Wakuu wa MMU.
Jamaa yangu mmoja alikuwa na mpenzi wake pale chuo cha IFM alikuwa anampatia huduma zote na alikuwa anaamini siku mmoja atakuwa mke wake wa ndoa.
Lakini jamaa yangu akawa...
Je kitu gani cha kipumbavu zaidi ulichowahi kukifanya?
Binafsi kulala na mwanafunzi mwenzangu(Ke) wakati niko sec bwenini na kujisahau mpaka kukutwa Asubuhi yake na matroni,
Hakika nilichapika...
Kesho nitakuwa Kampala kwa saa 4 nikibalizi na kuangalia fursa nitatoka Bukoba saa 12:00 Asubuhi nitafika Kampala saa 4 Asubuhi nitakuwa nitaondoka saa 8 mchana kurudi Bukoba natumai saa 12 jioni...
Hivi ukikutana na Mtanzania Moputo, Msumbiji. Anakusimulia mkasa wake kuwa hana kazi, hana hela, anadaiwa kodi ya nyumba na ameamua kurudi nyumbani. Yeye ni Mwenyeji wa Kigoma.
Wewe unaendesha...
Mwanamke mzuri akipita sehemu lazima atongozwe haijalishi ameolewa au hajaolewa.akiwa TU mzuri akipita kwa kutembea Kutoka ubungo mpaka magomeni lazima asemeshwe zaidi ya Mara 15.kwa week mwanamke...
Wakuu mi niseme tu ukweli nikikutana na binti mrembo halafu awe ame pass like a shadow huku nyuma naanza kumuonea huruma.
Naanza kumsikitia nikiwaza jinsi anavyojifiria anapokutana na wenzake...
Hakuna Kitu ambacho nakijutia hasa kama pale mwaka 2015 nilipopoteza kabisa muda wangu na Kuhamia CCM huku nikikiacha Chama changu pendwa cha CHADEMA na Mgombea wake mzuri Edward Lowassa.
Hivyo...
Kenya wamezindua gari yao ya kwanza aina y PEUGEOT toka kiwandani!
SISI TUNAZINDUA sanamu la mgebuka[emoji23][emoji23]
*Tukutane Kigoma.*
Naipenda Sana Nchi Yangu .
Sent using Jamii Forums...
Leo MSD wametangaza kuwa zimeingia condom za wanaume milioni 9 hapa nchini kwetu na zitaanza kusambazwa nchi nzima sasa mimi nataka kuongea nao wasisambaze nchi nzima bali wasambaze kwa member...
Heri ya mwaka mpya wana jamii watu wa maana na mitakataka yote
salam zangu za kwanza ziende kwa dada yangu Khantwe
ujumbe hata kama hujanialika mimi nitakula tu ubwabwa kwa jirani
salam zangu...
Nawajua sana jinsi Waha mlivyo Mambwigira / Washamba na sasa baada ya Kujengewa hilo Sanamu la Samaki hapo barabara ya Mwanga wengi wenu mtaanza kuwa mnapika tu Ugali huko Makwenu na Kubeba sahani...
I recently found myself skipping pages - sometimes whole chapters - while I read. It doesn't matter if it's a good book or not. I feel like I am either speed reading because the book is boring but...
Msichana ni Naniii...
Msichana ni mtu ambaye anaweza kutoroka kwaoo saa sita usiku akaenda kwa boyfriend wake ... Ila kwenda chooni saa mbili usiku anaogopa kisaa kuna gizaa
Sina uhakika Kama wapo ambao Ni standard seven naimani members wote angalau tumeionja sekondari japo wapo ambao walituacha wakaendelea na elimu ya juu pamoja na vyuo kuchukua mabachelor huko.so...