JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Nikiwa nimebobea kwenye masuala ya simu hususani software ,nakaribisha maswali kuhusu simu hasa za smartphone karibuni......
0 Reactions
50 Replies
3K Views
Habari za kuamka wakuu. Kuna vimaneno ambavyo vinaibuka mitaani ambavyo hata huwezi chanzo chake vimetokea wapi. Hata hata hivyo, mimi nikikusikia unayatumia moja kwa moja nakuweka kwenye kwenye...
3 Reactions
81 Replies
5K Views
Je ukaaji wa chaji katika simu yako unakuridhisha? Kama sio umegundua sababu? Je wajua kuna app za kusaidia angalau 40% ya ziada ya betri??! Maswali + ushauri.....
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja Wewe maadam jenifer unanimaliza sana kwakweli yaan unataka kunitoa roho aisee Kwanza umeumbika ile mbaya hiyo...
3 Reactions
69 Replies
5K Views
Wakuu, Ukiachana na vodacom, tupia tukio au jambo lolote linaloingia kwenye msemo wa, YAJAYO YANAFURAHISHA, UPO TAYARI?...
0 Reactions
33 Replies
2K Views
Unakumbuka ipi hapa?? Je ni kauli Mbaya na si Kauli za Kweli? 1. Mkimaliza kuongea niambieni. niendelee kufundisha 2. Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule 3. Kama unajua...
8 Reactions
39 Replies
3K Views
Kwa wale wote Wasio amini dini kama Mimi watoe sababu humu... Naanza na Mimi "Dini zote zpo kimaslahi(Pesa) Michango kila kukicha utanzani Vicoba...au Mojabet Nawasilisha Maono yangu.... Tafadhali...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Umekuwa na mpenzi wako wa mtandaoni ambaye hamjawahi kuonana na akaomba umtumie picha. Ukamtumia picha mbili moja ya mwingine na nyingine yako. Akimchagua na kuonekana kuvutiwa na ile isiyo yako...
3 Reactions
44 Replies
2K Views
Ogopa sana mwanaume divorced Hawana huruma Sio kila Mzee ana busara!
5 Reactions
47 Replies
2K Views
Leo nimepanda toyo sasa kila saa na sema huu ubani unanukia wapi?kila saa kumbe ni dereca bodaboda kauwasha kaweka hapo mbele ilo bidii nimwambie simama nilicheka mpaka nikaishiwa nguvu hadi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Inasemekana kwamba Kenya wamezindua ' Kifaa ' maalum ambacho kinaweza kumjua Mtu Muongo sekunde, dakika na saa yoyote ile na kwa jinsi Watanzania wenyewe wa ' Kada ' mbalimbali tunavyojijua ni '...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
"Kupenda mtu asiekupenda ni matumizi mabaya ya moyo" eti unamzimia utajikuta makaburini Nyambafuuuuu
0 Reactions
7 Replies
868 Views
Baada ya kuimisi kwa muda mrefu kidogo jamiiforums na member waliomo humu nilihitaji nije na nyuzi nadhimu kabisa lakini kutokana na muda nitakuleteeni hapo kesho kunapo majaliwa yake mungu...
0 Reactions
4 Replies
659 Views
We have updated our privacy policy [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Deleted member 485868
Habari zenu wana Jf Nianze na mkasa ulionikuta jana..mida flani hivi nilienda kariakoo na Dada yangu..katika mizunguko yetu yeye alikua mbele mimi nyuma Sasa si mwajua kariakoo ilivyo na watu...
16 Reactions
313 Replies
14K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika jukwaa Nazan wote mko wazima wa afya njema Siku ya tarehe7 may ndo siku ambayo nilizaliwa huko kanda ya ziwa mwanza Lakin tarehe tano ilipita maana nilikuwa shule...
3 Reactions
60 Replies
2K Views
Assalam ndugu wa humu JF Rejea kicha cha habari hapo juu Nimeona bora tuhusishane kwa yale mazuri tuliyojifunza kuanzia asubuhi mpaka mda huu Ili tuweze kuongeza na kubadilishana maarifa Mimi...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…