JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ule utamu unaopishana kidogo na utamu wa papuchi umerudi sasa,siku za wkend hatutopatikana tena kirahisi. Game zinaanza ijumaa zinaisha jpili,nasisitiza ni ngumu kutupata kwa kipindi hichi
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Hebu tafakari member waliokuwa maarufu kipindi hicho ila kwa sasa hawasikiki tena watu nane na faiza foxy ni kati ya member ambao hawapo kwa muda sasa hebu tutumie Uzi huu kuwakumbuka na wengine...
5 Reactions
78 Replies
5K Views
Ukimtendea mwenzio na wewe utatendewa hivyo hivyo. Kama wewe ni Bingwa wa kutembea na wanafunzi kaa ukijua katoto Kako ka kike katapata tabu sana. Kuna Matukio kadhaa yanafanana ndo yamenifanya...
3 Reactions
85 Replies
9K Views
5 Reactions
8 Replies
1K Views
Kijana mmoja ambaye ni mwendesha boda boda huko Kenya amejikuta katika mgogoro mkubwa na mke wake ambao umempelekea kulala nje Mwanamke huyo aliyemtangazia mbele ya umati wa watu waliokuwa...
0 Reactions
55 Replies
3K Views
Mimi nilikuwa fundi rangi lakini sasa kazi za kupaka rangi zimepungua Sana, nina mke, watoto wawili na wazazi wote wako hai wananitegemea. Kodi ya chumba, chakula na maji na umeme vimeninda...
4 Reactions
34 Replies
4K Views
Bwana kupika ni kipaji hasa sie wanaume. Nakumbuka mara yangu ya kwanza kupika chipsi nilizitoa kama zile za @figganiga. miugali miugali. sasa ya leo kali nilinunua pop corn..nikawa nazitafutia...
3 Reactions
51 Replies
3K Views
Sabakher Wadau; Tuliosoma Shule Ya Sekondar Kizuka Tukutane Hapa Tukumbuk Amsha Amsha Ya Afande Chacha! Na Machale Ya Bibi Anka!!
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nawasalimu kwa jina la bwana Ni jana tu Nikiwa napita pita kwenye akaunt za kutisha tisha (napenda sana vitu vya kutisha).Nikakuta kwenye akaunti moja wameandka "Ndani ya enternet kuna Email...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Siku zote mwanaune hawezi kuridhika na mwanamke mmoja. Yaani hata ikitokea mwanaume akawekewa wanawake 10 Achague mmoja mzuriii kuliko wote amchukue bado mwanaume atajilaumu kwa wale wengine...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wanajamvi,bila kupoteza muda kwa kweli sijui nimeathiriwa na jamii yangu au la pamoja na kusoma kote huko binafsi siwezi kufanya mambo yafuatayo kwenye ndoa 1,Kupangiana zamu za...
9 Reactions
101 Replies
7K Views
Yes,it is the time to show those who are laughing at us with our poor english Please comment anything by using our kayumba's english welcome NOTE BEEN;correct you member where you think his/her...
5 Reactions
168 Replies
11K Views
Kuwa makini
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanawake akili zao bhana Unamtongoza demu halafu ana kuuliza kama una demu mwingine hivi uliona wapi mtu anaenda kununua nguo akiwa uchi
18 Reactions
54 Replies
4K Views
Wana Bodi, nimeanzisha thread hii ya kujulishana maeneo tunayolia bata weekend hii, Mimi Niko Maeneo ya Kawe beach nabarizi huku nikila vitu (bia)na marafiki Wewe uko maeneo gani muda huu
1 Reactions
60 Replies
4K Views
Mzuqa, Hii niliipataga Chuga kijiweni miaka ya nyuma. Jamaa huko Shinyanga ghetto kila akianza kulala kuna mchawi tena jirani yake anaanza kumpiga juju kwa kumbughudhi kwa kelele za sauti za...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Tuweni wa kweli,wadada na wakaka ambao bado ku do,na je?tu handle vipi the real situation mitaani kwa maseng'enyo,matambo,matukano na unafiki kwa watu ambao wanesha experience haya mambo.kama...
3 Reactions
85 Replies
6K Views
Gor Mahia have rejected an offer of £12million from Manchester United for the transfer of central defender Harun Shakava. #MUFC #DeadlineDay TransferNewsCentral on Twitter Wakati huo huo... Klabu...
2 Reactions
2 Replies
919 Views
Mambo ya kushangaza na itikadi kuhusu tendo la ndoa duniani Tendo la ndoa huaminika kuwa miongoni mwa mambo ya kale zaidi. Bila shaka, binadamu hawangeendelea kuwepo bila kujamiiana. Lakini jinsi...
2 Reactions
38 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…