Kwa nini upate huzuni
Mahbuba nipo kukufuta machozi
Napata taarifa kwa Watu baki kuwa leo una huzuni kuu! Nini kisababishi? Kama ni mahasidi nipo radhi kupambana nao.
Najua nipo mbali sana na...
Wabongo bwana nasikia sasa hivi wale mafundi wanaotengeneza vitanda siku hizi wateja wao wamekuja na jina jipya kwamba kama unataka kitanda tano kwa sita ni swala la kumwambia fundi nitengenezee...
Gani rahisi(Ka ushawai kuwa na mkenya,i need your comment on this Inakaa rahisi kwa watanzania kuoa kenyan women n not vice versa - JamiiForums
Gani rahisi(Ka ushawai kuwa na mkenya,i need your...
Nataka kujua madereva wa wanaoendesha mabasi kwenda mikoa eg ya Mwanza, bukoba yaani tuseme ile mikoa unakaa kwenye gari kutwa nzima ukoje??? Kwa mara ya kwanza mwaka huu ndio nimesafiri safari ya...
Teja anajulikana kwa uchovu usioisha.
Mlevi kwa harufu na kuyumba.
Mtumiaji wa jani je?
Macho yaliyovimba kwa chini. Macho mekundu muda wote, kutumbua macho sana sometimes kupisha ama kupishana...
Mara nyingi tunasikia kwamba fulani anatakiwa kupimwa ili kujua utimamu wa afya yake ya akili. Hili hutokea hata katika mahakama zetu ambapo zimeshawahi kutolewa amri mtuhumiwa akapimwe akili...
Nilikua natembea barabarani nikakutana na mdada akaniangalia kweli maeneo ya kwenye zipu hadi nikajishtukia alivyonipita nikasema nishike eneo la zipu lahaulaa nikakuta sikua nimefunga zipu. Yule...
Ni aibu Kwa uongozi mzima wa hospitali ya Bungando na wafanyabiashara wakubwa jijini Mwanza kushindwa kuwanunulia simu bora na za kisasa madaktari bingwa wanaookoa roho za maelfu ya wagonjwa mfano...
Ndugu nahitaji kujua hayo madhara yanayosemwa ya punyeto kuna yoyote amekutana nayo au kukabiriana nayo moja kwa moja kweli au ni nadharia ambayo haina uthibitisho mie mpaka leo sijawahi sikio...
Hivi umeshawahi kuwa kwenye foleni ya magari hapa dar? Wale wenye magari ya v8, ranger rover, BMW.. Hao utaona wakiuziwa magazeti
Wenye tax, Toyota na Noah hao utaona wakiuziwa mahindi ya...
Toka kuripotiwe kifo cha msanii godizila naona instagram,whatsapp status zimechafuka . yani watanzania sisi ni watu wa ajabu sanaa, week mbili nyuma kuna chombo cha habari kilirepot kwamba "msanii...
Nchi ya finland imeanza kujaribu wazo la kulipa ama kuwapa hela kila mwezi watu wasio na ajira kama motisha waweze kutafuta kazi ,world economic forum wanasema ndo nchi ya kwanza ulaya kujaribu...
HII KALI YA TAIFA:
Hiyo nyumba ipo wilayani Mkinga (Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Nusu ya nyumba (chumba kimoja) ipo Kenya (upande aliosimama Naibu Waziri Dk Ashuta) na nusu...
Baada ya kusema Marekani haitachukua wahamiaji kutoka shit hole countries. Watu waliamdamana mpaka nyumbani kwake na kwa hasira wengine walivua suruali na kuonyesha shit holes zao, walipichoka...
1. Kwanza kabisa jua idadi ya Id zako zote.
2. Ukishazijua fahamu namna ya kuzitumia na mazingira ya kuzitumia. La sivyo zitakunganishwa na utajulikana.
3. Chelewa kugawa mawasiliano ya nje ya...