JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Matajiri wa Afrika wengi wametajirika kwa njia kuu tatu. 1. Ushirikina 2. Ushiriki Siasa 3. Ushiriki Dhulma Na ndo maana utakuta kwa kiasi kikubwa hujaribu kuosha kikombe kwa nje ilhali ndani...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Habarini, natafuta chumba cha Kupanga self Dar sanasana maeneo ya kawe cha bei nafuu
1 Reactions
3 Replies
894 Views
A. Alykum. Khreri na baraka kwenu, Panapo majaliwa yake Allah, kesho ama keshokutwa waislam kote duniani wataingia katika funga ya ramadhani. Nawatakia funga njema ya mwezi wa ramadhani
12 Reactions
59 Replies
7K Views
Nimekaa mgahawani nawasikia vijana wanatongozana. Mwisho msichana kamwambia mvulana, sina simu ukitaka kanunue smartphone tena sio Tecno weka vocha na save namba yako tu niletee uone kama...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
MTU akiumwa tunaenda kumsalimia na mchele kili 10 ,mafuta Lita 5,nyama kilo 6 maharage kilo 5 nyanya, vitunguu na viungo vya pilau [emoji39][emoji39][emoji39]Nakama tumekubaliana tuanze kesho...
15 Reactions
206 Replies
7K Views
Mnaogawa Vyakula na Vinywaji tunaomba katika ile Sufuria ya Nyama muwe mnawaachia Sisi Waombolezaji wenyewe ndiyo tuwe tunajipakulia kwani wengine tukipakuwa huwa tunapakuwa vya Kula Siku Mbili...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kila kitu kina gharama yake wapendwa. Kabla hujafanya maamuzi jipime kama utamudu. Hakuna jambo lolote lisilo na wajibu. Kabla hujaamua kuolewa/kuoa jipime kwanza Kama utaweza au japo kujitahidi...
4 Reactions
6 Replies
604 Views
Hivi kwa nini ukiwa masikini/mvimba macho/kapuku/pangu pakavu,unakuwa unamaindi sana mambo yasiyokuhusu na yasiyokusaidia. Au hiyo tabia huanziaga kwenye ubongo wa mtu? Toa maoni bila chuki hata...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Jamani na nyie wanaume mna mioyo ya ajabu, Sasa warumi mie na umbea wote huu kutwa kusutana kucha humu , bado mtu anakuja inbox ananiambia ananizimikia🤣🤣, nyie ndo mnawabaka hadi vichaa mnawapa...
13 Reactions
71 Replies
4K Views
Wanawake wa kabila la kijita ni kama Tissue ikisha loana tu haina kazi ..yani mwanamke wa kijita ukimgombeza kidogo tu ashakutishia kurudi kwao mbaya zaidi ukimpiga hata Kofi anabeba vitu vyote...
3 Reactions
11 Replies
4K Views
Eti utakuta mwanaume mzima, na akili zake timamu na kwa makusudi kabisa anafunga Pm yake. Hivi naomba kuuliza, wewe mwanaume unafunga Pm ili iweje? Unaogopa kutongozwa Pm au unaogopa kuombwa pesa...
22 Reactions
329 Replies
15K Views
TOFAUTI YA UCHANGIAJI WA MADA KTK FACEBOOK, KATI YA MAREKANI NA BONGO: Hello, Naitwa Sandra, Nipo New York, nampenda mume wangu Sana, naweza kufanya chochote ili nimridhishe na kumfurahisha...
11 Reactions
34 Replies
4K Views
Wakuu naomba, msaada hapa computer hii naitumia kila siku inawaka vizur, lakin leo imeguma kustart window. Inadai Re-image your computer. Nikijaribu kuruhusu inafall.
1 Reactions
2 Replies
541 Views
Uzi tayari Najua mpo mtao nibeza ila niko kimkakati zaidi. Unaambiwa tengeneza network ,marafiki wa hadhi fulani Huwez jua bana.
5 Reactions
22 Replies
2K Views
1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga, dirisha zinakuwa tinted! 2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate, ati ‘THU’ hii hao (HOUSE) ni noma. 3. Vile wewe mfupi, ukipigwa...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Chemistry bhna... nakumbuka ...[emoji23] unaingia exam room unakuta swali hujawai sikia tangu Form one.. unaenda swali LA pili linasema explain your answer in Q1 above...unaishiwa nguvu...
3 Reactions
3 Replies
614 Views
Me uwa najishangaa sana nikipita karbu na mji wa mtu afu nikaskia demu wa pale anapigwa ile saut yake yaan akiwa anaria me kuna hisia zinazo kuja ndan yangu najikuta nisha smamisha et wakuu hili...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Najua wengi sana tunatamani kuwasiliana kwa kutumia emoji au picha. Mwanamke changia uzi huu, mwanume atakayeku-quote, mjibu kwa kutumia emoji au picha yoyote. Karibuni.
5 Reactions
67 Replies
6K Views
Kwa niaba ya wanaume wote mikoani hususan Arusha naomba kutoa tamko kwamba yule mwanaume aliebebwa na maji ya mtaro *siyo mwenzetu*. Yeye alikuwa abiria toka Dar aliekuja kumsamlimia rafiki yake...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Sijuwi ni mimi peke yangu au tupo wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
7 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom