JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Cheza na Watu wote, ila siyo wa JamiiForums kwani kuna Wengine hapa wanakujua ndani nje hivyo wakiwa hapa wanapiga Spana za maana lakini ukiwa nao tu Wanakuzuga kwa Kukuonyesha wapo nawe...
1 Reactions
0 Replies
170 Views
duh jana nilikuwa maeneo ya mwananyamala sasa kuna sehemu kukawa kuna sherehe si ndo nasikia mc kapokonywa maik jamaa anatangazo jamaa anatangaza nimenunua iPhone 13pro macho matatu million moja...
15 Reactions
27 Replies
1K Views
Hakuna jambo jema kama kujua unapendwa na watu pia wanakupa attention je mimi Superbug napendwa na je nani wananiadmire humu jamiiforum? Pia naomba kama wewe ni mpenzi wa kupenda kupendwa basi...
6 Reactions
24 Replies
400 Views
The flame on your birthday candle can dissappear, but the flame of love for you in my heart will not. Thank you for always being there for us...Happy birthday champ Kingsmann Kingsmann Kingsmann
8 Reactions
38 Replies
1K Views
Yaani katika kitu huwa nashangaa yaani watu ambao wamebahatika kuwa na dada kuruhusu fukara amuoe dada yake yaani Mimi ningekua na dada fukara hawezi kumuoa yaani masikini akishaingia kwenye...
5 Reactions
82 Replies
2K Views
Kimyaaaaa!
2 Reactions
3 Replies
364 Views
Ila watu wana maneno aisee.😃😃😀😀😃😃
2 Reactions
6 Replies
353 Views
Kila nikiangalia nyuzi zinazoniongelea Mimi tajiri wa hii dunia ni za masikini ambao nawaambia ukweli kwamba waache kuwa malofa watafute hela wanafikiri kwamba nitaacha kusema huu ukweli. Nyie...
2 Reactions
33 Replies
722 Views
Kwenye haya maisha hua nashangaa sana mtu unakuaje na miaka kuanzia 28 halafu bank account Haina hata billion 30 ambazo ni pesa za nyanya kwangu. Aisee hivi unaishijeishije na mwanamke ambae...
6 Reactions
81 Replies
2K Views
Nyie masikini Mimi ni mtoto mdogo sana ila pesa zangu ni nyingi kuzidi hata za baba zenu na mtaumia sana na utajiri wangu sababu nyie ni mafukara tafuteni hela sio mnakaakaa kizembe humu Mimi...
1 Reactions
67 Replies
2K Views
Stori kidogo Kundi la maprofesa waliitwa kupanda ndege. Milango ilipofungwa maprofesa walifahamishwa kuwa ndege hiyo imetengenezwa na wanafunzi wao. Maprofesa wote wakakimbilia kwenye mlango wa...
13 Reactions
17 Replies
469 Views
Je wewe kama mtumiaji wa Jamii Forums unapenda kutumia kiolesura cha mtumiaji kipi kati ya vifuatavyo 1 2 Au 3 Binafsi napenda kutumia namba 3 kwa sababu rangi yake haiumizi sana macho...
8 Reactions
31 Replies
593 Views
Hahahaaaa😂😂 Mambo mengine inabidi tu ucheke hata kama yanasikitisha. Hapa mtaani Kwangu Jijini Dar nimekutana na Mwanadada akihangaikia matibabu yake baada ya kushindwa kuongea na kutamka vizuri...
13 Reactions
93 Replies
2K Views
Huwa nashangaa mtu anaumri mkubwa halafu ni fukara wakati nipo Mimi mtoto mdogo tu miaka 28 ila pesa nyingi. Hivi mnafikiri kuwa na umri mkubwa ni sifa wakati mfukoni hamna kitu tafuteni hela...
13 Reactions
166 Replies
3K Views
Habari za mda huu siku ya Leo nimetoa mualiko wa maulidi Kwa masikini wote nimechinja ng'ombe 25 Kwa ajili ya masikini hakikisheni mnafika maana mnanjaa sana na Kwa wale wanawake ambao mnahitaji...
5 Reactions
70 Replies
1K Views
Hakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo. Mi nimeshapiga pamba zangu...
11 Reactions
118 Replies
1K Views
Nasikia tu kupinga rushwa. Mara siku ya kusukari duniani mara TB. Anayejua siku ya matapeli duniani ni lini tuanze kampeni kupinga matapeli ....
0 Reactions
0 Replies
92 Views
Aisee mimi katika vitu nimekaa navyo kwa miaka mingi na mpaka sasa bado ninavyo na vinaniwezesha katika service za mwili wangu ni taulo na sanduku la nguo ambalo nimelitumia mara nyingi kuhifadhi...
9 Reactions
70 Replies
2K Views
Heshima kwenu wana jf Niende moja kwa moja kwenye mada. Kwa walio zaliwa mwezi bora na mzuri kuliko miezi yote mwezi wenye bahati katika maisha, mwezi maalum kwa watu wasio na makuu na watu,mwezi...
10 Reactions
183 Replies
21K Views
Eti vile vivulana vya hapa mnisaidie kwamba kama ukimnunulia mtu simu ndo unampangia na jinsi ya kuitumia, unamchagulia na mitandao ya kujiunga na unataka ujue na Nickname yake ya JamiiForums
2 Reactions
22 Replies
489 Views
Back
Top Bottom