Wasalam,
Kumekuwa na hii kauli "utakufa siku si zako" ambayo husemwa kwa mtu pengine mwenye tabia ambayo si ya kukubalika katika jamii,mfano wizi,tamaa,uzinzi,sifa za kijinga, nk nk.
Ama...
Njia rahisi ya kumwambia demu wako ni mbaya bila kumkera, "baby unajua uzuri wako ni wa tofauti kabisa"[emoji2] [emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za kutwa wakuu.?
Naomba msaada jinsi ya kupata code za TCU nilifanya maombi nimedahiliwa zaidi ya chuo kimoja.. Yeyote anaejua jinsi ya kuzipata msaada tafadhar
Sent using Jamii Forums...
Kama kichwa cha habari kinavyoelezea wale wana jf wenzangu mliowahi kuungwa katika ma group ya whatspp yakakutanisha watoto wazuli na warembo
Mimi upande nilishawahi kuugwa ma group flani...
Wakuu heshima kwenu
Katika mizunguko yangu nimekuwa nikienda vijijini mara kwa mara lakini karibu Wanawake wote (pengine wote) wa vijijini si wazuri wa sura wala maumbo (mfano vitambi vingi sana...
Wakuu,
Kusema kweli nawashangaa watu wengi sana.
Mtu unaishi peke yako, alafu unatumia Tsh 10,000 nzima kwa ajili ya msosi tu. Tena kwa ajili yako wewe mwenyewe.
Hiyo ni anasa na ufujaji wa...
habarini wanajamvi, Nasafari ya siku 3 mjini moshi, kwa wenyeji wa mji huo naombeni kufahamishwa sehemu za malazi(lodge/hotel) za bei nafauu kuanzia Tshs. 20000 hadi 30000. Asanten
wana jukwaa
hivi nyie wanawake mkitongozwa na mkakubali mnachuka muda gani kuanza kuomba pesa? au tuseme kunyenga au kuhonga
kuna mdada kumu kanisikitisha sana kwa kweli ata kama hali ya magu...
Jf ni a community ambayo ina mchanganyiko wa watu mbalimbali, wengine wanaweza wakakukasirisha na wengine wakakufurahisha, katika kujumuika na watu huku. Mtu unatokea kuvutiwa na watu mbalimbali...
Hivi nyie wanawake kwa nini mkiwa mnacheza mziki lazima muyatikise makalio yenu na kuinama inama hovyo?
Mnafanya hivyo ili iweje sasa?
Ina maana stail zote hamjaziona isipokuwa hiyo tu?
Tena...
sijui ni ushamba wangu ama vipi,hivi vyoo vya sinki kila nikijitahidi(hasa vya kukaa)naona ukiwa unashusha kontena za makonda maji yarukia kwenye makalio.
Sasa ni mimi tu,ama ni asili yake hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.