnatumia mbinu gani?
3 Reactions
96 Replies
4K Views
Nakumbuka fan langu la kwanza nilinunua sh. 600 Kariakoo na nikiwa na rafiki yangu tukakodi tax kutoka Kariakoo mpaka Temeke sh. 50 enzi hizo Uda sent 20 hebu kumbuka na wewe vijana mtuache kidogo.
7 Reactions
153 Replies
8K Views
Koment ya huyo sasa apo imeniacha hoi! Mtu unakaa unavuta taswira ya kuwaza vitu vingine tofauti, unajishauri ukaombe urafiki au yeye mwenyewe kwenye profile picture, huamini?
1 Reactions
6 Replies
1K Views
First image; Dogo ana'finalize usumbufu Second image: Parents celebrating the good news
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ebu angalia mtoa comment wa kwanza ndo kaniacha hoi🤣🤣
0 Reactions
1 Replies
1K Views
2 Reactions
2 Replies
348 Views
Asilimia kubwa wanapenda kusikilizwa music/Blues. Mimi bila U-Flesh juice na karanga za miamia 2 silali, iyo ishakuwa kama starehe ninavyoperuzi JF nakula karanga moja nanyonya U-Flesh mpaka...
0 Reactions
18 Replies
733 Views
Nipo kwenye laughter therapy. Wanasema " Laughter is the most best medicine " It can prevent and/or cure a person from deadly and dangerous diseases. Wataalamu wa mambo wanasema the r reason why...
1 Reactions
8 Replies
659 Views
Leo tujifunze jambo kutoka kwa wenye ufahamu... Ikitokea ukaulizwa.. "Wewe ni nani"? Utajibu nini? Karibuni
0 Reactions
5 Replies
859 Views
Niliwahi kusoma kisa kimoja cha kijana aliyekamatwa kwa kosa la uzururaji. Alipofikishwa kituo cha polisi alitakiwa atoe cho chote ili aachiwe, yule kijana akagoma. Kesho yake alipofikishwa...
11 Reactions
9 Replies
759 Views
Ebu Jifanye wewe ni mganga wa kienyeji nimekuja kwako Kuomba dawa inipatie Utajiri, Nipe masharti yako tuone ni nani atakuwa mkali wa kutoa masharti magumu.
5 Reactions
59 Replies
4K Views
Wakuu hamujamboo? Je kwa maisha haya ukiambiwa wewe mwanaume uweke kucha za ndefu za bandia na upake rangi kwenye hizo kucha je utakubali ? Ili uwe tajiri??
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Yaani nilifikiria kula kwa kibanda umiza nikaona wacha ninunue yai 2 na nyanya za jero na unga nusu na robo nikaliamsha dona la maana na mboga ile ya yai mchanganyiko na nyanya aisee lilishuka...
10 Reactions
92 Replies
4K Views
Ni Mtoto wa Kike ( Binti ) tu ambaye anaishi katika Chumba Kimoja na Wazazi wake ila Kimetenganishwa tu amemshtaki Mama yake Mzazi kwa Mjumbe kwa Kumcharaza ( Kumchapa ) Viboko kila mara kwa Kosa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Niligombana na mwanamke wa Kisomali aliniambia atani fix. Nilimdharau. Nilikaa miaka kumi kila job interview nikienda ninaangukia pua pamoja na vyeti vyangu. Nilikutana na Ustaadhi alinisomea...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ila wadada Mungu anawaona. Kama ushawahi kukutana na hii kitu kwa wadada wetu wa bongo karibu hapa
3 Reactions
36 Replies
3K Views
Wanawake wote wanaounga mkono Haki ya Usawa wa kijinsia hawafai kuolewa
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom