JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Naomba uzi huu uwe special kwa wakurya wa Tarime pekee Gamasara,Kemange,Buhemba,Tagota,Magen,Kibumaye,Sirari,Bwirege,Nyamongo,Nyamwaga,Kiribo,Mgoto,Nkongore,Nyamwigura,Kebweye,Kubhitocho na...
1 Reactions
62 Replies
6K Views
Nitakuwa hapo for few days , kama kuna mtu wa kupiga story na kuhang out , please let me know, we can talk about life and businesses potential i.e exchange some ideas.. Gracias.. Sent using...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Ukweli ndio huo atakaekasilika sina habari nae na atakaenichukia sina mpango nae... Baadhi yao wamekaa kazi kudanga na kuvuruga ndoa za wenzao kazi yao kubwa kutoa vishawishi miongoni mwetu sisi...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Stela = Star-Nyota Regina = Malkia Lucy = Mwanga-Nuru Agnes = msafi au Mtakatifu Anna = upundeleo, neema na uzuri Theresia = wa mavuno
5 Reactions
23 Replies
7K Views
Sent using Jamii Forums mobile app Ongezeni picha.....
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Tukiacha vigezo vingine sijui tabia, na vikolombwezo vingine, kati ya Sura na Chura kipi kinakuvutia kwa demu uliemzikikia? Andika pasipo maelezo, Binafsi ni SURA. Kura zitahesabiwa na matokeo...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wakuu , najitambulisha kama mwenyekiti wa wasoma comments wote, naomba mtambue kuwa mTanzania mwenzenu niliyokuwa na tabia ya kujisomea vitabu nimejikuta nikipata elimu kubwa sana huku JF...
1 Reactions
33 Replies
2K Views
Vijana na urembo huyu pia naye yumo
0 Reactions
5 Replies
607 Views
Tangu saa tano asubuhi matangazo ya kisimbusi cha Azam Tv huku kwetu ukonga ayapatikaniki channel zote sielewi kwa sababu gani? Ikiwa mwezi huu nimelipia 28,000 salio la mwezi nzima, sasa huku...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
1. Nitaomba TAZARA na TRL wanikodishe reli zao zote zilizo ndani ya mji wa DSM; 2. Nitawaomba wenye daladala kuanzia Kumi wanunue hisa za kampuni mpya ili kununua mabehewa ya abiria na mizigo; 3...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
WanaJF mnaoishi maeneo ya Bunju na Mapinga weekend hii niko huku navinjari kidogo na kuondoa mawazo. Tatizo ni kuwa si mwenyeji wa huku hivyo naomba mnifahamishe viwanja vya kula bata na kujidai...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Tanzania is a diverse nation. Na kupitia diversity hiyo unapata lugha mbalimbali, more than 100+ language. Sio rahisi kujua zote, ila atleast mtu unaweza ukadaka maneno mawili matatu, kutoka...
0 Reactions
3 Replies
466 Views
Nikiwa Mwaka wa Pili pale udsm mwanangu mmoja alikuwa akisoma dit, alikuja kuchukua michoro yake kwangu pale udsm (Autocad drawings za Civil), baada ya kutoka pale akaenda kwa bro ake (alikuwa na...
9 Reactions
40 Replies
3K Views
Flash ipo sokoni.
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni usiku mwingine tena ndugu zangu, tumshukuru mwenyezi Mungu kwa kutujalia pumzi mpaka dakika hii! Katika kupanda vyombo vya usafiri inatokea wakati mimi na wewe ambao ni vijana tunakuwa...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Ukweli sijawahi kwenda Tanga napasikia tu ...wenyeji wa huko naomba mnipe uzoefu sehemu nzuri ya kufikia, kutembea ili hasa hasa maeneo ya mjini. Dhiara yangu itachukua siku mbili mpaka tatu. Ili...
1 Reactions
59 Replies
4K Views
Wakuu natumai mko poa Je wewe ni mjasiriamali na ungependa twende nao sawa? Usisite nafasi ya pekee ya kujiendeleza kiuchumi na mali Karibu whatapp group TUONGEE UWEKEZAJI FORUM Sent using...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za ijumaa, Nasikia mida hii mods wamelala, kama hawajalala sio mbaya pia nina swali kwao "kuwa na ID zaidi ya moja ni kosa kwa sheria za JF?" Baada ya swali hilo nawakumbusha mods tupo...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
Kuna mtoto mzuri nimemfuatilia kitambo leo kaniomba nimuandalie wali na samaki mtamu kuliko wote kwenye dinner ya birthday yake Nataka nielekee duka la samaki sasa hivi, nipeni ushauri nimchukulie...
1 Reactions
63 Replies
8K Views
Jf ina watu tofauti na wenye kujua vitu vingi, naomba tusaidiane. Ni social network gani ina watoto wakaliii, ikiwezekana na link ueke. Karibuni tupeane mautundu. sent using samsung galaxy s8
0 Reactions
118 Replies
13K Views
Back
Top Bottom