JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Wakuu leo nataka kujua wasichana wa kishua na wa uswazi wapi ni wako vizuri katika maeneo haya 1) wapi wanajua kulienzi penzi kati ya wanawake wa ushuani na wanawake wa uswahilini 2)mademu wa...
1 Reactions
87 Replies
13K Views
Tunaopenda kiki na sifa za kijinga tukutane hapa tupeane mbinu mbalimbali za kupata kiki zaidi na kusifiwa sifiwa.
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Jamani eeh ,,,nimepiga chabo semester nzima na nimehudhuria vipindi vichache sana na kusoma kwangu naona uvivu sana Pepa zote nimefaulu kwa chabo kwa kuigilizia kwa wenzangu au kuingia na simu...
2 Reactions
121 Replies
8K Views
Inabidi uongozi wa jamii forums waongeze kipengele cha voice note kama wasapu.
1 Reactions
51 Replies
2K Views
Msaada wakuu ,nimekuwa nikijiskia katili sana nikila nyama hasa za kuku najiskia vibaya sana naona mpaka huruma kumkatishia uhai wake kiumbe mwenzangu . Hali imekuwa mbaya zaidi siku hizi hata...
0 Reactions
35 Replies
2K Views
Uyu demu nachukia kweli mambo anayoyafanya Ajieshimu ata kidogo
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Eti wadau kati ya Dar na Arusha wapi kuna wahuni wengi? Wapi kunaongoza kwa matukio ya kikatili ikiwemo kuchomana bisibisi nyembe nk?
1 Reactions
28 Replies
5K Views
Leo nimemuota sky eclat ila ubaya sikumbuki lolote la maana nililomuotea ila Natamani ile ndoto irudi tena maana nakumbuka kuna kipande kama nilikuwa nafanya naye mapenzi vile. Ile kuamka...
0 Reactions
36 Replies
2K Views
Kwa wale ambao tuna IQ ndogo huu uzi ni maalum kwa ajili yetu Tujifunze namna ya kupambana na hali zetu. Karibuni.
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Yani ukiwa upo mgahawani/hotelini afu ukawa unakata matonge ya haja ukidhani hakuna anayekuona Utashangaa ile unamaliza tonge la mwisho muhudumu wa kufuta meza huyu hapa kashakufikia kaja...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Naukana Utanzania rasmi kuanzia leo. Siutaki hata kidogo najionea nuksi tu. Nitakuwa mtanzania mpaka kiumbe fulani kitoke madarakani.
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Mi kila nikiingia humu naanzaga na jukwaa la nafasi za kazi ili nione kama nitabahatika kupata kazi Halafu naenda jukwaa la matangazo madogo madogo ili nione vitu vinavyopigwa mnada ninunue kwa...
0 Reactions
5 Replies
758 Views
Nataka kuuza bhangi(kuwa pusha) Nipeni faida na changamoto zake
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Mbinu zangu mimi ni hizi 1)kupiga punyeto 2)Kunywa bia 3)Kunywa Valium
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Amani ya bwana iwe nanyi. Wakuu nataka tuchague nani ni mwana jamii forum bora kwa kila jukwaa kwa mwaka huu 2017/2018 1)Jukwaa la chit chat Nampendekeza HR 666 2)Jukwaa la mahusiano...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari za Jioni Wakuu...! Poleni na Harakati za kutafuta ridhiki niende moja kwa moja kwenye mada husika Mimi nilikuwa na shemeji yanu tulikuwa tumezoeana ile mbaya Yani ikafikia wakati Mpaka...
0 Reactions
0 Replies
358 Views
Kwa mujibu wake anadai kuwa CCM alikuwa pale kwa sababu tu ya ulaji Ila kwa sasa ana nia ya dhati ya kuwasaidia wananchi kwa hiyo kaona aende chadema.
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Hakuna raha kama kukosa siti kwenye gari alafu ubanane na dada mkali aliejaaliwa mzigo unaotingishika mana wanatusogezea makusudi huku wanajifanya wanaminya simu sasa na sisi tumeamua kufanya...
4 Reactions
33 Replies
3K Views
Tukio hili ndo lilinifanya nisiende kanisani toka mwaka 2003. Ni hivi siku hiyo nilichelewa kanisani so nikapata nafasi kwenye siti za nyuma.. Wakati misa inaendelea ghafla nikasikia harufu ya...
1 Reactions
3 Replies
734 Views
Back
Top Bottom