JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nimejiuliza tu, mtu anaenda kwenye mkusanyiko bila wasi wasi kabisa, hajanawa mikono, hana barakoa wala sanitizer! Hivi kama anaweza kuwa na ujasiri huu kutokuvaa kitu kinacholinda maisha yake na...
0 Reactions
5 Replies
754 Views
Kila nikitaka kwenda uwanja wa ndege niishie zangu UK [emoji52] Ghafla nakumbuka kuwa Tanzanian tupo watu Million 59 nikiondoka mimi mmoja kwa mahesabu ya Haraka haraka Watabaki watu Milioni 58 "...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Swali ndio kama hili hapa 👇👇👇 Kweli juma Kwa kuchekewa atabakia na hela hapo jamani?!
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Nipo njiani naelekea Magogoni nasikia kuna manyumba bwerere, maji, maumeme na mazagazaga mengine. Halafu wakazi wengi wa maeneo hayo wengi wamehamia vijiini. Anayehitaji aunge msafara!
1 Reactions
2 Replies
955 Views
Wakuu ngoja twende kwenye mada, Ndani ya miaka miwili yenye miezi 24 na ushehe mwezi huu nimepigika sana kuliko miezi mingine nadhani ingawa sina kumbukumbu sahihi. Sasa kuanzia jana kuna...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
If not for you, I wouldn’t know What true love really meant. I’d never feel this inner peace; I couldn’t be content. If not for you, I’d never have The pleasures of romance. I’d miss the bliss...
9 Reactions
20 Replies
1K Views
On behalf of Beth l would like to apologize that's today's interview show is going to be conducted through English language. It's my pleasure to extent a cheerful welcome to you all. Am...
5 Reactions
1K Replies
52K Views
Habari zenu wakuu? Poleni na swiam na mapambano dhidi ya kirusi kinachohatarisha amani ya dunia Niende straight na lengo au nia yangu ya kutaka kuuliza especially kwa ambao washawahi...
3 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwasasa mitaani kuna watoto shazi kotokana ña covid 19, Hapa ninapoishi kuna eneo "open space" watoto kwasasa wanalitumia kwa michezo yao mblmbl l............. Natoka zangu kiosk's kufanya yangu...
2 Reactions
3 Replies
559 Views
¿Qué diferencia hay entre el idioma swahili y el idioma español? las chicas negras son atractivas! Napendana Africa
5 Reactions
71 Replies
5K Views
hakuna kitu kinaumiza kama uwe na wiki hujaoga halafu siku umeamua kuoga ukute dodoki lako lina unyevu nyevu kumbe kuna kobe kipindi huogi yeye alikua analipigia pigia sumarry kiaina tuuu... #me...
0 Reactions
3 Replies
895 Views
Vijiwe vingi vya kahawa utakuta vikombe havina vishikio ,kwanini iwe kikombe cha kahawa na sio cha chai !
0 Reactions
11 Replies
2K Views
*JINSI MAZOEA YA MWALIMU NA MWANAFUNZI YANAVYOANZA* Siku1 *STUDENT*: Hello sir, bila Shaka ni Sir Jonare? *MWALIMU:* Ee Mimi hapa, naongea na nani? *STUDENT*: Aaah angalau, unaongea na Veronica...
21 Reactions
21 Replies
8K Views
Uzi huu kwa ajili ya kusema neno lolote la uongo na tunajua kabisa ni Uwongo Naanza mimi Mimi ndo nilimuua Osama!! Aya twende kazi
0 Reactions
124 Replies
10K Views
Naombeni mnisaidie hivi ni zawadi ipi nikimpatia mke wangu itakuwa poa. Nataka nimpeleke suprise ya zawadi. Je, nikimpatia kama 100,000 inaweza kuwa sawa au nimnunulie kitu .na je iwe kitu gani?
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Mwanamke aliingia kwenye bucha ya nyama na kuuliza "Una kuku?" Muuza nyama akafungua friza na kutoa kuku pekee ambaye ndiye alikuwa amesalia akamweka kwenye mizani. Mizani ikasoma Kilo 1.5. Yule...
11 Reactions
13 Replies
2K Views
Mliosoma na Kubobea hasa katika Saikolojia hii hali huwa mnaiitaje na Kitendo husika pia huwa kina maana gani kwa Mhusika?
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanabodi Baada ya kuambiwa kuwa tuitumie siku ya Jumapili kupiga shangwe la nguvu kwa kumshukuru Mungu kwa kutukinga na jangwa la Corona, Sasa ni wajibu wetu tujiachie na tuserebuke kwa...
0 Reactions
5 Replies
578 Views
Asee nilicheza ndondo Fulani nikapiga vitatu.Nilisajiliwa pale the blues nkamkarisha benchi ngolo kante nimefunga goli moja la ushindi dhidi ya Barcelona. Usiku mwema Leo nikiota ntawaambia tena
3 Reactions
14 Replies
553 Views
Hata sijui kwanini huwa inatokea hivi, naamini kuna wanasayansi nguli watatuelezea. Binafsi nimepatwa na visa hivi vingi na nikabaki kujishangaa. Nakunbuka kuna siku nimepewa mayai na jirani...
1 Reactions
4 Replies
571 Views
Back
Top Bottom