JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu Nisaidien Apps Za Bila Malipo
0 Reactions
0 Replies
698 Views
Nimda Wa kuchat wadau
0 Reactions
7 Replies
679 Views
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Kama wewe ni mkulya- kaa kulia Kama wewe ni msukuma- kasukume wasukuma wenzio Kama wewe ni mjita- jitahidi ufikie malengo ulionayo Kama wewe ni...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mara nyingi safari yetu hapa duniani (njiani) huwa ni fupi sana, ndiyo ni fupi ila cha ajabu tunadhani kwako itakuwa ndefu kwa kuwa tuu una pesa, mtu wa heshima yake, una mamlaka! Yale ya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakati umetekwa na Wasiojulikana na ili wakuachie huru uchague moja wakufanyie kati ya haya yafuatayo:- 1) Wakutoe Nuru ya macho uwe kipofu, au 2) Wakutoe mdiso, "Jongoo asipande mtungi".
1 Reactions
4 Replies
569 Views
Bruce Forsyth mwaka 1983 alimuoa miss Puerto Rica, Wilnelia tofauti ya umri kati yao ilikuwa miaka 25. Mwaka 1973 Michael Cane alimuoa miss Guyana Shakira Baksh sasa hivi anajulikana kama Lady...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa herini Wana Jf ndivyo unavyoweza kusema.id mashuhuri kama ndege John haitakuwepo hewani kwa kipindi kisichojulikana.Nimeamua niwaage Mambo yamekuwa mazito nyakati hizi hapa ambazo hela hamna...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Tutaanza rasmi kufunga siku ya kesho. Bishop katuharibia swaumu asee
0 Reactions
11 Replies
1K Views
0 Reactions
1 Replies
955 Views
Ila nashukuru Mungu tu kwamba Utafiti huu kwa Tanzania inaweza isiwe hivyo kwani tokea nianze Kuona / Kushuhudia na Kuhudhuria Misiba mingi Watanzania wengi huwa wanakuwa hawana Umbea wala Ulafi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
1.kupiga punyeto/kujichua 2.mahusiano ya kimapenzi asiyokuwa halali kisharia 3.kula/kunywa kwa kukusudia 4.uumikaji 5.kuvuta sigara 6.kufanya tendo la ndoa na mkeo muda wa mchana
0 Reactions
5 Replies
927 Views
Kipindi Cha , karne ya 14, barani Ulaya, walikuwa wanauwa paka baaada ya kuwahusisha na uchawi. Baada ya kuuliwa paka wengi, ulitokea mlipuko wa Gonjwa la TAUN/PLAGUE, ambao unasababishwa na...
2 Reactions
144 Replies
11K Views
wakuu habari za mda huu wapendwa leo nimependa kutaja vitu ambavyo siwezi kuvifanya wala kuvitumia toka nimejitambua 1. Kutafuna jojo a.k.a big j 2. Kuvaa ndala za bata 3.kuvaa nguo ya mtumba...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
1.sing the =singida 2.other one? =alikuwa nani? 3.no one=na nani? 4.per show=hapo 5.tae par=chota 6.in dog we=punda 7. Na sita=sitaki 8.one=nani 9.two one?=tu nini...
0 Reactions
90 Replies
23K Views
Mambo makuu matatu yanayopendwa na wazanzibari ni haya yafuatayo 1. Dini - wazanzibari wengi ni waislamu na wanaipenda sana dini yao 2. Siasa - wazanzibar wengi wanapenda na wanashiriki siasa...
6 Reactions
72 Replies
8K Views
Uzi tayari
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Mimi zamani nilikuwa nabisha kwamba hakuna kitu kama hicho ila baada ya kuchezea mitoso kadhaa jamaa yangu akanipa dawa moja unajipaka kama mafuta na nyingine ni vimiti unameza aisee nimegegeda...
6 Reactions
152 Replies
46K Views
Tutajua mbele kwa mbele tunafanyaje baada ya kukutana Ila bado sijawaruhusu kukutana kimwili Na ndo nishapost tayari
0 Reactions
18 Replies
920 Views
Kuna sehemu nimepitia uzi wa zamani nikatokea kumkumbuka tuu, amepotelea wapi au kabadili ID. Nimemiss mastory yake
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wahaya Kiiza =Mtu anayefuata Mapacha Rweyemamu=Mtu asiyeogopa mwenye uthubutu Ruttashobya=Mtu ambaye agharabu kukosea akosei Mugisha=Bahati Kamgisha=Niwabahati Rugemalira=Anajitoshereza katika...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Back
Top Bottom