JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Haya ndo ma group yaliyojingea umaarufu mkubwa mjini dar ........... 1. Team kusere 2. best friends 3. Choma China 4. One touch 5. Fusee 6. The Vaults 7. Bondeni lounge 8. Besabarand...
2 Reactions
20 Replies
9K Views
Habari Ndugu nimeona si vibaya tukawa na thread ya ndoto tunazoota kila siku yaweza kutusaidia kutunza record ya ndoto na kupeana maana ya ndoto tunazoziota. Binafsi usiku wa kuamkia juzi niliota...
0 Reactions
6 Replies
868 Views
Kila mtu aseme anachukua samaki gani hapo....mimi nachukua pweza..tena huyo mkuuubwa... TUAMBIANE NI AINA GANI YA SAMAKI UNAYEPENDA KUMTUMIA KWA KITOWEO NA MBOGA..
2 Reactions
117 Replies
20K Views
Mama zetu wakati tunakua kuna maneno ambayo wanapenda sana kuyasema kwa watoto haswa watoto wakikosea kitu.
0 Reactions
7 Replies
890 Views
Mwaka huu huwezipitisha siku bila kusikia haya: Corona, covid 19,barakoa,sanit sanitizer,sabuni,maji tiririka, epidemic, pandemic,lockdown...ongezea na mengine
2 Reactions
37 Replies
2K Views
Mzuqa Wanajf, Akina Daudi Mchambuzi Nelly Kaka pembe share wamekazaniaaaa naishi Geneva Uswizi. Mimi naishi Copenhagen Denmark. Cc Rebeca 83 Kaveli Wangari Maathai
4 Reactions
39 Replies
4K Views
Wasalaam, Binadamu ni kiumbe hatari sana na very smart creature kuwai kuumbwa. Lengo la uzi tuambiane namna gani uliweza kuescape kulipa bill,iwe ilikuwa bar,hotel ama popote pale ila Mwisho wa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Hivi kwanini maskini wengi wanakuaga mawazo ya kufa? Wewe nenda na rafiki yako yoyote ambaye si tajiri, nenda naye gorofani juu, lazima kuna swali atakuuliza. Utasikia wewe ukipewa milioni 1...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu Salaam.. Kufiwa kunauma sana yataka uvumilivu... Wanawake hawabembelezeki kwenye msiba wanapokezana kulia. Uyu atamtaja mjomba, mwingine atamtaja shangazi,mwingine atamtaja marehemu...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Kutokana na mabadiriko ya sayansi na teknolojia kumekuwa na muingiliano mkubwa wa bidhaa mbali mbali. Zipo bidhaa ambazo ni bora na ni original lakini pia zipo ambazo ni feki na bado unaweza...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Alf lela ulela za Bi. Kasinde kabla hajatafakari. Hii ni maalum kwa kupata simulizi endelevu za Bi Kasinde akiwa chumbani kwake kila apatapo wasaa. Atachukua kilongalonga chake na kupachika...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani wanajamvi kuna member mmoja hum JF aliwahi leta uzi wa utabiri wa Tz 2015 rais Atakuwa Dicteta huyo jamaa ni Magamba matatu sijui jamaa yupo wapi kwa anayejua atujuze
6 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ninamiaka 35 nakaa kwa mjomba wangu , sifanyi kazi na sihitaji kazi , mwanzo kabla la hili gonjwa hatari msosi ulikuwa unapikwa mwingi na nilikuwa nashiba. Lakini gafla bini vuu hali...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Mimi ni hiki "Think and Grow Rich"- By Napoleon Hill na How to influence people and win friends-DALE CARNEGIE Ni vitabu ambavyo navikubali sana sana na haipiti mwezi lazima nivisome tena...
2 Reactions
55 Replies
4K Views
Ni taratibu gani au vigezo gani au masharti gani yanatakiwa hadi niweze kufungua acount bank ya dunia. Kwa mfano mimi ni bilionea ambae hela yangu bank za hapa Afrika labda hazina kiasi hicho cha...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Copy popote comment yangu iliyokufanya ucheke na uitupie hapa. Iwe ya kisiasa, mapenzi, dini, michezo au kijamii. Karibuni Bujibuji funs
3 Reactions
38 Replies
3K Views
Habari wakuu, Naomba tujikumbushie kidogo enzi zile tunasoma, waliowahi kuvunja vifaa mbalimbali vya maabara(apparatus) Mimi kwa upande wangu nilivunja sana test tubes sikumbuki hata ni ngapi...
1 Reactions
2 Replies
401 Views
Si nilisahau bestito kumbe Leo ndo kumbukumbu ya kuzaliwa kwako katoto kachanga so nilikumiss sana acha nikutakie hero na fanaka ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako wadau na wapenzi na marafiki za...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa kuangalia picha hii Je, ni maduara mangapi yanavirusi vya Corona? Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni kijana wa kitanzania, umri ni 20's, sijaoa wala sina mpenzi, sina MTOTO HATA MMOJA lakini NINA NYUMBA 2 na GARI MOJA. Elimu nina Degree ya Business. Nikiamka asubuhi sa11 alfajiri nafanya...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom