JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mimi nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2008 nikiwa katika pita pita zangu nikafika kwenye mjengo mmoja wa maana ulikuwa na madirisha ya vioo vile vyeusi si nikaanza kujiangalia vile vioo huku nikiwa...
3 Reactions
12 Replies
522 Views
Wanatech karibuni kwenye uzi wetu mpya ambao utakuwezesha ku'share stori ama tukio lolote unalolikumbuka kipindi unasoma pale tech. Welcome Technical Boys.
2 Reactions
16 Replies
357 Views
Screenshot high score ulizofikisha katika uchezaji wako wa magame. Andika jina la game kisha picha, kama kuna mtu kazidi alama za game unalocheza ata reply. 2048
0 Reactions
1 Replies
113 Views
Kweli tembea uone kila siku utaona mapya na hutoyamaliza mengine ya kuelimisha kuburudisha na kusisimua hakika dunian ni sehemu ambayo unapata full package kujifunza, kuburudika n.k Mchana mwema...
5 Reactions
6 Replies
321 Views
Mimi maisha ya utafutaji yanahitaji Sana nidhamu kubwa kuliko elimu
1 Reactions
0 Replies
161 Views
Habari ya jioni wana JF. Mko salama jamani?😊 Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema. Yes! natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso. na cappuccino. Nisipokunywa Kwa asilimia...
11 Reactions
284 Replies
8K Views
Huu ni uzi wa watu mbalimbali tuliowahi kusoma shule hii kongwe inayopatikana katika kata ya TANDALE, wilaya ya KINONDONI, mkoa wa DAR ES SALAAM katika miaka tofauti tofauti ili tuweze kujuana na...
0 Reactions
11 Replies
406 Views
"Sio kila mtu anafaa kunywa hata glasi moja ya Pombe"-Dk.Nuruel Kitomari - Bingwa wa Afya ya Akili na magonjwa ya akili kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. Chanzo: itvtz Hakuna kitu nakichukia...
1 Reactions
1 Replies
268 Views
Ni kama miezi 3 kwenye social networks nyingine. Ila JF vivulana vinatongoza sana PM. Ni kama vimetumwa kunijaribu.
32 Reactions
281 Replies
3K Views
Leo mtag unayetamani awe mchumba wako hapa alafu mwambie maneno mazuri. Akikujibu vizuri endelea nae huwezi jua ya Mungu mengi. Tag wengu kadiri uwezavyo. Twende kazi.
10 Reactions
419 Replies
4K Views
Mi mkongwe sana humu jf ila ndo hvyo,mambo ya ID tena okay iko hiv Mi nilisoma hapo udsm, miaka hyo ya 2009-13 Aisee ni moja ya vijana tuliopata matokeo mazur 6,sio TO lakin. Ila ni kijana...
17 Reactions
68 Replies
3K Views
huyu jamaa alikuwa anaua nini hapa jamani?!
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Kwa sisi tulio nyumbani leo tutafuatilia mbashara matukio mawili. Mosi; Tanzania vs Guinnea Pili; Kamala Haris vs Donald Trump presidential debate live on ABC. Wakuu hilo la pili sio la kukosa...
1 Reactions
0 Replies
144 Views
3 Yoh 1..2 N mapenzi ya Mungu ufanikiwe, Lakini sio ktk dhambi. Kama unataka kufanikiwa tubu omba rehema Acha dhambi za sirini
3 Reactions
7 Replies
229 Views
Vijiweni, maofisini au popote tunapokutana na watu tofauti tofauti kila siku kwa nyakati tofauti huwa kuna wakati tunakutana na watu - hata washkaji zetu wenyewe - wanatupa story kuhusu mambo...
8 Reactions
111 Replies
2K Views
Salaam kwa Wanajukwaa..baada ya pilika pilika na changamoto za hapa na pale nimerejea Jukwaani.Namshukuru Mungu Kwa Uhai..Sasa nitaweza kusoma na Kuchangia hoja
1 Reactions
1 Replies
124 Views
Nina siku kadhaa nikikaa tu mahala kupata safari lager, watu laZima waniulize bro vip umetoka mkoa? Nasema hapana Wanasema unavyotoka jasho hivi wewe ni wa mkoa nami naamua kukubali. Jua na...
25 Reactions
69 Replies
1K Views
Ninawalaumu sana tu pia waliokuwa Msibani kwani hapo ndipo palikuwa patamu na Wao kumaliza Shughuli kabisa!!!!
4 Reactions
14 Replies
418 Views
Ukitaka kutunza pesa yako, jitahidi kuepuka hivyo vitu vitatu unavyoviona hapo kwenye picha. #women #betting #alcohol
8 Reactions
24 Replies
670 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…