JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Yaani hata wanaojifanyaga sio watumbukiaji wa kwenye mashimo sabuni hii itatoa ushahidi.....na ndipo Bwana atasema ondoka kwangu sikujui mimi wewe mnafiki. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Maana sijasikia huko jamaica hili suala la corona kabisa . Ngoja niendelee kifanya utafiti wangu
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Nakumbuka oneday pande za temeke maduka mawili kunasiku nilienda pale liquid bar, wana barmaid wao pale wanavaa nguo za draft nyekundu wako bomba balaaa. Nikazimika na mmoja tukaweka miadi kua...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Wakuu maisha ni magumu sana kwakweli lakini hamna namna inabidi twende nayo hivyohivyo mpaka hapo tutakapoishia. Sasa nimejichanga ni kapata ka TV kwangu nchi 32 kampuni zetu hizi za STAR X, sasa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Walevi ni watu pekee wanaofikiri kwa namna ya ajabu...utakuta mtu kalewa chakari lakini atakwambia jajalewa Ukimpa hasara za kiuchumi,kijamii na kiafya za pombe,atakupa faida za kutosha za pombe...
1 Reactions
9 Replies
927 Views
Aisee! Kama kunawa nimenawa leo aisee; Kila ofisi kunawa! Kila chochoro ukipita kuna ndoo na sabuni! Kibaya zaidi baadhi ya Sanitizer zina harufu kali sana kiasi cha kuleta allergy...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Sikutegemea kama warning letter ingeweza kumchanganya kiasi hiki mwanasiasa mpendwa eng Haizai Kamwelwe.. Haya mambo yalitakiwa yamchanganye kijana anayeanza maisha, au mtu ambaye anasomesha na...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Danga test ! Milionea anakutumia private jet kwenda Italy, yupo kwenye hoteli kaliiiii na utalipwa $600,000 kwa siku 2 tu, ukiongeza unapata $200,000 kwa kila siku ya ziada. A. Nadanga like crazy...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nafikiri wakitajwa watu wazima watoke, nami naweza kutoka mbele. Miaka 30 sio mchezo aisee OK TUYAACHE HAYO. Aisee naomba ushauri kidogo katika suala la kupata elimu kidogo ya kujilinda binafsi...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
wakuu! najua mpooo! wale tulio imbiwa kindumbwe ndumbwe chaaalia! kindumbwe ndumbwe chaaalia! kikojozi na nguo kaichoma moto huyoooo! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nimekumbuka enzi hizo mtaalamu nilikua naachia kojo...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Nakumbuka kuna kipindi nilikua na mwanamke flani hvi (mweupee mwembamba, msafiiii) kiukweli hapo ndio udhaifu wangu ulipo. Mwanamke wa kwanza mweupe,mwembamba,msafii nilimpa 60,000 kwa mkupuo...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Hawa ni jamaa zangu na ni ndugu zangu hapa JF Long time sijawaona kabisa wakipita njia hii. Sio wengine bali ni maswaiba zangu Mr Rocky na utafiti mara ya mwisho niligongana nao kule jukwaa la...
1 Reactions
65 Replies
4K Views
Nawaza tuu! Utakua ndio mwisho wa maendeleo ya Teknolojia. Vita kila mahali Na si ajabu maisha yakawa magumu na ya hatari zaidi ya ilivyo sasa. Na Hapo Ndipo Tutakapo Amini MZUNGU Ukitoa 'Z' ni...
5 Reactions
96 Replies
7K Views
Mimi ni kijana wa miaka 30 naishi Moshi Kilimanjaro nina mke na watoto 2 najishuhulisha na biashara mbalimbali ili kukidhi mahitaji yangu yakila siku.. Nahitaji marafiki wa kike wakuchat na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Maisha ni magumu sana aisee, huwezi amini mm nimeamka leo nina 2000/= tuu, nauli mpaka job 400, so nimebakiwa na buku na mia sita (1600) Jioni sijui nitafanyaje, sijanywa hata chai na mchana...
0 Reactions
4 Replies
926 Views
Mshana Jr
14 Reactions
155 Replies
8K Views
Wakati nikiwa ofisini nimetulia zangu, aliyewahi kua ex wangu ambae anafanya kazi kama mfanyakazi wa ndani kwa diamond, kanipenyezea habari za kushangaza anadai huyu msanii wetu anamipango ya...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wapendwa poleni na mihangaiko ya corona!! Mimi kwangu kiumbe waajabu zaidi ni mwanaume Anatafuta pesa kwanguvu zote afu tukiwaomba wanaanza kujishika shika nakunyiuma uma mwisho wa siku...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Habari zenu ba ndugu Nataka kwenda Zanzibar kukaa kama wiki na ubavu wa kushoto. Kunahitaji bajeti kiasi gani kula, malazi, nauli na kutalii kidogo? NB: Wananchi wa uchumi wa kati Sent using...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Baadhi ya vitu nilivyo danganywa ni: 1. Kifimbo chake akikiweka chini hakuna anayeweza kukinyanyua hata waje watu 50 hawawezi. 2. Alikuwa na kibuyu cha maziwa fresh ambacho aliambiwa siku...
13 Reactions
40 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…