Wengi watapinga ila walishakosea either kutokana na giza au papara,
Sasa kama ulishawahi kukosea kuja utuambie reaction ya mwenzio ilikuaje?[emoji23] ulikula kofi au alikazia
Binafsi mimi...
Nimebahatika kuishi na kufanya kazi na wazungu. Kwa kweli licha ya neema ya chakula waliyo nayo wazungu ni wachoyo mno wa chakula.
Nilijifunza kusema hapana asante hata kwa kikombe cha chai...
Wadau,nimebahatika kufika mikoa mingi sana Tanzania but kwa Arusha nimezima fegi kuna wanawake wazuri sana wana rangi flani hivi so natural wana figure nzuri,halafu waelewa na wajanja tofauti na...
Habari za weekend wakuu.
Kumekuwa na kamsema ambako kanaashiria hali ngumu ya maisha "vyuma vimekaza" lakini kuna watu bado wanatumbua maisha kama kawa.
Kwahiyo basi nashauri kila mtu akiona...
Kuna ule utani wa mashemeji lakini utani wa shemeji yangu huyu umezidi ndugu zangu. Jana nilikuwa natoka zangu kwenye mizunguko yango ya kila siku mjini, nilipofika nyumbani nilimkuta shemeji...
Habari wakuu,
Nimepata uhamisho kikazi kwenda katika mkoa wa simiyu wilaya ya meatu.
Kwa wale wanaoifahamu naombeni mongozo wenu wa kufika meatu, gari gani nipande?, nitafika siku moja...
The ultimate diss track - Vifuu Tundu.
Nadhani ni miaka 7 sasa [kama sijakosea] tokea AT atone ngoma yake hiyo akiwadiss Offside Trick.
AT ni mshairi mzuri sana na naamini yuko underrated.
This...
Sijui niseme nini..Darling unanipa furaha ambayo sidhani kama kuna binadamu mwingine anapata katika hii dunia wewe unajua hili ila acha leo niitangazie dunia, umekuwa mhimili wangu wangu mkuu...
Kijana mtanashati mtaani kwetu aliyekuwa jogoo wa mtaa kwa mabinti zetu, siku hizi kabadilika sana tabia na mwenendo wake wa maisha.
Bar kaadimika, mara kadhaa nimemuona akiingia kwenye nyumba za...
wadau!
Amani iwe nanyi!
nini huwezi kabisa kabisa kati ya haya chini
1.kukaa bila simu kwa miezi mitatu
2.kukaa bila kufanya mapenzi kwa miezi mitatu
3. kukaa bila pesa kwa miezi mitatu
Kwa miaka kadhaa toka nikiwa mtoto mdogo hadi leo hii nimekua sili Kitimoto Japo mimi ni Mkristo mkatoriki wa kuzaliwa. Hii ilitokana na sababu zangu binafsi na sheria kwenye biblia ya...
Kwa hali yangu hii ya ujauzito, leo nimeamka na hamu kubwa ya kula vitumbua.
Nimepita kwa mama mchoma vitumbua (vizuri sana), nimemsalimia, hakuitikia, nikaona isiwe shida. Kwa kuwa najua bei ya...
Tuambie unalala saa ngapi na pia unaamka saa ngapi?
Binafsi ni hivi kila siku
Kulala kuanzia 5:00usiku na kuendelea
Kuamka 11:15alfajiri
Nishazoea kiasi kwamba sihitaji alarm
Kwako ikoje ratiba
Niaje mabibi na mabwana hopefully y'all doing okay!
Aight let's go...
Mada ni hii kwa wewe mwanamke mlimbwende kabisa ni kitu gani unaangalia kwa mwanaume kwa mara ya kwanza pale anapokutongoza...
Waungwana hii kitu isikie tu kwingine
usiombe yakukute!
mara ya kwanza kutaitiwa na vibaka ilikuwa 2010.
nimetika klabu bwaxx bwaxx!
nikajikaza mdomdo kuelekea homu nikazime huko!
navuka reli...
Umetulia ZAKo KWENYE Sherehe na MTOTO mkali Unamtongoza maraa MAMAAKO anakuja na Sahani Limeja wali
"WEKa Kwenye RAMBO kubwa Mkale na WADOGo zako mie LEO sipiki Tena na OLE WAKO Ule Njiani "...
Wakuu hivi inawezekana kufuta sms za wasap ambazo mtu au watu wametuma, kwenye group na maadmin mkaona hazina maadili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wana JF. Nimefurahi baada ya kumaliza kutumikia kifungo changu cha siku tatu baada ya kupata ban. Ki ukweli sikuwa na raha kabisa kwa kutopata fursa ya kushiriki kikamilifu kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.