JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kila mtu katika makuzi yake kuna michezo ilikuwa ni ngumu kuacha ata baadhi imeweka alama katika miili yetu, Mfano, mpira, karata, katagoli, rede, mdako n.k Kombolela ni mchezo wakujificha alafu...
4 Reactions
71 Replies
6K Views
Habarini wakuu. Hebu tukumbushane matukio ya zamani yaliyowahi kukutokea kipindi unasoma Shule ya Msingi au Sekondari. Nakumbuka kipindi niko Primary, nilipata mapambano mengi sana ya ngumi. Na...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Salamu kwenu Wanyabe! Leo nimekuja na hili suala, nimekuwa nikiliona na kusikia siku nyingi japo sikuwahi kulipa umuhimu. Basi kijana wangu mwenye kawaida ya kuimba kiustadi kila aingiapo...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Mazingira yanaweza kutofautiana kidogo lakini muelekea mmoja. Ilikuwaje na ulichukua hatua gani? Jamaa yangu imemtokea kweli hii. Anasema: Simu, Inaita, Kucheki namba mpya. Hallo! Upande wa pili...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Nasikia kuwa kuna Siri Moja kubwa sana ya Kimungu na Kimaajabu katika hili hivyo nataka Kulithibitisha hili kutoka kwenu Wajuzi hapa Jamvini JF.
3 Reactions
72 Replies
9K Views
Binafsi huwa nazikumbuka sana - Ngawira zangu nilizolipia gym wakati ningeweza kupiga zangu push ups home na jogging nikachoma calories kama kawaida, na - Zile nilizolipa car wash kuosha...
4 Reactions
43 Replies
2K Views
Jamani kuna siku tumepeane appointment na mtoto mzuri demu wa ukweli aliejazia haswaaaa, ni demu alienizungisha muda mlefu sasa siku hiyo akaniambia tuonane tupeane maraha ya dunia , mida ya...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Mwana Jf aliepo hapa samaki samaki ya mlimani city tupeana company mie nipo fresh mfukoni .
2 Reactions
128 Replies
8K Views
Ili Baba yake amuone kuwa yupo na anafanya Kazi najua kuanzia leo atafufuka huko alikokuwa kajificha ili kutafuta Sifa zaidi kwa Baba Kipenzi.
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Mida ya jion nilikuwa nimekaa sehemu napata zangu gahawa,,Walipita wadada wawili , Mmoja mweupe mrefu hivi ana shape flan hivi, katika kijiwe kile wanaume wengi walionekana kumsifia saaaana yule...
2 Reactions
10 Replies
800 Views
Niaje wadau, Mara nyingi maji yakishakolea tunakuwaga na story za kuvutia, fix nk...baadhi yake, jamaa kapiga liquid karudi Home anaanza kumtongoza mke wake[emoji1787] wife akamtia vitasaa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kila kona watoto wazuri na watamu Leo jioni kwenye mida ya saa 12 na nusu, nikasema ngoja nitoke nitafute saluni yoyote angalau nipunguze nywele na ndevu ili nionekane mtanashati. Niliamua kwenda...
0 Reactions
3 Replies
847 Views
Mdada uliepandia gari Kimara Korogwe asubuhi wa Simply Fresh Supermarket tafadhali sana hebu njoo inbox tuyajenge. Leo siku nzima kazini nimeshindwaa kufanya kazi kisa wewe.
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hasa namba ngeni ikiingia mf.075.....MAMBO VIPI. Huwa unafikiria ni mtu wa aina gani kila meseji anaekutumia yeye anaadika herufi kubwa mwanzo mwisho sipendiiii....!!!
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Kanali mstaafu wa jeshi la mashabiki wa soka duniani anasema mashabiki wote wa mpira wa miguu duniani wasiposhangilia pamoja na shabiki wa Liverpool FC kwa kushinda taji la ubingwa wa Ligi kuu...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Kila mtu ana namna maisha yanavyomfanya kwa sasa katika dunia hii. Just comment hapo chini jinsi yanavyo kushughulikia kwa kadri utavyoweza. ME: Fair with a lot of ups and down but I'm holding.
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Mzuka Wanajamvi, Baada ya umbea wa COVID-19 kwenye kijiwe chetu. Nikachukua baiskeli yangu kuelekea ghetto. Njiani kwa mbele kulikuwa na mwanamke nikampigia miluzi na sauti za busu ili anipishe...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukishakuwa na 20+ years unapaswa kuwa na salio la kupiga kokote pale hata iwe SafariCom, yaani excuse ya sina dakika za kukupigia ni utoto sana bhasi tu, watu wanajiendekeza.
2 Reactions
5 Replies
500 Views
Kwa wale wanaokufahamu kwa yule mtemi maarufu wa enzi hizo Milambo na mwenzie Isike,tukumbuke kidogo maeneo mbalimbali ya huko,iwe mitaa,vijiji,vitongoji nk kama: Isevya Kanyenye Ngoma Sakasi...
0 Reactions
88 Replies
29K Views
Wakuu japo elimu zingine sio rasmi bt zimekuwa na manufaa zinapotumika, hii elimu ya kumjua mwenza sahihi nimeikuta pahala nikajaribu ikaleta uhalisia then nikaamua kushare nanyi. chukua idadi ya...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom