JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Huu ni Mwaka wa Tano sasa sikaribishwi katika Sikukuu hizi Kubwa Kubwa kama ilivyokuwa zamani. Hadi nimejiuliza kwani Watanzania wa kuanzia mwaka 2015 hadi leo hii wana nini na mbona hawafanani...
0 Reactions
8 Replies
712 Views
Hello wanaJf. Let's start a game. Say something positive/inspiration (a word of advice, proverbs,a prayer etc.) To the poster above you.
1 Reactions
2 Replies
541 Views
Siku za hivi karibuni baada ya ujio wa mitandao ya kijamii; nchini Tanzania kila kitu kimekuwa utani na hivyo kufanya mambo kuwa mepesi na msongo wa mawazo kupungua. Kwa ufupi tunapeana...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu, mko poa? Ebana niko mkoa flani kikazi nikaona ngoja niende bar kutandika vyombo,nimekuta Heineken zinauzwa 6 kwa 13,500/=, nikaona ngoja nipige Heinken tu. Sasa nashangaa watu wa jirani...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Hizi Ni baadhi tu ya sifa za muonekano wa nje wa idara pendwa afrika. 1. Utulivu hakuna kelele. 2. Hakuna movement za kutoka na kuingia. 3.Kuta ndefu au hejezi zilizokatwa vizuri. 4.Tujamaa twa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Hivi huyu mdau anaitwa nani? Maana nimemuona kitambo kidogo.. Tushazoea kujua majina ya mabodigadi wa akina Diamond na Young Killer. Em tusaidiane kumjua huyu mdau. Sent using Jamii Forums...
6 Reactions
41 Replies
6K Views
Mambo mengine ingawa ni ya "kweli" kabisa na ni "imani" ya wengi, lakini inabidi yawe jukwaa hili la utani. Maana mahari ya govi ni zaidi ya utani. Nimecheka sana tena kuona kuwa mkono wa sweta...
9 Reactions
104 Replies
16K Views
Post Emoji unayoipenda....
0 Reactions
117 Replies
9K Views
Habarini Wana JF wote Mimi mzima wa Afya, ombilangu kwenu ni kuwaomba ushauri tuu kuhusu mtoto wa kiume nimtarajiae wiki mbili mpaka tatu zijazo Natarajia kupata mtoto wa kiume, NAOMBENI JINA...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Huu ndio ukweli japo wale wanao jiita wamikoani watapinga na kutoa povu lakutosha kabisa kufilia mitumba walio nunua kwa mafungu siku za minada huko vijijini kwao ili waweze kutazamika angalau...
14 Reactions
140 Replies
13K Views
Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo? Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...
35 Reactions
2K Replies
75K Views
Habari za weekend wakuu. Katika maisha mambo ni moto kuna kupanda na kushuka. Kuna kipindi unaenda kwa wakala unashindwa kumwambia natoa buku au akuunge kifurushi maana hali ni ngumu. Na siku...
0 Reactions
2 Replies
535 Views
Nawatakia jumapili yenye baraka Sio kila siku kuja na list ya wakongwe wkt kuna list nyingi tu....wafuatao ni list ya members wanaokimbiza kimya kimya na wanaokuja kwa kasi hapa JF yaani...
23 Reactions
460 Replies
27K Views
Kama mwana jamii unaombwa u comment jina lolote ulilowahi kulisikia duniani, iwe la kingereza, kiarabu au lugha yoyote na ikiwezekana na maana yake ili isaidie hata kwa wale wenzetu ambao huwa...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Salaam! baada ya salama niende moja kwa moja kwenye mada. Ni juzi tu hii wakuu mmekula pasaka tena bila kujali hamkutualika wala nini mkawa mnajichana kivyenu vyenu. Sasa wakati wa kuwanyoa...
1 Reactions
2 Replies
814 Views
Kwani kwa Mtu mzima kama ikitokea amejamba kwa bahati mbaya au hata nzuri vile vile mbele ya Watoto akikiri tu au akisema kuwa Mjambaji ni Yeye na asitafutwe Mwingine kuna Kosa lolote au ni Dhambi...
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Wadau kuna wakati unakutana na Fact unatamani kushare na wengine waone na wajifunze kitu. Weka fact yako hapa inaweza kuwa ya kufurahisha, kuelimisha, kuhuzunisha, kuonya, n.k. Mimi naanza na...
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Tumekwishaelezwa kuhusu maeneo mbalimbali ya utalii ya kwenda ku-refresh mind, na kustaajabu malimwengu; je katika yote ni wapi unatamani uende kabla mungu hajakuita? Tangu vivutio vilivyopo hap a...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Eti naskia huyu mwali anaagwa siku ya jumapili. Inasemekana Prince ameagiza watu wakaogelee na kisha wapige keleleeeee kwenye send off pareee.
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kwenye maisha yetu ya kila siku na JAMII inayotuzunguka Kuna watu hutokea kuwa WATUNDU Sana.... Mpaka wengine kupewa jina la "TOTO TUNDU" Hivi watu wa Aina hii WAKIZISHIKA pesa a.k a mapene au...
0 Reactions
1 Replies
652 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…