JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari Mimi ndugu yenu nikishakula ugali wa dona na dagaa vumbi , hakika huwa sifanyi yafuatayo nikiingia JF. 1. Huwa si comment hovyo hovyo 2. Huwa simjibu mtu kwa dharau kisa tunatumia...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu ? Kitambo sana sikuwepo jukwaani kutokana na sababu iliyokuwa nje ya uwezo wangu. Hivyo wale washikaji zangu mliokuwa mkinitafuta au huwa na hofu juu ya kutoonekana kwangu...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
*Nawasalimia [emoji68]WASICHANA na WANAWAKE [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_ _*Nawasalimia WANAWAKE na WASICHANA weupe...
8 Reactions
87 Replies
6K Views
Prof Janabi Aliulizwa swali “Je kwa nini umeamua kuacha kula vyakula vyote vya ngano na juisi pia Umeacha kula vyakula vingi vya Nafaka”? . Alijibu hivi: 1. Kutokana na Nature ya Kazi yangu...
9 Reactions
24 Replies
5K Views
STORY ZA WASICHANA KTK SIM Mary... Hallow mpenzii Lily.... Niambie my dear Mary.. Pouwaa za siku jamani Lily.... Nzuri rafiki Yangu wa damu Mary.. Jioni nakuja kwako tule Na kunywa japo wine...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Long weekend iliyoambatana na sikukuu ya pasaka imeacha majeruhi na makovu mengi kwenye kila idara kuanzia afya mpaka mfukoni Wengi saa hii wamejilalia tu home wengine wamekuwa wapole kupitiliza...
0 Reactions
47 Replies
3K Views
Ni kauli nimeisikia nikiwa katika bar moja karibu na kumbi za bunge mkoani Dodoma, Yaani huyu mrembo alikuja mida ya sa 5 asubuh alipowaona wenzie akatoa burungutu la hela Kama mia 4 ama 5 ivi na...
6 Reactions
43 Replies
4K Views
Jamani nimeleta mzigo mpya wa sidiria za kisasa. Kama unahitaji, usijipe tabu ya kusema unavaa namba ngapi, Just nitumie picha ya maziwa yako tuu, ntajua unavaa namba ngapi! Pia mwezi ujao...
1 Reactions
0 Replies
884 Views
Jana kwangu nilikuwa nimetulia usiku saa 5, Mara ghafla nikaskia mayowe kwa jirani, majirani wote tukatoka kwenda kumsaidia mwenzetu huku tukiwa tumejihami kwa mawe, marungu na mapanga. Na...
12 Reactions
39 Replies
5K Views
Toka Jana usiku niingie magetoni nimevunja rekodi kwani mpaka saa hizi ninavyopost hii thread huezi amini sijatoka nje.kila kitu namalizia humu humu ndani bahati nzuri palikuwa na kiporo Cha...
4 Reactions
14 Replies
999 Views
Naomba utunze heshima, ulilinde na jina Nimekukabidhi mtima Aliyenipa karima, Yooote nimekubali Mimi . Me niko tayari niamini, Nikiwa chizi ni wewe, Aaah eeh, We ndo sababu, Sitaki moyo wangu...
2 Reactions
7 Replies
786 Views
Nadhani wanaume wenzangu wa Dar es salaam mmeshanielewa
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Happy birthday to you super woman all the way from USA, mama kenzo, mama bhoke na mama kaenu aka ex Muke ya Muzungu, I wish you a long life dada ake, kiboko ya bashite, lol Sema nene mbea...
23 Reactions
96 Replies
22K Views
💞💕💞💕💞💕 *MOYO* wenye huruma ni dawa kwa wenye machozi 💦💦💦💦💦💦 Kila aonae thamani ya mwenzake hupata thawabu ktk ufalme wa *M.MUNGU* 💎💎💎💎💎💎 Najua c rahis kuish bila kikwazo ktk *MAISHA* 🌀🌀🌀🌀🌀🌀...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuanzia leo nami nakuwa ' Mchagga ' kwa muda ili tu nisiwe mbali na ' Tukio ' zima lililotokea kwani kwa ninavyowajua ' Wachagga ' walivyo kuanzia leo hii ni mwendo wa Nyama, Bia na Mavyakula ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Siku nimeenda kununua condom duka la dawa hapa jirani, nikamkuta mama mmoja hivi jirani yetu, ilibidi nimwambie mhudum wahudumie kwanza hao sina haraka. Nimekaa pale dk5 yule mama hatoki duh...
8 Reactions
84 Replies
10K Views
Nimegungua ana faa sana kuwa Rais wa Jamhuri wakati naota leo usiku. Kwa vichekesho zaidi tuma neno dhaifu kwenda 0000. Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwenzenu nimekua mgonjwa wa Mazoezi ya Asubuh. Kukimbia kuzunguka uwanja kwa dk 45,na Mazoezi ya viungo kwa dk 15,naanza Saa kumi na moja Kamili asubuh.. Nikimaliza Naoga maji ya Vugu...
4 Reactions
44 Replies
6K Views
Hivi unadhani bajeti ya kumzika Mengi ni shi’ngapi???
0 Reactions
9 Replies
967 Views
Leo nakumbuka ile way back nikiwa chalii yaani bado mdogo wakati huo nikiwa napata kila kitu kutoka kwa wazazi kuanzia kula, mavazi mpaka lala yangu ilikuwa juu yao mi nikiwa kama boss mtoto...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…