JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Adui mwombee njaa... Huu msemo pengine ndio maccm wanautumia ili kufanikisha azma yao ya kutaka kuufuta upinzani bila kujua ndio inajichimbia kaburi! Kufuatia wimbi la hama hama, ambapo wengi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KUNA AINA MBILI ZA WENYE MAJONZI NA KILIO.. KUNA WALE WANAOJIFUNGIA NDANI NA KULIA NA KUNAWANAOKUJA KULILIA HUMU JF Na kwenye mitandao mingine ya kijamii
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi Kisandu Junior mjukuu wa mzee Nalimi Ismaili leo nimetokewa na jambo ambalo nimepata aibu kidogo. Nilifika mgaawani nikaagiza chipsi yai nikaweka na mayonaizi juu asa kumbe mulemule...
10 Reactions
53 Replies
4K Views
Leo mimi mgeni(mwenyeji) jiji la Wagogo. Kama uko Rainbow karibu tusalimiane.
3 Reactions
72 Replies
7K Views
Bwana Mmoja alikuwa akiuza chumvi kila siku, biashara yake ya kuuza chumvi aliifanikisha kwa kutumia Punda wake.. Katika njia yake ya kwenda sokoni kuna mto huwa anavuka, kwa bahati mbaya siku...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
TV ANCHOR INTERVIEWING A FARMER. QN: what do you feed your goats? Farmer: black one or white one? Anchor: white one... Farmer: grass. Anchor: and black one?? Farmer: i give her grass too...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Binafsi ilikuwa ukipikwa ugali usiku nilikuwa nachukia sana,nakula matonge mawili tu nimeshiba naenda zangu kulala
1 Reactions
70 Replies
5K Views
sawa hiyo!!!!! aaaaah ta!!!!!!!! hiyo si sawa dereva acha vituko, kikwata kalewa cheo!!!!!!! haaa! sawa hiyo!!!!!!!!! aaaah ta!!!! hiyo si sawa dereva acha vituko!!!!! anamkwepa mponda...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Kila siku mnalia lia hamuolewi,.. hampati wa kuwatuliza,.. hampendwi na wenza wenu.. Sasa mnafikiri kwa tabia kamaa hii nani atakuja kuchukua uchafu? Walio wachache wataelewa namaanisha nini..
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Hizi i miss u i miss u mda mwingine zinatutia majaribu mjue,, shem i miss u mnaitolea puani? mbona broo/mwana/mzee baba humtolei ya puani? mashemeji zangu mpunguze mbwembwe katika salam,, unakuta...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wasalaam Wapendwa Uenda kuna swali ungependa kumuuliza MwanaJF flani humu ndani..Basi si mbaya kama ukimTAG na kumuuliza hapa.. Ni vyema tukatumia lugha ya kistaarabu ili kuepeuka kukwazana..
13 Reactions
153 Replies
8K Views
Nimekua nikijiuliza kwanini wanaume wa siku hizi wapo weak sana,kwenye wanaume 10 basi ujue tisa wanachezea vichapo kutoka kwa wake zao au wa nawake zao. Ni aibu sana mtoto wa kiume anakunjwa na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kichwa cha habari chajieleza, em japo mmoja aje tupige japo story tu maana pm yangu imekuwa na mavumbi hatari... Nikipata yule ambae anajua kutengeneza mazingira ya kunidanganya nikampa vijisenti...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
๐ŸŽต๐ŸŽค๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽต๐ŸŽค๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽผ๐ŸŽถ๐ŸŽผ ๐Ÿ‘ค for Roma na ๐Ÿ™Š for Stamina ๐Ÿ‘คKaribu mzee kingunge kwenye makazi ya milele Mimi huku ninamji wangu tayari unaitwa nyerere ,nimeshtuka kukuona huku nini chanzo cha msiba..h, ๐Ÿ™Š...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mhitimu
0 Reactions
3 Replies
969 Views
hamjambo wadau. kuna nyimbo leo niliisikia kwenye redio ya gari langu Altezza leo asubuhi , kuna msanii alikua anaimba akawa anasema " utamu wa Big G ni kutafuna,,," mimi maisha yangu yote...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakati wadada wenye umri kama wako wakipata stress kwa kutoitwa kwenye interviews na kukosa kazi wakati vyeti wanavyo..wewe unapata stress kwasababu ya mwanamke. Kaka upo serious na maisha kweli!.
10 Reactions
25 Replies
2K Views
unachopaswa kufanya ni kubonyeza HAPA ili uweze kupata maelekezo. ahsante
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hatukatai kuteuliwa kwa watu maarufu wa mitandaoni ila tunajiuliza yakuwa je wale watumishi bora siku hizi hawana umuhimu tena? Ukiangalia teuzi nyingi za awamu hii ya tano mh raisi amejikita...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ