JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nini cha maana ulichofanya Leo? Nini la maana umejifunza Leo?
0 Reactions
5 Replies
614 Views
2 Reactions
5 Replies
825 Views
Wanajamvi nimeikuta hii mahali nkasema niilete kwenu niulize Inasemekana wasichana wa kichaga hawajui kushika mwanaume ki romantic, wanashika kama bakuli la mtori? KUNA UKWELI HAPA??
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Ulishawahi kupita mahali ukala mishikaki halafu ukafika kwko hujisikii kuingia ndani una jiskia kushinda nje au kuzurula tu? Ujue umekula mishikaki ya mbwa
1 Reactions
13 Replies
996 Views
Baa za Kibongo bhana, majina yake ni full vituko kwa kweli, eti baa inaitwa 'Toroka Uje' au inaitwa 'Moja Haitoshi' au 'Njaa Haina Baunsa'. Bandugu, tupia majina ya bar zingine unazozifahamu.
1 Reactions
297 Replies
57K Views
Moja ya changamoto kubwa tunayokutana nayo abiria ni kubanwa na haja, inaweza kuwa kubwa au ndogo, usiombe iwe kubwa unaweza jinyea. Changamoto nyingine ni kukaa na mtu ambaye haeleweki...
0 Reactions
1 Replies
765 Views
Nimeambiwa kuwa kuna Mbinu mbalimbali ila najua hapa Jamvini JamiiForums wapo Watu ambao enzi zao nao ' Walibobea ' ama katika Kuita Ndugu zake wakati wa Kula au Kuitwa Yeye na Mwanafamilia ili...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
HOW MEN COOK UGALI...!!! RECIPE" 1. Put Sufuria on fire. 2. Realize there is no matchbox. 3. Run🏃 to Bwashee for the matchbox. 4. Come back, light fire. 5. Put water on the Sufuria. 6. Realize...
25 Reactions
69 Replies
4K Views
Eid imeangukia Mokonda Day😁😁. Enewei, muwe na sikukuu njema wakuu.
13 Reactions
359 Replies
14K Views
HAWA NI KINA NANI??? UZI [emoji116] Siku za hivyi karibuni utakuwa umekutana na video za hawa jamaa ambao kila mtu amewapa jina lake : wengine wanawaita kamati ya roho mbaya, wengine wajuba na...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Kwa wadau wazuri wa JF na wapenzi wa habari za kijasusi bila shaka tunamfahamu huyu mdau mzuri na mwandishi nguli wa hizi makala alikuwa akiandika kipindi cha nyuma ila kwa sasa sijajua makala...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Zamani ili watu wapitishe wazo lilitakiwa lijadiliwe wakati hawajalewa na wakati wamelewa.. Nipo zangu hapa MICASA Club Ubungo..nimepata bapa yangu kubwa.. Inshort nipo super..yaani.. najua...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu Salaam; Watu wa Dar tupeni updates za Covid-19 festival inayofanyika leo. Sisi wa mikoani hatujaruhusiwa kusherekea hiyo shughuli, hivyo tunakosa uhondo halisi kulinganisha na nyie wa Dar...
5 Reactions
85 Replies
6K Views
Aslaa Aleykum ndugu zanguni,,Eid Mubarack kwa wana JF ila ukini'PM au ukinitext kuhusu nikualike unione kimya jua nakufikiria... (MBILI 3 ZA MZAMBULI) MZAMBULI:Koh! Koh!..duuh ya Leo wakurungwa...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa akina Rama kulikua ndio kuna video mtaa mzima. Kila ilipokua inafika Saa 12 naoga huyooo Kwa WA RAMA, mda mwingne wakiivisha nipo mara moja moja nilikua nakula kwa WA RAMA. Sasa siku Moja...
1 Reactions
3 Replies
855 Views
Jamani wanajamvi naweza kuwa mgeni wa jambo hili: ni zipi sifa halisi za wakidada wa kichaga na ukitaka kuoa ni taratibu gani za kufuata mpaka kutoa mahali? Msaada jamani wanajamvi.
1 Reactions
108 Replies
10K Views
Ndugu zangu Waislamu, Issue ya Pasaka wenyewe mliona Covid-19 ilikuwa imechanganya, lakini hii Eid si mnaona hata mipira imeanza. Tufanyiane wepesi basi leo mchana. Dini zinakataza visasi.
4 Reactions
16 Replies
808 Views
Heri ya Eid Mubarak wanaJF! Nipo hapa sina amani. Jioni hii nilitoka home nikaenda kitaa kuzunguka kidogo, wakati wa kurudi njiani nikakutana na baba yangu mdogo tukaja hadi home...
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Hii movie imenifurahisha sana... Natamani kuona mwendelezo wake... Plz plz mwenyenayo jamani
0 Reactions
3 Replies
594 Views
Habari wanaJf Kama mada inavyojieleza.. Eb tutoe kauchovu kidogo
1 Reactions
26 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…