JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Siku moja MWANAMKE mmoja tajiri aliandka kwenye FACEBOOK Accont yake akasema kwamba ''ANAHITAJI MWANAUME AMBAE HATOMPIGA WALA KUKIMBIA NA HELA ZAKE'' baada ya mda alipata comment nying sana toka...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
White sands hotel inawaka moto muda huu! Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
386 Views
Anakuja Mchina anasema anahitaji Paka[emoji250], ananunua mmoja kwa bei ya 20,000/=, basi wanakijiji wanahaha kusaka Paka[emoji250], wanawaleta mchina ananunua wote anasepa nao. Anarudi tena...
11 Reactions
20 Replies
3K Views
Moyo jamani moyo!!! Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda. N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya...
15 Reactions
228 Replies
14K Views
Kesho asubuhi na mapema naenda nyumbani dom city. Naenda kuwa mwanaume wa mkoani kwa kipindi cha miezi miwili na baada ya hapo nitakuwa mwaname wa dar tena. Naweza sema mimi ni half-cast wa...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana; MKAKA: Samahani dada sijui saa ngapi? MDADA: Nani kakwambia saa yangu ndio ya kuangalia kila mtu? MKAKA: Samahani...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
_*Nawasalimia [emoji68]WASICHANA [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_ _*Nawasalimia WASICHANA weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Habari wanajamvi? Leo katika kuperuzi peruzi u-tube nikakutana na interview moja aliyofanyiwa msanii, muongozaji na muandaaji nguri wa kimataifa wa filamu za action Aston Barnabas aka Vanbrado...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Kumekuwepo na upotoshaji mkubwa sana wa watu kuchanganya NGURUWE na KITIMOTO... Kwa taarifa yako hivi ni vitu viwili tofauti.. NGURUWE ni mnyama mmoja mweupe mchafu mchafu ambaye anapatikana sana...
23 Reactions
319 Replies
9K Views
La Hedi Ticha. Wengine wakaona kama habari zina cheleweshwa nao wakapandisha Posts za kumhimiza Greyson Msigwa awasomee habari kutoka Ikulu. Le mapaziaz, Le Mashukaz naye hakuwa nyuma.
1 Reactions
8 Replies
665 Views
Tag a friend with same aim. #jamii forums.
0 Reactions
1 Replies
901 Views
Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
671 Views
Hello wana Chit chat, Nipo mapumzikoni na nimeona nipumzike kidogo na nipo kistarehe zaidi. Nafikiri hapa ndipo kwenye jukwaa halisi la kupata burudani ya kila aina. Nilikuwa nafikiria kwa...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari wanajamvi. Hebu leo tufanye mahojiano na hawa wazee maarufu, yani wazee wa mawe aka wazee wa ndogo aka wachimba mitaro wana aka nyingi kwa kuzitaja chache. Hebu tuambiee siku ya kwanz...
0 Reactions
4 Replies
661 Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu ngependa tujuane vizuri wana jf ili tutengenezeane connection humu humu ndani
0 Reactions
77 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu, hope mko poa . Ebwana straight to the point, Mimi ni aspiring filmmaker (director) . Na kwa muda sasa nmekua nafanya research juu ya hizi movie zetu #bongomovie na kuangalia...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Tumsifu yesu Kristu! Ee bwana mimi nikienda kanisani huwa najikuta natamani sana kuwa padre, naona kama mapadre ni ma role model wangu, Najikuta nafanya imagination nyingi za kipadre! Sitaki...
6 Reactions
56 Replies
3K Views
Kwa mtazamo wako mwana jf katika hao manyalali tajwa hapo juu nani mkali kwenye uandishi naomba nisiwe na upande tiririka mwenyewe
0 Reactions
100 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu..niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna watu humu wanakua wanaponda sana wadada wa jf kwamba hamna kitu sijui wengi umri umeenda na maneno mengi yasiyo ya kweli. Lakini kwa...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Huyu mama siyo wa kiwango cha kitoto kitoto, uwezo aliopewa na Mungu ni mkubwa sana Nimesikiliza huu wimbo kwenye movie ya Deadpool hadi nkafurahi CC: Wick , Bujibuji , Red Giant , Da'Vinci
5 Reactions
15 Replies
7K Views
Back
Top Bottom