Ukisikia kigoma mwisho wa reli sio mwisho hapanaa.. ndio mwanzo wa mambo mazuri ya kuvutia na kupendeza.. kigoma iliyobarikiwa vipaji, elimu, mazao mbalimbali mbalimbali kutoka majini na nchi...
Jiamini kama Mmeru, tafuta hela kama Mrombo, tunza hela kama Mpare, kuwa brand kama Mmasai, ongea na wateja kichangamfu kama Mzaramo, usiendekeze sana undugu kama Mrangi,
Kuwa na network zenye...
Ndoto hii ilianza kunitokea mwanzoni mwa mwezi wa nne lakini mpaka sasa imefikia mahali ambapo hata mimi inanipa wakati mgumu kuamini kile kinacho endelea.
Kwa mara ya kwanza niliota kuwa...
Huenda ni kawa sawa ama la ila tutashea idea pamoja hawa ni viumbe wawili tofauti ebu ona sifa hizi
VIMBAUMBAU
(a)Ni wakorofi hatari
(b)Wana fitina kama ngedere
(c)Wasafi kupindukia
(d) Hawaoni...
Naona video ya ghwajima imeadimika sana hapa town haaa .. watu wanaitafuta kila kona na hawajaipata.
Ila kwa uhakika Kakobe anayo japo bado anaiangalia apate uhakika. na ghwajima mwenyewe pia...
wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-
1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc wewe pia ni mwanaume wa Dar[emoji85]
2. Unaishi...
Katika maisha mwanadamu hupitia vipindi mbalimbali vya ukuaji...infancy, childhood, adolescence, adulthood, old age & death.
Sasa katika vipindi hivi vya ukuaji kuna wakati, hasa katika vipindi...
Umealikwa jioni na Mvulana(New Lover) Kwani ni lazima mje wanne na mbaya zaidi wote wanakunywa Savana na mmoja mwenye dozi yeye anakunywa Red Bull kwani lazima unywe Savana au Red Bull wakati kwa...
Habari za muda huu..Mamong'oo Mara ng'oo kalangolo silechi manjelee,,Mko full bas aina gweraa.!Nimeamua kusololesha.nyuzi hii hapa fiade kwa wale ambao tushawahi kudhulumiwa mazaga etu,iwe...
Wakuu kiukweli Mimi Sina hela na ndo maana hata demu sina mwenzenu.zamani nilikuwa na mchongo wa kuuza karanga na vifaa vya simu ila nikapata matatizo fulani mtaji ukafa nikarudi nyuma.kwa Sasa...
Mwanamke anaweza mpenda mtu ila akashindwa kumwambia.
Sasa hapa ndo uwanja wenyewe wa kuvunja ukimya.
Ukikomenti hapa chochote, demu akikupa like jua huyo ni wako, ingia PM myajenge.
Na wewe...
Habari.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza.
Mapenzi ni kama kiti cha basi ukishuka wewe mwengine anapanda anakalia.Hivyo ni vizuri kutumia siti kwa uangalifu ili anakuja kukaa akute kipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.