Yaani kila ukiinua kichwa yumo anakuangalia tuu,ukisema upotezee ukirudi tena yumoo..wataalam wa mambo msaada hapa hii ina maana gani? Au nyie wadada kwa nini huwa mnatufanyia hivyo watoto wa...
Kuna kundi hili la makoma hawa wakongo walikuwa wanaishi Belgium hivi bado wapo na maswala ya muziki au walishaachaga muziki maana Kuna nyimbo yao ya buti na moyi ilikuwa inanikosha sana japo...
Habali wakuu nimeleta Uzi unaosimama upende sahihi WA wake zetu sisi wanaume, sina shida na wapenzi nasema na walio ktk ndoa, wanaume sisi sio waaminifu kabsa mwanaume tumekua wasaliti sana...
Haki sawa kwa wote ni jambo linalopigiwa upatu sana,mpaka wengine wakafika mbali kupiga kura za veto.
Huwa nahisi kama vile tatizo ni la kubananga lugha na sura ya mtu tuambiwe si mtu ni mbuzi...
After sex she will text you.
"Sex should last atleast 45 minutes. Imagine the hard labour of dressing up a skinny jean for a lousy 5 minutes. Whatch it next time.!"
Sent using Jamii Forums...
Aisee tukio ambalo siwezi kulisahau nilile nililokojoa mkojo kwenye kopo na kunywa baada ya kubanwa na kiu kikali halafu nyumba imefungwa mlango balaa yaani...
Vipi wewe ni tukio gani ambalo...
rejea kichwa cha habari hapo juu
nimeandika huu uzi nikiwa na njaa mpaka nikaukumbuka msosi wangu pendwa, wali samaki unitoi hapo ata nikiambiwa nile mwenzi mzima iko chakula nitakula bila lawama...
Katika maisha ya ndoa lazima mkwaruzano uwepo wa hapa na pale
Na mwanamke anaweza akakukosea na mwanaume ukataka umpe adhabu ili naye aumie,ajutie kosa lake ili asije akalirudia tena
Ipi adhabu...
Mwaka 2012 nilikuwa nina demu.tunapenda lakini alikuwa kicheche.kuna Siku alitoroka nyumbani kwao.nikapata simu kutoka kwa mama yake anaulizia kama mtoto wake yuko kwangu ni nikajibu sijamuona...
kuna mtu humu ndani namzimia kichiz sasa bana ana ndoa yake humu ndani huyo mwanamke wake sasa anajiachiageee coments za kufa mtu.Mie huku naumiaje na roho nakondaaaaje sasa!!!!Naombea apewe...
Habari za muda sitaki matusi,wala kejeli na vijembe wakuu.
Nimekusudia kumsalimia mpendwa wangu wa siku nyingi sana ambae sijamsahau mpaka hivi leo ni Miss Natafuta.
Popote alipo naomba mumpatie...
nilifika hapo 2006 kwa matatizo binafsi kikazi, chaajabu wenyeji wakaniuliza 'umefiwa' nikawajibu 'kwani vipi!?' wakanijibu 'uliza huo mkwaju mbele ya shule ya msingi gambosi{inavyosomeka...
Hii tabia ya kina sisi kuongeza 000 kwenye gharama ya kitu naona imekua fasheni sasa hivi. Mtu kanunua kibanio elfu 10 atakwambia kanunua laki. Kuna mafuta nilimkuta nayo rafiki yangu nikayapenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.