JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nyie masikini nimeshawaambia siwahitaji pm maana nawaona mnavyojaa kuomba pesa nimeshasema ukioniona barabarani ndio uniombe pesa mmesikia nyie masikini sitaki mtu pm tafadhali mnaanza kulialia...
2 Reactions
71 Replies
932 Views
Ukweli, Kwanza kuna itikadi yetu ambayo hua ni umoja popote ulipo. Yaani kwanza kama sio rozari shingoni na kujiamini bado hujakamilika hata uwe uliishia form four haukuendelea na miaka ya...
0 Reactions
2 Replies
178 Views
Je una lip la ku share nasi? Maana unaweza kusita kulitoa sasa na ukose muda wa kulitoa milele Usiku mwema mpendwa Tanganyika.. Wewe ndie mama yetu na baba yetu.. Tunakupenda sana
11 Reactions
43 Replies
624 Views
Hebu tupeane uzoefu kumtongoza mwanamke wa umri 60 +. Nini matokeo? Je, kuna uwezekano wa kupigwa kibuyu? Wazee wenzangu hebu tupeane mrejesho. Kuna mzee mwenzangu nina hofu asije nitangaza...
28 Reactions
172 Replies
4K Views
Kama kawa, kama dawa.... Asili kuacha ni kimbembee.... https://youtube.com/shorts/FGKi35ClhvM?si=TYfyZ1TtOMv45IZt Muonekano hapo juu wa picha unasema yote, mwanamke akiwa juu ya Farasi...
16 Reactions
52 Replies
1K Views
hi Mimi jamani napenda pesa sana 😒 nashindwa jizuia shemeji yenu kanikopa pesa lakini haja lipa nataka nimdai leo
12 Reactions
86 Replies
2K Views
Wakuu imezoeleka kwamba mtu unapoamka asubuhi na hang_over au mning`inio kwa kibantu basi watu wengi hukimbilia supu ya nyama makongoro au miguu ya wanyama walao nyasi. Kiuhalisia supu ya nyama...
4 Reactions
22 Replies
710 Views
Huu ni uzi maalum kabisa kwa wale wachache tunaokwenda na muda kiasi cha kuhakikisha teknolojia mpya zaidi ya simu duniani yaani iphone 16 ipo kwenye mikono yetu laini. Hapa tutaambiana vile...
7 Reactions
14 Replies
860 Views
Nimeona niweke thread tuweke majina ambayo kiuhalisia ni jina moja. .. tofauti ni jinsia Tu ya mtoto anaepewa.. . Twendeni... Joseph/Josephine . Noel / Noela . Shariff/Shariffa.. Aziz/Aziza
17 Reactions
219 Replies
4K Views
Hii inaitwaje kitaalamu 😁
5 Reactions
28 Replies
890 Views
Ah wapi! Sitoi salamu Serikali mbona mnatunyanyasa asee?. Mnataka sisi hela za nyagi tuzitolee wapi? Jamaa tumeshawazoea kupigizana kelele mikwara kibao. Leo nimeamua kutafuta bifu na bahari...
9 Reactions
56 Replies
1K Views
Kijana huyu hapo chini kwenye picha ni mwanasheria lakini anafanya kazi ya kuuza genge baada ya kuona ajira hazieleweki. (eastafricaTv) Mdau hebu tuambie je Kwasasa unafanya kazi ya ulichokisomea?
6 Reactions
15 Replies
457 Views
Without naming a film, what is one quote that gives it away? β€œGood morning, and in case I don't see ya, good afternoon, good evening, and goodnight!”
0 Reactions
4 Replies
675 Views
Nyie kuku wangu amejiuwa je naweza kula kuku aliyekufa maana bado wa moto moto πŸ‘€
13 Reactions
34 Replies
643 Views
Kitu au jambo gani ukilisikia tu au kuliona unajua linafanyika Tanzania hakuna sehemu nyingine. Naanza na mimi Kuunga kifurushi cha wiki kikaisha ndani ya siku moja
4 Reactions
21 Replies
567 Views
Hahh wale masista duuu Depal na nyie vibiuhandsom boy wa makumbusho mixer virasta na mkorogo muda wa kumkaribisha mgeni nyumani na chooni Msijali mwakani muda kama huu pia mtateseka kwa desing...
3 Reactions
22 Replies
656 Views
Apa lazima kichapo kikali kimtembeleee
11 Reactions
39 Replies
993 Views
Yaani..... 1. Nimepoteza kabisa Nuru 2. Natia Huruma niwapo na Watu 3. Sijiamini amini 4. Najishtukia 5. Napatwa na hamu ya kwenda Kijijini mara kwa mara 6. Nikikumbuka tu nilichokifanya...
12 Reactions
22 Replies
558 Views
Moja kwa moja kwenye mada. Leo tu waandikie wazazi wako ujumbe mzuri kwa yote waliyokufanyia hadi sasa upo hivyo ulivyo. Haijalishi wako hai au wametangulia mbele za haki, wewe andika neno zuri...
4 Reactions
2 Replies
276 Views
Habari zenu
1 Reactions
1 Replies
79 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…