Nianze mimi mwenyewe
Siku ya kwanza nimeingia kwenye kituo cha mwendokasi aisee sitokaa niisahau. Baada ya kupewa tiketi kwenye kuiscan ile tiketi palinitoa jasho. Akanisaidia dada mmoja mrembo...
Teacher:kila mwanafunzi hebu jaribu kufikikiria upo msituni halafu ukakutana na simba na hauna silaha yoyote,utafanya nini ili kujiokoa?
dogo:mwalimu,ili nisiliwe na simba basi nitaacha kufikiria...
Ikiwa yapata nusu saa tokea kupaa kwake ndege moja iliyobeba abiria zaidi ya 200
..ikasikika sauti tokea kwa rubani ikisema "injini moja haifanyi kazi na iliyobaki haina nguvu kabisa ni wakati wa...
Mambo vipi wadau,kichwa kinajieleza,mimi ni kijana mdogo tu nahitaji marafiki vijana kwaajili ya kubadilishana mawazo(hususani wasichana sio wanawake) na ni kiurafiki tuu kwaajili ya kubadilishana...
Naaaaaaam
Like ya ndugu yetu Max Melo imekua adimu sana kupatikana hapa jamvini.
Binafsi mm nilishaipata moja kwa tabu sana.
Sasa huu ni uzi maalumu wa kumfanya yeye mwenyewe akupe like...
Naaaaaaam
Like ya ndugu yetu Max Melo imekua adimu sana kupatikana hapa jamvini.
Binafsi mm nilishaipata moja kwa tabu sana.
Sasa huu ni uzi maalumu wa kumfanya yeye mwenyewe akupe like...
Naaaaaaam
Like ya ndugu yetu Max Melo imekua adimu sana kupatikana hapa jamvini.
Binafsi mm nilishaipata moja kwa tabu sana.
Sasa huu ni uzi maalumu wa kumfanya yeye mwenyewe akupe like...
Naaaaaaam
Like ya ndugu yetu Max Melo imekua adimu sana kupatikana hapa jamvini.
Binafsi mm nilishaipata moja kwa tabu sana.
Sasa huu ni uzi maalumu wa kumfanya yeye mwenyewe akupe like...
ITV kwa sasa taarifa ya habari ya saa 2 Watangazaji wanasoma muhtasari wa habari then wanazunguka nyuma kwenda kukaa katika viti na kuendelea na habari. Utaratibu huu nimeupenda sana hasa siku...
Dear kipenzi changu siku zimefika, miaka …… umetimiza katika hii dunia.
Hakika najivunia kupata mpenzi aliyetulia, anayenipenda, anayeniheshimu, anayenithamini
Hongera sana kwa wako wazazi kwa...
Baunsa mmoja alikuwa kapumzika sehemu sehemu anakula upepo na ghafla dogo mmoja akamfuata. Huku akionyesha kujiamini yule dogo akamvagaa yule baunsa!
DOGO: Oyaa bro saa ngapi?
BAUNSA:Hebu ondoka...
Kwa wale wapenz wa movies..funguka jina la movie unayoipenda ....
Ukishindwa ya TZ taja za mbele bac
Kama mm naikubal DEADPOOL
Za kibongo tukiachana na za kanumba aisee...bado cjaona , (au...
[emoji121]
Wash'kaji eeeeeeeh!!!
Huku kitaa cha mivumoni_centre
Ukiachana na hii njia ya 1 kwa 1 ya kuelekea madale,
Kutokea tegeta_nyuki,
Upande wa kushoto
Kama waelekea mtaa mmoja wa kuitwa kwa...
WASH'KAJI EEEEEEEH!
TUSIKILIZANE KIDOGO.
KUTOKANA NA PILIKA ZA MAISHA HAPA MJINI,
NIMELAZIMIKA KUHAMIA HUKU PANDE ZA GOBA_JUU,
HAPA KWENYE MABANDA YA MKAA,
KARIBU NA MNARA WA AIRTEL,
UKIINGILIA...
Habari ya jumapili wapendwa.
Ni miezi 10 sasa toka nijiunge hapa,kiukweli ninamengi nimejifunza,na bado naendelea kujifunza, ahsante marafiki niliowapata hapa,wakike pia hata wa kiume.
Wengi...
Miongoni mwa watu ambao wanaongoza kwa Chai hapa JF basi Mshana na Gudume
ni Kiboko hebu nisaidie memba wengine wana chai safi niwatafute Kidogo maana kwangu
huu ndo uwanja wa kuondoa Msongo wa...
Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa. Mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu wa kiume wa miezi 6 akilia mnooo. Dada Wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza. Akamwimbia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.