JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
hii ni mara ya tatu nalazimika kubadilisha avatar kwasababu ya baadhi ya member kuchukua nayoweka.Huo sio ujanja kabisa...Avatar ni unique na identity ya mtu tafuta yako
0 Reactions
59 Replies
3K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Msinichoshe! nisiwachoshe! Tusichoshaneeeeee! Tupate habari kamili!! I have nothin personal with our broders n sisters...
10 Reactions
55 Replies
4K Views
Kuna jambo kwa muda nimekuwa nalitafakari hivi kwanini wavuta bangi wanawachukia wanywa pombe na pombe. Kwa udadisi wangu nimeona ukimuelezea mvutaji madhara ya bangi lazima atadakia kwa kuiponda...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kumekua na mabishano mengi sana mitaani kuwa maisha bila ndoa ni mazuri zaidi ya maisha ya ndoa,kwamba ukiwa Bachela au Single lady unakua huru no stress unafanya mambo yako kwa amani sana...
0 Reactions
6 Replies
675 Views
Nilikua nawasifia sana lakini kwa style hii mtaendelea kulizwa sana na watoto wa Daresalam..
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Members Ambao ndiyo walikuwa wachangiaji wakubwa kuanzia 2009.. MwanajamiiOne- Mambo ya Mahusiano she was A Champion.. Yaani Akitoa Mchango wake Mwaa. Fidel80 - Kijana Machachari Sana...
2 Reactions
9 Replies
907 Views
Kadogo ila katamu sana ! Leo ni fujo na shangwe kila angle ya nchi yetu tukufu Tanzania. Watu wako vizuri baada ya kutoka makazini. Maeneo yetu yale umati unaongezeka tu taratibu bila shida...
3 Reactions
47 Replies
5K Views
*_Eti hivi ni kweli ukifanya mapenzi na nesi analia kama _ambulance_ ?[emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]_*
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Huyu hapa Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Chakula kinatupa nguvu, na mahitaji mengine yanayofanya uhai uendelee. Ni kawaida kutoa uchafu baada ya chakula tunachokula kutumika mwilini. Kama ukienda chooni harufu inakuwa kali sana kiasi...
6 Reactions
17 Replies
1K Views
Natumaini wote mu wa wazima wa afya. Kwa wale wenye matatizo ya hapa na pale ninawaombea wapate nafuu. Swali langu ni hili, hivi yule mpenz wako mliekuwa mnaongea nae usiku kucha mpaka simu...
1 Reactions
69 Replies
3K Views
Kama wengi tunavyoijua isidingo, mi tangia nizaliwe hadi leo bado haijaisha. Basi huu ni uzi wetu wa maisha yetu hata watakao jiunga jf waukute na watakao ondoka wauche bado upo. Lengo la huu uzi...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wanajamvi Wanaume mmezidi sasa,kama ni wivu umezidi kiwango Upo kwenye social network kama vile insta,fb,jf na nk Kama kawaida sisi wanawake tunapenda kupost picha mbalimbali kuonyesha...
0 Reactions
81 Replies
4K Views
Siku hizi watu hatuwezi kumaliza siku bila ya kutumia simu,au kuangalia TV,vinginevo tutaiona Siku ndefu na inayoboa Hatuwezi kutembea kwa miguu hata kwa umbali mfupi tu kama Sinza madukani hadi...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
mimi ni mfupi ila nataka kuona wivu, je nisimame wapi ili nione vizuri
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwalimu alikuwa anafundisha kuhusu utawala ikawa hivi; Mwalimu:diwani anachaguliwa na wananchi,Rais na wabunge wanachaguliwa na wananchi na....(ghafla wanafunzi wa upande wa nyuma wanaanza kuongea...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Mimi na mke tumekuja kipindi hiki huku kijijini Arusha.Nyumba yetu ya huku kijijini bahati nzuri umeme wa REA umepita karibu,ule wa elfu 27 tukawa tumevuta.Nilipoenda Tanesco nilijiandikisha kama...
7 Reactions
74 Replies
4K Views
Kwanini Watu wanaoendesha magari binafsi au wanapenda kuwachungulia kwa kuwashangaa walio kwenye daladala? Unakuta barabarani dreva anaacha kuangalia mbele badala yake anachungulia kwenye...
10 Reactions
157 Replies
8K Views
Eti toka january mwaka huu uanze nani kakuvutia sana kutokana na thread zake ba comment zake? mimi kuna -Malco lumumba -Habbu anga -Damushin jukwaa la korea siriz
2 Reactions
173 Replies
7K Views
Back
Top Bottom