JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Admin wa Jf ajulikanaye kama Spiderman ni noma! 1: Alizaliwa mwaka 1974 2: Jf ilianzishwa 2006 3: Alijiunga Jf mwaka 1970 {kabla ya yeye kuzaliwa!!!! } Shikamoo admin! cc figganigga Heaven...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nimekuwa nikisikia hii kauli toka nikiwa mtoto hadi leo. Ni kauli inayotolewa kama kutia moyo, kurudisha morali iliyopotea/kuelekea kupotea au kusifu pale unapofanya kitu au kufikia mafanikio...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hili gonjwa lililokurupuka kutoka uchina linasimuliwa kabisa kwenye filamu hii exactly kama kinachotokea sasa hasa huko uitaliano uchina na maeneo mengine yote duniani...hii filamu baada ya...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ujio wa corona unakwenda kuharibu biashara ya ngono kwa kiasi kikubwa napata hasira sana Vipi wanaume mmejiandaa vipi kwenye hii kadhia nadhani wanawake njaaa inasogea kwa kasi ya ajabu sana...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kama una sms nzur ya mapenz pleas naomba utupie hapa
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kama Unaitwa Julieth unamiaka 25 Unakaa Kimara... Mama Yako Anakusema Kwenye Daladala Eti Uko mvivu Sana, Hujui Kupika, Unapenda Pesa, Starehe Na Hata Ukiolewa Huwezi Kudumu Kwenye Ndoa. Mama...
42 Reactions
93 Replies
6K Views
Niliwahi sema hili kipindi fulani kuwa tutafute pesa kuna siku zitafika dunia haitakuwa sehemu salama kuishi hapo tutatakiwa kuhamia sayari nyingine. Mimi nmejiandaa tayari leo nimekamilisha...
41 Reactions
61 Replies
4K Views
Jamani tunajua kila mtu saivi anasikilizia mshahara wa mwezi huu march utoke. sasa ukienda ATM yoyote usikimbilie kuingiza kadi na kubonyeza vitufe kuangalia salio. bali tumia mbinu hii kujua...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Nilienda kumsalimia ndugu yangu huko hospitalini ila katika pitapita zangu huko nikaona kuna mtu mzima msumbufu balaa anaogopa kuvutwa damu kwa sindano ili wampime anaumwa ugonjwa upi...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Mjini shuleee
0 Reactions
3 Replies
2K Views
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naanza na huu ugonjwa corona kumbe niugonjwa uwapatao watu wenye vigugumizi na wanyemakunyazi kichwani kama mganga aliewatapeli familia ya mzee mwenzetu...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Siku kama ya leo miaka kadhaa iliyopita I came to Earth through beautiful woman ever my MAMA. Thanks my almighty God for priceless gift of life filled with a lot of blessings upon Me[emoji1545]...
1 Reactions
16 Replies
656 Views
*Unaenda UKWENI...asubuhi unakaribishwa chai unaandaliwa wa kwanza wewe mezani unakuta kuna sahani ina chapati 3 na wewe unazila zote...* *...wakati unamalizia kula ile chapati ya 3, baba mkwe...
8 Reactions
12 Replies
3K Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
850 Views
Utaratibu wangu huwa Mara chacha huenda Misa kila ifikapo Noeli na huu utaratibu nimelithi toka enzi wazazi wakiishi Kigalathia. Leo mapema nikijiaanda kwenda huko kupunguza dhambi na kuomba...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Poleni na pilikapilika za Corona. Hongereni mliochangamkia fursa kwa kuuza vitakasha mikono. Familia nyingi hasa hizi za kitajiri za madaraja ya A B na C wana utaratibu wa kutoa oda ya chakula...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Sasa sijui kwa nini inakuwa hivyo nyama huwa hainogi ukiwa mwenyewe, "Niko hapa mjini Eneo flani hivi mwenyewe tu nimeagiza kitimoto Nusu na Robo (robo tatu) na viazi vya buku jero. Nyama iko...
0 Reactions
11 Replies
916 Views
Kuanzia leo nafuta nyimbo za EMINEM zote, narudia tena nafuta zote maana haiwezekani mtu mzima anikoromee hivi.. hata bibi hajawahi kunikoromea kiasi hiki. Shwain Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Namshukuru Mungu kwa kuniongezea mwaka mwingine nashukuru kwa kuendelea kuwa na afya njema na nguvu na wengine humu ambao tuna kumbukizi za siku ya kuzaliwa muwe na maisha marefu. ni kijana...
6 Reactions
25 Replies
5K Views
Back
Top Bottom