Ninawaaga my fellow members kesho tunasafiri mi na wazazi wangu na wadogo zangu tunahama Tanzania. Wazazi wangu wanaamishia makazi Canada kikazi. Nitamaliza my secondary education & university...
Ilikuwa kipindi nipo form six pale mbeya, ivumwe high school inasifika Sana Kwa viboko Ile shule, viboko Mia kawaida. Sasa kipindi hicho form five ndio walikuwa wagen wagen 2017, mara wakaweka...
Sisemi kwamba watu wasimuombe Mungu, la hasha.
Dini zimetufanya sisi waafrika tumekuwa wapumbavu, na hili liko wazi kabisa. Mtu anaspend muda wake mwingi kanisani badala ya kufanya kazi. ambapo...
Ilikuwa February 2011 nilipopigiwa simu kupitia mwl. Wa Bweni letu wakati huo nipo kidato cha tatu.. Nikasikia sauti ya mama ikiniambia Sulle..(Jina langu la Nyumbani) Babu anakuita (Mara ya...
Ni jambo la aibu sana hili hata kuliandika naona namaliza kilevi changu kichwani
Mwanaume Kukaa Bar Na Demu Anayekunywa Bia Halafu Wewe Unakunywa Maji,Soda au Juice Na Wewe Huna Tofauti Na Slay...
Moja ya kisa nilichoshuhudia katika mji wa Shinyanga
Binti wa miaka 24 baada ya kumuona baba yake akiwa na mchepuko mtaani ,maeneo fulani fulani,akatimka mbio mpaka nyumbani na kumwambia mama...
Habarini,
Hii kitu kwa kweli nashindwa elewa ni ya kibayolojia au ni kujiendekeza. Kila mwanamke atakayepita ni lazima akishapita tutageuka kuangalia mzigo eidha moja kwa moja au kwa kujificha...
Leo yamefanyika maandamano makubwa kwenye nyumba nazoishi lengo ni kumbadilisha jirani yetu ambae huwa anapenda kujianika kibarazani kwake uchi(nusu utupu).
Mange wa nyumba zetu hapa(mke wangu)...
Wanajukwaa,
Nashea na nyie jinsi mseto wa pombe ulivoniaibisha nikatukana siku nilipoitwa kutoa nasaha kwa niaba ya baba wa bibi harusi kwakua mzazi wake anakigugumizi asingeweza kuendana na kasi...
Habari wana Jf
leo ni happy bday yangu ila kutokana na vyuma kuwa vigumu,nimependelea kusheherekea mimi,mke wangu na mtoto
mara nyingi tunapenda kuwashirikisha ndugu jamaa na marafiki
Asante...
Ni kauli ya Jumapili ya leo. Kijana ana miaka 20 ana mjimama 39 aisee namuuliza mbona ulisema unakuja na mademu wawili alafu umekuja na mama yako?
Ilikuwa ni bonge la soo jamaa anasema huyu ni...
Suali liko wazi. Humu sote ni watu wazima na wenye akili timamu na tunajua nini cha kufanya.
Nataka kujua ikibidi,hivi huwa unatumia kigezo gani au vigezo gani kumpa mtu like ?
Je unampa like...
Niende moja kwa moja kwenye maada...
Mdada unapelekwa kwenye chumba kizuri haujawahi kuingia tangu kuzaliwa kwako humo mwisho wako ni viguest vumbi vilivyopo vichochoroni halafu unaleta mashauzi...
Kheri ya Siku ya Kuzaliwa Kwa WanaJF wafuatao!
adjuti junior
edwin 61
ELX
Goodluck August
Junior26
lukoma
ManagerMp
Roho Mbaya
sindano butu
The Certified
Muwe na Miaka Mingi ya Kheri na Yenye...
Kuna masuala hufanya mtu muda mwingine anunue akaunt ya mtu kulingana na vigezo vyake tu
1.Jina lilivyo
2. Idadi ya followers
3. Aina threads na comments
4. Attention
5. Uthubutu katika michango...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.